Baada ya kuweka tangazo hapa kuwa natafuta mke wa kuoa nilipata PM nyingi,nilianza kuwatafuta mmoja baada ya mwingine,mmojawapo tuliahidiana kuonana Ubungo,tukaonana pale tulikaa sehemu iliyotulia kwa mazungumzo,kiukweli mrembo ni mzuri,ni mweupe na shape ya Kibantu(hips za ukweli na maziwa ameyaweka vizuri)akaniambia anaishi Mlandizi,tukawa tunawasiliana kama mwezi hivi,siku1 nilimpigia simu akaniambia njoo Mlandizi na Ubachela wangu nikaenda kulala kwake,asubuhi akaniambia aliolewa na kuachika na ana mtoto1,mara simu zikipigwa anatoka nje kuongea,mchana nikarudi kwangu,kazini sikwenda kabisa,Hapa Jf shida japo nilifaidi,,wengine kama sita hivi kutoka hapa Jf wana watoto,sura kama wanapuliza moto,wameachika na wanasaka wachumba humu,,kwaheri
asante sana kwa ushauri ila picha ni za kawaida tuu wala siyo za utup
Habari wana Jf,
Niliweka habari humu ndani kipindi cha nyuma nikiwa natafuta mke mwema na asiye na degree na nikaleta mlejesho kuwa nimeshampata, nimekaa na huyu mdada tukiwa tunachati hadi saa saba usiku na nikajitahidi tukaonana naye.
Siku moja akanipeleka kwake kumbe yule dada ni mke wa mtu na alikonipeleka alishapanga chumba kimoja mbali na kwake na sijui alipanga ni cha nini wakati ameolewa sasa yaliyonikuta mimi sipendi mwingine yamkute humu ndani.
1. Yule dada anatumia kile chumba alichopanga kama guest.
2. Mume wake akiondoka ndiko anakolala na midume mingine hata mimi nililala huko.
3. Mume wake ananitafuta baada ya kukuta picha zangu kwenye simu yake japo nimemuelekesa amedai nimpe million tatu ndiyo anisamehe.
4. Mume wake amesema nisipo mpa hiyo hela picha zangu ataziweka kwenye mitandao akinichafuwa yani hapa nawaza maana watu wanaonifahamu ni wengi japo hata mimi ninapicha nyingi tu huyo mdada.
Toka juzi huyo mdada nikimpigia simu anapokea mume wake nimejaribu hata saa nane usiku bado anapokea simu na kunitishia kuwa bado naendelea.
Sasa naombeni ushauri nimwambie huyo dada kwa kutumia E-Mail kuwa atoroke aje huku ninakokaa na mtoto wake au nimlipe tu hela huyo mume wake au niwapotezee japo mdada anajuwa ofisi ninayofanya kazi.
NAOMBENI USHAURI NIFANYEJE MIMI JAMANI
Haaaa sa si alishaachika mngeendeleza libeneke
Umechewa rafu wala hawajaoana hao
Karibu mjini kila mtu ana mbinu zake za kupiga hela shituka usingizini.
Kumbe humu kuna mauzauza yanaendelea? Kweli dunia ina mambooo...
aisee jamaa kaingizwa mkenge hakuna cha mume hapo wala nini?