Ushauri kwa wana CCM: Kama mnampenda Zitto awe rais 2015, msimamisheni kupitia CCM

Nani Kasema

Senior Member
May 31, 2011
148
27
By 2015, Zitto atakuwa ana miaka 39, pungufu ya kile kinachotakiwa kugombea uraisi kwa katiba ya sasa.

Hili, bado halijaacha wanafiki na magamba ya CCM hapa JF, kuendeleza pumba zao za kutaka CHADEMA wamsimamishe Zitto mwaka 2015.

Ushauri wangu kwao ni huu,

Kama mnampenda Zitto kihivyo, msimamisheni kupitia chama cha magamba (CCM).

Au kama unafikiria kuwa Zitto anapendwa kuliko CHADEMA, na kama Zitto naye anafikiri kuwa yeye yuko zaidi ya CHADEMA, basi ahame na kuanzisha chama ili "wapenzi" wake wote wamfuate huko kama walivyomfuata Mrema TLP mwaka ule????
 
Kwa sasa nakutizameni nyie wawili hapo chini

Zomba na mwenzako Kimbunga
 
Kuna wengine wanasema kuwa Zitto na Shibuda ni popular kuliko CDM,

Kama kweli Zitto na Shibuda wanaamini hizi pumba za magamba, basi, waanzishe chama na wakiite

CCMYC - chama cha mapinduzi ya chadema

halafu wagombee pamoja mwaka 2015 - Zitto rais, Shibuda awe mgombea mwenza

Kisha, kama alivyotamba Shibuda, wamuite Kikwete aje kuwapigia kampeni
 
Kuna wengine wanasema kuwa Zitto na Shibuda ni popular kuliko CDM,

Kama kweli Zitto na Shibuda wanaamini hizi pumba za magamba, basi, waanzishe chama na wakiite

CCMYC - chama cha mapinduzi ya chadema

halafu wagombee pamoja mwaka 2015 - Zitto rais, Shibuda awe mgombea mwenza

Kisha, kama alivyotamba Shibuda, wamuite Kikwete aje kuwapigia kampeni

Zomba wa JF (systems at work) atawasaidia sana kwenye communication na propaganda
 
By 2015, Zitto atakuwa ana miaka 39, pungufu ya kile kinachotakiwa kugombea uraisi kwa katiba ya sasa.

Hili, bado halijaacha wanafiki na magamba ya ccm hapa JF, kuendeleza pumba zao za kutaka CDM wamsimamishe Zitto mwaka 2015.

Ushauri wangu kwao ni huu,

Kama mnampenda Zitto kihivyo, msimamisheni kupitia chama cha magamba (CCM).

Au kama unafikiria kuwa Zitto anapendwa kuliko CDM, na kama Zitto naye anafikiri kuwa yeye yuko zaidi ya CDM, basi ahame na kuanzisha chama ili "wapenzi" wake wote wamfuate huko kama walivyomfuata Mrema TLP mwaka ule????
Mkuu, huwzi kutenganisha Mgombea anayekubalika na chama chake. Kama kinachomata ni chama na siyo Mgombea mwenye mvuto, hata Shibuda anaweza kupitishwa na CDM. Tuwaache watanzania wajadili, wapime na kuchambua kiongozi wamtakaye. Ingependeza kama na wewe ungependekeza kiongozi unayeona anafaa kuliko kutanguliza shutuma.
 
Kuna wengine wanasema kuwa Zitto na Shibuda ni popular kuliko CDM,

Kama kweli Zitto na Shibuda wanaamini hizi pumba za magamba, basi, waanzishe chama na wakiite

CCMYC - chama cha mapinduzi ya chadema

halafu wagombee pamoja mwaka 2015 - Zitto rais, Shibuda awe mgombea mwenza

Kisha, kama alivyotamba Shibuda, wamuite Kikwete aje kuwapigia kampeni

Chama hakiwezi kuwa cha watu wawili, Watu hawezi kuacha kutoa maoni yao kwa sababu tu chama ni cha wawili. Mwanachama hawezi kuwacha kutangaza nia yake kwa sababu eti anakuwa juu ya umpendaye ni ,dhana potofu.
 
By 2015, Zitto atakuwa ana miaka 39, pungufu ya kile kinachotakiwa kugombea uraisi kwa katiba ya sasa.

Hili, bado halijaacha wanafiki na magamba ya CCM hapa JF, kuendeleza pumba zao za kutaka CHADEMA wamsimamishe Zitto mwaka 2015.

Ushauri wangu kwao ni huu,

Kama mnampenda Zitto kihivyo, msimamisheni kupitia chama cha magamba (CCM).

Au kama unafikiria kuwa Zitto anapendwa kuliko CHADEMA, na kama Zitto naye anafikiri kuwa yeye yuko zaidi ya CHADEMA, basi ahame na kuanzisha chama ili "wapenzi" wake wote wamfuate huko kama walivyomfuata Mrema TLP mwaka ule????

Umejidharirisha na ndio maana umepost mwenyewe na unajijibu mwenyewe! post 1-4 zote zako mwenyewe.
 
Umejidharirisha na ndio maana umepost mwenyewe na unajijibu mwenyewe! post 1-4 zote zako mwenyewe.

hiri rimura naro sijui rimetoka wapi

Zitto hana sifa za kugombea uraisi kwa mujibu wa katiba ya sasa, kama magamba (wewe ni mmoja wao) mnampenda, basi mumpitishe huko ndani ya chama cha magamba na majambazi (ccm) m
 
hiri rimura naro sijui rimetoka wapi

Zitto hana sifa za kugombea uraisi kwa mujibu wa katiba ya sasa, kama magamba (wewe ni mmoja wao) mnampenda, basi mumpitishe huko ndani ya chama cha magamba na majambazi (ccm) m

Niombe radhi mkuu, mimi chama changu ADC sio CCM.

Mkuu wangu Nani Kasema , CDM haina mtu wa kugombea kwa sasa, slaa majeruhi, mbowe anafit business kuliko siasa pale yupo tu hana jinsi kwa kuwa mkwe ndio anaforce, kwahiyo only hope ni zitto sema umri nao mgogoro ila hili katika katiba mpya tutali-adress .

Tuungane mkuu wangu.
 
Last edited by a moderator:
Niombe radhi mkuu, mimi chama changu ADC sio CCM.

Mkuu wangu Nani Kasema , CDM haina mtu wa kugombea kwa sasa, slaa majeruhi, mbowe anafit business kuliko siasa pale yupo tu hana jinsi kwa kuwa mkwe ndio anaforce, kwahiyo only hope ni zitto sema umri nao mgogoro ila hili katika katiba mpya tutali-adress .

Tuungane mkuu wangu.

wewe ni magamba, post zako zote zinakuonesha hivyo

siwezi kuungana na watu wenye mtazamo wa magamba

CDM bado imara sana, ina watu wengi sana wanaofaa

Dr Slaa na Mbowe bado ni makamanda wa nguvu, Mnyika ndo mwanzo anawachachafya.

Kwa upande mwingine,kuna kundi kubwa sana la vijana wanaokuja juu -- kama Kitila Mkumbo (aliwahi kuwa raisi wa Daruso huyu) wenye uwezo mkubwa tu wa kuongoza

Nyie magamba bakini na Wasirra na mafisadi wenzenu huko.
 
Back
Top Bottom