Ushauri kwa wakubwa wa nchi

Walker Water

JF-Expert Member
Aug 23, 2022
785
2,953
Kwa watu wenye hekima na maarifa na ufahamu wa kutambua nyakati. Napenda kutoa ushauri kwa wakubwa wa nchi haswa wale wa ndani kabisa wanao shikilia na kumiliki majalada nyeti sana.

Katika nyakati hizi ili kutenda kwa akili na ufahamu na hekima, nyakati hizi zinahitaji, kwanza, kuchoma baadhi ya majalada makubwa na nyeti na majivu yake kutupwa kabisa baharini, pili kujifanyia "cross checking" ya nguvu na ya uhakika na tatu ni kujidunga sindano ya kupetaza memory kwa wale wote waliogusa hayo majalada.

Hali si hali wakuu kwani pazia la nchi lilishapasuka na majalada vyeti kusambaa kwa upepo wa nguvu la kupasuka kwa pazia, kuna watu wameyaokota majalada hayo na kuyahifadhi na wanajifunza kwa bidii sana lugha iliyoandikwa humo ili wapate siri zilizopo.

Kama ilivyo kawaida ya watu kula kiapo cha kutokutoa siri ni bora kufa, hivyo hivyo kuna watu wamekula kiapo cha bora wafe kuliko kutokutoa siri na karibu watayafikia hayo majalada.

Nashauri msiishie tu kuelekeza nguvu nyingi kupambana na mvua za Elli-Nino ambazo mnajua fika zinaashiria nini kiroho.

Mwisho mmeingia mtego wa kupambana na "kiti" ambacho kina nguvu kuliko "kiti" chenu na wenye hekima ya utawala wanalijua hili sema wanafanya makusudi baadhi na wengine wanajaribu kupima nguvu kimzaha na wengine waogopa nyakati na kukaa kimya.

Hapa ndipo penye hekima.
 
Kwa watu wenye hekima na maarifa na ufahamu wa kutambua nyakati. Napenda kutoa ushauri kwa wakubwa wa nchi haswa wale wa ndani kabisa wanao shikilia na kumiliki majalada nyeti sana.

Katika nyakati hizi ili kutenda kwa akili na ufahamu na hekima, nyakati hizi zinahitaji, kwanza, kuchoma baadhi ya majalada makubwa na nyeti na majivu yake kutupwa kabisa baharini, pili kujifanyia "cross checking" ya nguvu na ya uhakika na tatu ni kujidunga sindano ya kupetaza memory kwa wale wote waliogusa hayo majalada.

Hali si hali wakuu kwani pazia la nchi lilishapasuka na majalada vyeti kusambaa kwa upepo wa nguvu la kupasuka kwa pazia, kuna watu wameyaokota majalada hayo na kuyahifadhi na wanajifunza kwa bidii sana lugha iliyoandikwa humo ili wapate siri zilizopo.

Kama ilivyo kawaida ya watu kula kiapo cha kutokutoa siri ni bora kufa, hivyo hivyo kuna watu wamekula kiapo cha bora wafe kuliko kutokutoa siri na karibu watayafikia hayo majalada.

Nashauri msiishie tu kuelekeza nguvu nyingi kupambana na mvua za Elli-Nino ambazo mnajua fika zinaashiria nini kiroho.

Mwisho mmeingia mtego wa kupambana na "kiti" ambacho kina nguvu kuliko "kiti" chenu na wenye hekima ya utawala wanalijua hili sema wanafanya makusudi baadhi na wengine wanajaribu kupima nguvu kimzaha na wengine waogopa nyakati na kukaa kimya.

Hapa ndipo penye hekima.
Mwanafalsafa mmoja alinena: daktari aona magonjwa ya mwanadam, mwanasheria aona uovu na kiongozi wa dini aona upumbavu. Mwana theology anaona yajayo kama yanafuraisha au yanauzunisha....
 
Kwa watu wenye hekima na maarifa na ufahamu wa kutambua nyakati. Napenda kutoa ushauri kwa wakubwa wa nchi haswa wale wa ndani kabisa wanao shikilia na kumiliki majalada nyeti sana.

Katika nyakati hizi ili kutenda kwa akili na ufahamu na hekima, nyakati hizi zinahitaji, kwanza, kuchoma baadhi ya majalada makubwa na nyeti na majivu yake kutupwa kabisa baharini, pili kujifanyia "cross checking" ya nguvu na ya uhakika na tatu ni kujidunga sindano ya kupetaza memory kwa wale wote waliogusa hayo majalada.

Hali si hali wakuu kwani pazia la nchi lilishapasuka na majalada vyeti kusambaa kwa upepo wa nguvu la kupasuka kwa pazia, kuna watu wameyaokota majalada hayo na kuyahifadhi na wanajifunza kwa bidii sana lugha iliyoandikwa humo ili wapate siri zilizopo.

Kama ilivyo kawaida ya watu kula kiapo cha kutokutoa siri ni bora kufa, hivyo hivyo kuna watu wamekula kiapo cha bora wafe kuliko kutokutoa siri na karibu watayafikia hayo majalada.

Nashauri msiishie tu kuelekeza nguvu nyingi kupambana na mvua za Elli-Nino ambazo mnajua fika zinaashiria nini kiroho.

Mwisho mmeingia mtego wa kupambana na "kiti" ambacho kina nguvu kuliko "kiti" chenu na wenye hekima ya utawala wanalijua hili sema wanafanya makusudi baadhi na wengine wanajaribu kupima nguvu kimzaha na wengine waogopa nyakati na kukaa kimya.

Hapa ndipo penye hekima.
Mkono wa Bwana uwe juu ya viongozi wa Taifa letu
 
Kwa watu wenye hekima na maarifa na ufahamu wa kutambua nyakati. Napenda kutoa ushauri kwa wakubwa wa nchi haswa wale wa ndani kabisa wanao shikilia na kumiliki majalada nyeti sana.

Katika nyakati hizi ili kutenda kwa akili na ufahamu na hekima, nyakati hizi zinahitaji, kwanza, kuchoma baadhi ya majalada makubwa na nyeti na majivu yake kutupwa kabisa baharini, pili kujifanyia "cross checking" ya nguvu na ya uhakika na tatu ni kujidunga sindano ya kupetaza memory kwa wale wote waliogusa hayo majalada.

Hali si hali wakuu kwani pazia la nchi lilishapasuka na majalada vyeti kusambaa kwa upepo wa nguvu la kupasuka kwa pazia, kuna watu wameyaokota majalada hayo na kuyahifadhi na wanajifunza kwa bidii sana lugha iliyoandikwa humo ili wapate siri zilizopo.

Kama ilivyo kawaida ya watu kula kiapo cha kutokutoa siri ni bora kufa, hivyo hivyo kuna watu wamekula kiapo cha bora wafe kuliko kutokutoa siri na karibu watayafikia hayo majalada.

Nashauri msiishie tu kuelekeza nguvu nyingi kupambana na mvua za Elli-Nino ambazo mnajua fika zinaashiria nini kiroho.

Mwisho mmeingia mtego wa kupambana na "kiti" ambacho kina nguvu kuliko "kiti" chenu na wenye hekima ya utawala wanalijua hili sema wanafanya makusudi baadhi na wengine wanajaribu kupima nguvu kimzaha na wengine waogopa nyakati na kukaa kimya.

Hapa ndipo penye hekima.
Vunja code mkuu , twende sawa.
 
Nyakati zimefika,Hawana Tena pa kuficha codes zao,Kila kitu kipo mbioni decoded!

Zile funguo zimeshapatikana,wameshindwa na hawana namna Tena zaidi ya kutazama anguko lao!!
Too late!
"Mwisho mmeingia mtego wa Kupambana na "KITI "kilicho na nguvu zaidi ya "KITI" chenu".

"Msiishie tu Kupambana na mvua za Er nino ambazo mnajua zinaashiria nini kiroho"🙄🙄

Kumekucha Nyikani.
 
"Mwisho mmeingia mtego wa Kupambana na "KITI "kilicho na nguvu zaidi ya "KITI" chenu

Msiishie tu Kupambana na mvua za Er nino ambazo mnajua zinaashiria nini kiroho🙄🙄

Kumekucha Nyikani.
Kazi inaanza hadi ifike tarehe 20 mwezi was tano nyika itafurika mataifa ya mbali kuja kutatua changamoto zao!!

Kuna Ile clip ya unyakuo ya siku kama nne zimepita nimeisikiliza mara nyingi Sana kuitafakari nikajua mambo magumu yameanza!!!muda sio mrefu yataanza kuonekana mwilini!!
 
Kwa watu wenye hekima na maarifa na ufahamu wa kutambua nyakati. Napenda kutoa ushauri kwa wakubwa wa nchi haswa wale wa ndani kabisa wanao shikilia na kumiliki majalada nyeti sana.

Katika nyakati hizi ili kutenda kwa akili na ufahamu na hekima, nyakati hizi zinahitaji, kwanza, kuchoma baadhi ya majalada makubwa na nyeti na majivu yake kutupwa kabisa baharini, pili kujifanyia "cross checking" ya nguvu na ya uhakika na tatu ni kujidunga sindano ya kupetaza memory kwa wale wote waliogusa hayo majalada.

Hali si hali wakuu kwani pazia la nchi lilishapasuka na majalada vyeti kusambaa kwa upepo wa nguvu la kupasuka kwa pazia, kuna watu wameyaokota majalada hayo na kuyahifadhi na wanajifunza kwa bidii sana lugha iliyoandikwa humo ili wapate siri zilizopo.

Kama ilivyo kawaida ya watu kula kiapo cha kutokutoa siri ni bora kufa, hivyo hivyo kuna watu wamekula kiapo cha bora wafe kuliko kutokutoa siri na karibu watayafikia hayo majalada.

Nashauri msiishie tu kuelekeza nguvu nyingi kupambana na mvua za Elli-Nino ambazo mnajua fika zinaashiria nini kiroho.

Mwisho mmeingia mtego wa kupambana na "kiti" ambacho kina nguvu kuliko "kiti" chenu na wenye hekima ya utawala wanalijua hili sema wanafanya makusudi baadhi na wengine wanajaribu kupima nguvu kimzaha na wengine waogopa nyakati na kukaa kimya.

Hapa ndipo penye hekima.
Asee umeandika mambo mazito,

Ni kama vile nawe umebahatika kufungua code za baadhi ya majalada hayo.
 
Asee umeandika mambo mazito,

Ni kama vile nawe umebahatika kufungua code za baadhi ya majalada hayo.
Ameshajua kiti Cha mungu wa Tanzania kimeshachukuliwa tayari!!

Hawana pa kukimbilia tena,mamlaka Yao Haina nguvu ya kuimiliki Tena nyika!!

Nani amfunge paka kengele!!?
Kaandika kama TumainiEl vile!!
 
Kwa watu wenye hekima na maarifa na ufahamu wa kutambua nyakati. Napenda kutoa ushauri kwa wakubwa wa nchi haswa wale wa ndani kabisa wanao shikilia na kumiliki majalada nyeti sana.

Katika nyakati hizi ili kutenda kwa akili na ufahamu na hekima, nyakati hizi zinahitaji, kwanza, kuchoma baadhi ya majalada makubwa na nyeti na majivu yake kutupwa kabisa baharini, pili kujifanyia "cross checking" ya nguvu na ya uhakika na tatu ni kujidunga sindano ya kupetaza memory kwa wale wote waliogusa hayo majalada.

Hali si hali wakuu kwani pazia la nchi lilishapasuka na majalada vyeti kusambaa kwa upepo wa nguvu la kupasuka kwa pazia, kuna watu wameyaokota majalada hayo na kuyahifadhi na wanajifunza kwa bidii sana lugha iliyoandikwa humo ili wapate siri zilizopo.

Kama ilivyo kawaida ya watu kula kiapo cha kutokutoa siri ni bora kufa, hivyo hivyo kuna watu wamekula kiapo cha bora wafe kuliko kutokutoa siri na karibu watayafikia hayo majalada.

Nashauri msiishie tu kuelekeza nguvu nyingi kupambana na mvua za Elli-Nino ambazo mnajua fika zinaashiria nini kiroho.

Mwisho mmeingia mtego wa kupambana na "kiti" ambacho kina nguvu kuliko "kiti" chenu na wenye hekima ya utawala wanalijua hili sema wanafanya makusudi baadhi na wengine wanajaribu kupima nguvu kimzaha na wengine waogopa nyakati na kukaa kimya.

Hapa ndipo penye hekima.
Kweli tunahitaji uelekeo mpya kabisa!!

Ya zamani yasahaulike Kwa wahusika wadungwe sindano za kupoteza memory kabisa!!

Nabii Rollinga aliona awamu ya nne ikiugua na kupoteza memory kabisa,nadhani Hilo litakua for good ya kesho ya Tz!!

Zile jalada za siri ziteketee kabisa!!
 
Back
Top Bottom