Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 57,194
- 128,926
Mkuu Itonjanda, hili ni jina la kijijini kwetu, umenikumbusha mbali!.Tafakari...
Pasco
Mkuu Itonjanda, hili ni jina la kijijini kwetu, umenikumbusha mbali!.Tafakari...
Mimi in siyo Sam Maela bali nafuatilia Sana habari zake anapokuwa anazurusha hewani kwa sababu mara nyingi zinagusa maisha ya watu naapa mbele ya Mungu Mimi siyo sam MaelaKuna cha uongo hapo? Mbona mimi vyote nimeona vya ukweli na mwandishi ametusaidia wengi ambao tuna mtazamo ka wake kuwa anastahili tuzo!
Sidhani kama Sam anastahili tuzo hyo. Sina ujuzi wa mambo ya habari ila Sam anaripoti na kufuatilia habari ambayo kila mwandishi anwaweza ifanya.
Nafkiri tuzo inasthahili kwenda kwa mtu anae kuja na kitu kipya, either kapata taarifa kwa ujasiri mkubwa kiasi kwamba hata akayaweka maisha yake hatarini.
Au kaenda weka kambi mahala kwa muda mrefu kufuatilia jambo kwa kina na kuielimisha jamii kitu kipya.
Hapa namkumbuka BETTY MKWASA alivyoweka kmbi MAKETE masuala ya UKIMWI.
PIA KAZI ALIYOIFANYA JERRY MURO KUFICHUA RUSHWA YA TRAFIC.
REPORT ZA SAM LAINI SANA.
Mkuu sikuungi mkono mawazo yako. Waandishi wengi mnareport vikao na matamasha ya chama na serikali. Maana yake ni kwamba mnasubiri muitwe kwenye press conference. Kama na wewe ni mmoja wao jirekebishe kwa kuiga mfano wa Sam.
Ulicho mjibu ndiyo halali Yake na pia hizo tuzo zimegawanywa katika makundi mbali mbali pia waandishi wengi siku hizi wanasubiri kuitwa tu.Mkuu sikuungi mkono mawazo yako. Waandishi wengi mnareport vikao na matamasha ya chama na serikali. Maana yake ni kwamba mnasubiri muitwe kwenye press conference. Kama na owewe ni mmoja wao jirekebishe kwa kuiga mfano wa Sam.
Kumbuka wamenunua mpaka kila kiwanja lakini kama umeona haizidi milioni 8 ni mtamazo wako Wewe umesaidia wangapi???Ila ile nyumba yule mama aliyetelekezwa na mumewe aliyopewa na COVENANT BANK haifiki 25mil kama mlivosema ile ni fix tupu, thamani yake hawezi kuzidi 8 Mil like,ila big up unafanya kazi kwa bidii
Sidhani kama Sam anastahili tuzo hyo. Sina ujuzi wa mambo ya habari ila Sam anaripoti na kufuatilia habari ambayo kila mwandishi anwaweza ifanya.
Nafkiri tuzo inasthahili kwenda kwa mtu anae kuja na kitu kipya, either kapata taarifa kwa ujasiri mkubwa kiasi kwamba hata akayaweka maisha yake hatarini.
Au kaenda weka kambi mahala kwa muda mrefu kufuatilia jambo kwa kina na kuielimisha jamii kitu kipya.
Hapa namkumbuka BETTY MKWASA alivyoweka kmbi MAKETE masuala ya UKIMWI.
PIA KAZI ALIYOIFANYA JERRY MURO KUFICHUA RUSHWA YA TRAFIC.
REPORT ZA SAM LAINI SANA.
Kwa kutambua mchango wa bethy na jerry pia ungepaswa kutambua kazi ambayo kwa maoni yangu ni kubwa na ya hatari sana iliyowahi kufanywa na aliyekuwa mwandishi na mtangazaji mahiri wa BBC Vicky Mtetema.
Huyu mwana mama aliweka kambi kanda ya ziwa kufanya uchunguzi juu ya mauaji wa zeruzeru.
Huyu mama alifanikiwa kukutana na wauaji, waganga wanaowatuma wateja viungo vya zeruzeru na baadhi ya wateja huku akijifanya naye ni mteja...
Alifanikiwa kubaini mtandao mzima wa wanaojishughulisha na mauaji hayo...alitishiwa sana huyu mama kuuawa baada ya kutoa ripoti yake...mpaka leo serikali sikivu ya ccm haijasikia ili ichukue hatua kuufuta mtandao huo.
Tafakari...
Baada ya yote aliyofanya Vicky Ntetema unajua kilichompata!?? Tanzania Investigative Journalism ni kazi sana! Japo simaanishi kwamba haiwezekani!
Kwa kutambua mchango wa bethy na jerry pia ungepaswa kutambua kazi ambayo kwa maoni yangu ni kubwa na ya hatari sana iliyowahi kufanywa na aliyekuwa mwandishi na mtangazaji mahiri wa BBC Vicky Mtetema.
Huyu mwana mama aliweka kambi kanda ya ziwa kufanya uchunguzi juu ya mauaji wa zeruzeru.
Huyu mama alifanikiwa kukutana na wauaji, waganga wanaowatuma wateja viungo vya zeruzeru na baadhi ya wateja huku akijifanya naye ni mteja...
Alifanikiwa kubaini mtandao mzima wa wanaojishughulisha na mauaji hayo...alitishiwa sana huyu mama kuuawa baada ya kutoa ripoti yake...mpaka leo serikali sikivu ya ccm haijasikia ili ichukue hatua kuufuta mtandao huo.
Tafakari...
ni kweli kijana huyu ni amkini sana kwenye uandishi wa habari hswa ktk kile kipindi chake cha dk45
Unaikumbuka ile issue ya kule Songea kijana aliyekuwa akiishi kinyumba na mama yake mzazi...!!??