NAMBA MOJA AJAYE NCHINI
JF-Expert Member
- Oct 29, 2019
- 8,525
- 17,437
- Thread starter
- #41
Mkuu nina miaka nane sasa kama muajiriwa wa serikali!!watumishi tunakaa kazini muda mrefu sana vimishahara vidogo hadi tustaafu ni bora tuajiriwe kwa miaka michache tupate hela nyingi tufanye ujasiria mali mwingine kuliko kuajiriwa hadi tuchoke kabisa ndio tupewe hela!!!kwakweli. Mleta mada akipata ajira serikalini sidhani kama atabakiwa na ili wazo