20PROFF JF-Expert Member Joined Nov 5, 2013 Posts 8,217 Reaction score 7,261 Oct 26, 2019 Thread starter #41 dadysam said: We umeoa????? Tuanzie hapo kwanza Click to expand... Nasikiza hoja zako
Diason David JF-Expert Member Joined Aug 2, 2018 Posts 7,556 Reaction score 7,385 Oct 26, 2019 #42 Ndoa sio jeanamu bali ni sehemu ya kufurahia maisha ya wapenzi mambo yakipigana ya kwenu
Mawembasa1979 JF-Expert Member Joined Feb 26, 2015 Posts 2,653 Reaction score 3,535 Oct 27, 2019 #43 Diva Beyonce said: Wee mi na mi nguvu balaa hafu mi siwezi kuwa na mwanaume asijielewa nikishamsoma saikolojia yake na mambo yake ka haeleweki namkimbia, sasa had huko kudundana hakunikuti hata kwa dawa Click to expand... Kumbe bado hujaolewa ndio maana unasema hivyo wenzako walioko kwenye ndoa wanalilia kupigwa.
Diva Beyonce said: Wee mi na mi nguvu balaa hafu mi siwezi kuwa na mwanaume asijielewa nikishamsoma saikolojia yake na mambo yake ka haeleweki namkimbia, sasa had huko kudundana hakunikuti hata kwa dawa Click to expand... Kumbe bado hujaolewa ndio maana unasema hivyo wenzako walioko kwenye ndoa wanalilia kupigwa.
Totos Boss JF-Expert Member Joined Dec 30, 2012 Posts 5,454 Reaction score 1,569 Oct 27, 2019 #44 Usishangae hao wataalamu wao ndio hupigwa na wake zao