Mto wa mbu
JF-Expert Member
- Aug 8, 2021
- 4,126
- 9,593
Huu ni ushauri kwa Rais Samia. Nimeona wewe na Nchimbi mnahaidi kuunda tume ya maridhiano ndani ya siku 100 mkichaguliwa.
Naomba nitoe ushauri kwa Rais Samia. Tunaomba CCM ilidhiane na vyama vilivyoshiriki uchaguzi kama CHAUMMA, NLD,NCCR, CUF na vingine.
Mama husilidhiane na Chadema Kwa sababu zifuatazo.
1. Mwenyekiti wa Chadema ni Muhaini.
2. Chadema wamesusia Uchaguzi.
3. Chadema wamefungiwa kufanya shughuli za kisiasa, Hawana Ruzuku na viongozi wao hawatambuliki na msajiri.
Hivyo basi mama ukishashinda ridhiana na CHAUMMA ya Salum Mwalimu.
Na nyie Chadema mkiitwa Kwa maridhiano msiende maana hamtakiwi ndo maana serikali inawaumiza Kila siku.
CCM nawatakia maridhiano mema na CHAUMA,NLD,TADEA na TLP
Mto wa Mbu
Kwa Sasa Nanja- Monduli
Naomba nitoe ushauri kwa Rais Samia. Tunaomba CCM ilidhiane na vyama vilivyoshiriki uchaguzi kama CHAUMMA, NLD,NCCR, CUF na vingine.
Mama husilidhiane na Chadema Kwa sababu zifuatazo.
1. Mwenyekiti wa Chadema ni Muhaini.
2. Chadema wamesusia Uchaguzi.
3. Chadema wamefungiwa kufanya shughuli za kisiasa, Hawana Ruzuku na viongozi wao hawatambuliki na msajiri.
Hivyo basi mama ukishashinda ridhiana na CHAUMMA ya Salum Mwalimu.
Na nyie Chadema mkiitwa Kwa maridhiano msiende maana hamtakiwi ndo maana serikali inawaumiza Kila siku.
CCM nawatakia maridhiano mema na CHAUMA,NLD,TADEA na TLP
Mto wa Mbu
Kwa Sasa Nanja- Monduli