Ushauri kwa Rais Samia jinsi ya kuweka mambo sawa nchini

Ushauri kwa Rais Samia jinsi ya kuweka mambo sawa nchini

Jf Mods naomba hii post ifutwe , mmeichakachua kinyume na mantiki yangu ya mada hii
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
HAKUNA UPUMBAVU KAMA KUPOTEZA MUDA WAKO KUSHAURI MPUMBAVU HASA MPUMBAVU MWENYE UANITHI WA AKILI
 
Wazo kwamba wewe unafikiri unaweza kumshauri Samia, tena kwa kupitia JF, linachekesha na kusikitisha kwa wakati mmoja.

Tatizo la Samia si kupata ushauri, anapata ushauri wa kila aina.

Tatizo hana political will, hana nia, hajali.

Na hili ni jambo ambalo huwezi kushauri.
Huu ndo ujinga walitesa Taifa, kama Rais na watu wake USA wanaweza chakata mawazo mbalimbali yanayo lenga kujenga why tz , sie ni wajinga basi tena wakutupa
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Badala ya kumshauri ajing'oe yeye madarakani,unamshauri awang'oe wengine halafu yeye abaki.
 
Nomba leo mkuu tupst kwa staa kidogo , maana nimesema naongea naye kama mama sio kwa cheo chochote , mods wakabadilisha sijui kwa manufaa ya nani
ACHA kuwa mpumbavu, wewe huna mama? Mama, mama, mama upuuzi mtupu
 
Nchi za kiafrika , kuna watu huwatia hofu viongozi wakuu ili wapige pesa kama sio ufisadi,

Mfano leo Rais wa nchi flani E.A anaweza kwenda kwa mtu hata huko kakonko , akashindwa kulala ,kunywa chai ,chakua , hata bila vingora ?

Mnatia watu hofu huku mkifanya hujuma za kipumbavu
 
Wazo kwamba wewe unafikiri unaweza kumshauri Samia, tena kwa kupitia JF, linachekesha na kusikitisha kwa wakati mmoja.

Tatizo la Samia si kupata ushauri, anapata ushauri wa kila aina.

Tatizo hana political will, hana nia, hajali.

Na hili ni jambo ambalo huwezi kushauri.
Ongeza sauti Mkuu
 
Kichwa cha andiko langu ni


Leo acha niongee na samia kama mama na sio cheo chochote .

Sasa haya mh rais na blabla yanatoka wapi ? Kwenu mods , rais ni cheo so kama ni cheo kwa nini niongee na cheo ili hali nimesema naongea naye kama mama? Rudisha kichwa cha mada hamtaki futa hii post
Jf kabla ya uchaguzi thread moja unakuta inawachangiaji 1000 na waliosoma 7000 saiv idadi imeporomoka sababu ya mambo kama hayaa.

Jf imepoteza umaarufu, ushawishi
 
Mama, CCM imekuaribu wenda ulikuwa mwema sana .

Majizi kila siku na kabla kazi nikukutengenezea hofu, hofu ambayo imevuruga Taswira yako na nchi , wahauni hawa na wenda wana jambo lao na umejaa kwenye mfumo wao bila kujua , 29 Dec sio ya kitoto na imewafanya watanzania sasa kuwa majasiri kuliko jana.

Nikuombe achana na ushauri wa watu wajinga kama Wasira ,kwani mpaka ulipo hapo una miaka 100 mbele ya kuishi duniani?

Hizi kesi uchwara za Kigaidi zinakusaidia nini? Kama sio kuaribu kabisa , je tunajua madhara yake kwa nchi ,je ni kweli huwa unajua ujinga huu na kuukubali?


Nikushauri
1. Piga chini wakuu wa mikoa yote then anza pitia faili moja baada ya lingine mwenyewe sio litewa mkeka mezani

2. Anza upya kupitia kila cv ya wakurugenzi mwenyewe kila taasisi ya serikali

3. Kaa vizuri na Chimbi wenda mbele akafaa sana

4. Wazee wote wajinga kama Wasira piga chini.

5. Vunja bunge na itisha uchaguzi mpya ikiwemo serikali za mtaa .

6. Piga marufuku kubambikia watu kesi za ugaidi .

Futa kesi ya Lissu, na viongozi wa chama chao

7. Unda CCM mpya ya ushindani

Nimemaliza
Thanks
Huo uwezo hana.
 
Back
Top Bottom