MPARE KIBOGOYO
JF-Expert Member
- Nov 25, 2013
- 405
- 281
Mimi siyo Sam Maela kabisa fuatilia post zangu zote utabaini
Habari Sam...naona umeamua kuanza kuandika jina kwa herufi kubwa.
Mimi siyo Sam Maela kabisa fuatilia post zangu zote utabaini
Habari Sam...naona umeamua kuanza kuandika jina kwa herufi kubwa.
Kwa kutambua mchango wa bethy na jerry pia ungepaswa kutambua kazi ambayo kwa maoni yangu ni kubwa na ya hatari sana iliyowahi kufanywa na aliyekuwa mwandishi na mtangazaji mahiri wa BBC Vicky Mtetema.
Huyu mwana mama aliweka kambi kanda ya ziwa kufanya uchunguzi juu ya mauaji wa zeruzeru.
Huyu mama alifanikiwa kukutana na wauaji, waganga wanaowatuma wateja viungo vya zeruzeru na baadhi ya wateja huku akijifanya naye ni mteja...
Alifanikiwa kubaini mtandao mzima wa wanaojishughulisha na mauaji hayo...alitishiwa sana huyu mama kuuawa baada ya kutoa ripoti yake...mpaka leo serikali sikivu ya ccm haijasikia ili ichukue hatua kuufuta mtandao huo.
Tafakari...
Zeruzeru= albino
Mtu akija na details za diamond,zari,wema na wengine hamshangai lkn mambo kyanayogusa jamii mnashangaa.......!!!!!????
Mungu atusaidie watanzania
You have the first astonishing ID in JF.
---------------------------------------
Nami nakuunga mkono.