Nani Kasema
Senior Member
- May 31, 2011
- 148
- 27
By 2015, Zitto atakuwa ana miaka 39, pungufu ya kile kinachotakiwa kugombea uraisi kwa katiba ya sasa.
Hili, bado halijaacha wanafiki na magamba ya CCM hapa JF, kuendeleza pumba zao za kutaka CHADEMA wamsimamishe Zitto mwaka 2015.
Ushauri wangu kwao ni huu,
Kama mnampenda Zitto kihivyo, msimamisheni kupitia chama cha magamba (CCM).
Au kama unafikiria kuwa Zitto anapendwa kuliko CHADEMA, na kama Zitto naye anafikiri kuwa yeye yuko zaidi ya CHADEMA, basi ahame na kuanzisha chama ili "wapenzi" wake wote wamfuate huko kama walivyomfuata Mrema TLP mwaka ule????
Hili, bado halijaacha wanafiki na magamba ya CCM hapa JF, kuendeleza pumba zao za kutaka CHADEMA wamsimamishe Zitto mwaka 2015.
Ushauri wangu kwao ni huu,
Kama mnampenda Zitto kihivyo, msimamisheni kupitia chama cha magamba (CCM).
Au kama unafikiria kuwa Zitto anapendwa kuliko CHADEMA, na kama Zitto naye anafikiri kuwa yeye yuko zaidi ya CHADEMA, basi ahame na kuanzisha chama ili "wapenzi" wake wote wamfuate huko kama walivyomfuata Mrema TLP mwaka ule????