Nilisoma PCB nikaapa ctasoma science tena kamwe maana niliona ni kama kutwanga maji kwenye kinu
inaonekana sciece tatizo kwa wengi. . .kumbe siko peke yangu.
Kweli tupo tofauti mkuu, nilimaliza kibaha form 6 PCB niliigaragaza vibaya nilinyuka div 1:4.... Kifupi hakuna kitu kigumu ni juhudi zako binafsi tu.
Sitakaa niisahau PGM Maishani mwangu......kudadeki.....imenifanyia kitu kibaya sana......
Mbona hyo comb rahisi tuuuuuNilisoma PCB nikaapa ctasoma science tena kamwe maana niliona ni kama kutwanga maji kwenye kinu
Sitakaa niisahau PGM Maishani mwangu......kudadeki.....imenifanyia kitu kibaya sana......
ni rahisi ndio ila kwa sisi wa akili za shake before use hapo sio rahisi.
Ni kweli mkuu umeongea kweli, mdogo wangu nilimwambia aende chuo kuliko kupoteza muda a level.... Ingawa mm PCB nimefaulu vzr ila mziki wake sio wa kitoto.
mkuu haya mambo mtu unaanza prepo saa2 unastuka umetoboa mpaka asubuhi si mchezo.
Acha kabisa ukikubali kusoma PCB lazima ujitoe kiroho na kimwili ukubali kuteseka, ukiendekeza ubitozi ziro inakusubiri.
Huetendei haki PCB unapoweka level sawa na CBG. ..
All in all inasomeka. . Tu. . Nakumbuka mimi niliweka camp tambaza msikitini. .tulikuwa wengi. . Vijana wa shule za upanga ..kuanzia azania. . Tambaza. .mzizima. .. almuntazir. .. Kuna jamaa walikuwa wakija kuswali kutoka muhimbili wanatupa moyo walipitia njia hihi tuliyopo. ..
Muhimu vijana muangalie company ... marafiki maneno ya watu. . Visiwakatishe tamaa. ..
Sisi tulikaa katika nyumba ya ibada tuliepuka na vishawaishi vingi sana. .. nä vijana wote walifaulu. ..
Weka issue za mademu. .au kutafuta mabwana pembeni ... focus ...utafika
Kweli tupo tofauti mkuu, nilimaliza kibaha form 6 PCB niliigaragaza vibaya nilinyuka div 1:4.... Kifupi hakuna kitu kigumu ni juhudi zako binafsi tu.