Ushauri kwa Rais Samia jinsi ya kuweka mambo sawa nchini

Ushauri kwa Rais Samia jinsi ya kuweka mambo sawa nchini

Nyie mafala hata uhuru wenu wa kuropoka ni mpango wa watu

Kiongozi haongozi watu kwa kanuni ni dhamira tu

Nyie Mbwa hamjui nguvu ya mamlaka
Mbona umepaniki ? Mara Mafala mara Mbwa ? Jenga hoja Mkuu. Inakuwaje Shehe Mwaipopo anaonyesha kikundi cha vijana wamejifunika nyuso na hachukuliwi hatua yoyote ? Au ndio uhuru wa Tanzania una viwango na madaraja kwa baadhi ya watu ?

Na habari ya mhadhiri wa UDOM unaielewa vizuri ?

Muwe mnafikiri kwa kina sio kujiandikia tu. Mleta uzi kashauri bila hata kutukana lakini wewe mshauri umeshàita majina Mbwa na Fala.
 
Mbona umepaniki ? Mara Mafala mara Mbwa ? Jenga hoja Mkuu. Inakuwaje Shehe Mwaipopo anaonyesha kikundi cha vijana wamejifunika nyuso na hachukuliwi hatua yoyote ? Au ndio uhuru wa Tanzania una viwango na madaraja kwa baadhi ya watu ?

Na habari ya mhadhiri wa UDOM unaielewa vizuri ?

Muwe mnafikiri kwa kina sio kujiandikia tu. Mleta uzi kashauri bila hata kutukana lakini wewe mshauri umeshàita majina Mbwa na Fala.
Dogo kama una kicho

Nazungumzia kujiweka mbali na ushabiki

Ushabiki wowote ule ni Uchoko
 
Bi chura mwenyewe yupo madarakani kwa ku force
hamna rais hapo ni kiazi mbatata!
 
Muungano usipovunjika kesho, huyu bibi hatokaa aishi kisiwani tena-atatokomea Maskati Fisi kule Shinyanga ya Uarabuni.
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Pale pameahindiikana, imeshinda rangi itakuwa wewe chokaaa?
 
Mod hii tabia ya kubadilisha mada za mtoa mada ikome kama vipi futa huzi huu , mtu anaandika ichi nyie mnaandika ya kwenu , nyie vipi
Kiswahili cha dar kabisa hili

Ushaul wako mzuri ila mimi nahisi Samia hayuko sawa sawa kichwani

Jinsi nchi anavyoindesha hata mtoto wa darasa la saba hawezi endesha namna hii

Kila siku anazidi kuharibu, kila siku anazidi kujiweka mbali na wananchi wake, kila siku anazidi kuchukiwa yaan ni changamoto
 
Hatulazishi mtu wewe nawe ulisha kengeuka kama yule mzee Mbeya ,sitaki hata taja jina lake, mzee karudi utotoni kabisa
 
Kiswahili cha dar kabisa hili

Ushaul wako mzuri ila mimi nahisi Samia hayuko sawa sawa kichwani

Jinsi nchi anavyoindesha hata mtoto wa darasa la saba hawezi endesha namna hii

Kila siku anazidi kuharibu, kila siku anazidi kujiweka mbali na wananchi wake, kila siku anazidi kuchukiwa yaan ni changamoto
Ni kweli that's nimemshauri kama mama na sio kiongonzi , uongozi wake nimeweka kando , cheo hata kama ni baba utabaki kule so nimesimama kifamilia kushauri japo wala sio ukoo wangu ila ni rika ya wazee wangu. Mods nao wakafanya yao kuchakachua uzi wangu ,ndo maana nikawaomba waufute
 
Dogo kama una kicho

Nazungumzia kujiweka mbali na ushabiki

Ushabiki wowote ule ni Uchoko
Acha upumbavu hujaitwa changia hapa uyo ndugu amekujibu vizuri sema zwazwa , mbulula ,na mwenda wazimu why kuja na matusi hapa ,mshamba sana
 
Mods naomba futa uzi huu mmeuchakachua sana ,tafadhali niko chini ya miguu yenu
 
Mama, CCM imekuharibu huenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Ati?
 
Akifata ushahuri huo anakufa wiki tu baada ya kuanza kuutekeleza

Labda aamue kujiuzulu
 
Jeuri na hawezi kukemea chochote, akiulizwa alipita kwa kupigiwa kula na nani?
 
Back
Top Bottom