njiwa
JF-Expert Member
- Apr 16, 2009
- 13,258
- 7,101
Sawasawa mzee wa Tazama Mbali Zaidi....kambi ya msikitini ilikuwa balaa...hivi badae si ilikumbwa na dhahama ya kubomolewa kutokana na mgogoro wa ardhi ama?
Hapana haikuwa ndani ya shule. .Bali msikiti wa tambaza ule uliukuwa karibu na muhimbili primary school. .
Tatizo vijana wa sasa wanaanza ngono wakiwa wadogo sana. .. ndio maana combination zinazohitaji utulivu hawawezi. ..