Ushauri kwa Sam Mahela, Mtangazaji wa ITV

Ushauri kwa Sam Mahela, Mtangazaji wa ITV

Huyu kijana anaitaji pongezi sana na ushauri uliyompatia ajitahidi afanye hivyo kwa kweli habari zake zimegusa hisia za watanzania walio wengi habar ya kina yule aliyekuwa na uzito mkubwa iliniumiza sana baada ya kusikia amefariki kwa mashirika ya ndege kutokumbeba kwenda india kwenye matibabu

Na Kama Akiwa Anataka Kumpa Ushauri Zaidi Basi Ahakikishe Jumapili Hii au Kila Jumapili Awe Anaenda Salon Ya Kiume Iliyoandikwa CHOGUM Iliyopo Nyuma Ya Kituo Cha Mabasi Cha Mwenge Kusudi Waweze Kuonana Ana Kwa Ana Itapendeza Mno.
 
Hivi ni kwanini huyu ndugu akiwa anamalizia simulizi zake kwenye tv pale anapotaja jina lake huwa anatingisha tingisha kichwa kama ana stroke vile?? au ndo sign off signature yake???
wewe utakua chekechekea??maswali ganya kipumbavu na kijinga hvyo?kesho utauliza kwa nn anatumia mikon kusisitizo taarifa
 
Back
Top Bottom