Ushauri kwa Rais Samia: Fedha za COVID-19 ungezitumia kuandaa mtaala mpya wa elimu kuliko kujenga madarasa

NAMBA MOJA AJAYE NCHINI

JF-Expert Member
Oct 29, 2019
8,525
17,434
Mama yangu, kuliko kuboresha elimu mbovu, mbaya, iliopitwa na wakati, isioajirisha, mzigo kwa taifa!

Ni bora fedha zingetumika kuandaa mtaala mpya kabisa ambao ungesaidia vijana kujiajiri!elimu yenye vitendo zaidi kuliko huu upumbavu na ujinga wa kukariri unaohalalishwa na utaahira unaoitwa mitihani ya taifa inayosimamiwa taasisi isiyo na ubunifu iitwayo NECTA.

Naomba uvute picha siku hao mnaowaita wasomi wa elimu hii duni watakapochoka huko mtaani na wakapata kiongozi mwenye nia ovu na Tanzania si watamuunga mkono? Je, si mtapiga risasi watu na zitaisha? Je, nini kitafuata? Zaidi ya kupoteza maslahi yenu mliojilundikia tangu mkiwa wadogo?

Kujenga madarasa ni kuimarisha elimu ya kijinga ambayo itakuja kuwatoa madarakani siku moja!!Hamuwezi kuupaka ujinga rangi kwa kutumia fedha za Covid19.

Kama kuna chawa wake humu! Aende kumweleza kuwa kuna mtu katukana elimu yetu huku aje asome aelewe mambo.

Kila la heri wasomaji
 
We
Mama yangu, kuliko kuboresha elimu mbovu, mbaya, iliopitwa na wakati, isioajirisha, mzigo kwa taifa!

Ni bora fedha zingetumika kuandaa mtaala mpya kabisa ambao ungesaidia vijana kujiajiri!elimu yenye vitendo zaidi kuliko huu upumbavu na ujinga wa kukariri unaohalalishwa na utaahira unaoitwa mitihani ya taifa inayosimamiwa taasisi isiyo na ubunifu iitwayo NECTA.

Naomba uvute picha siku hao mnaowaita wasomi wa elimu hii duni watakapochoka huko mtaani na wakapata kiongozi mwenye nia ovu na Tanzania si watamuunga mkono? Je, si mtapiga risasi watu na zitaisha? Je, nini kitafuata? Zaidi ya kupoteza maslahi yenu mliojilundikia tangu mkiwa wadogo?

Kujenga madarasa ni kuimarisha elimu ya kijinga ambayo itakuja kuwatoa madarakani siku moja!!Hamuwezi kuupaka ujinga rangi kwa kutumia fedha za Covid19.

Kama kuna chawa wake humu! Aende kumweleza kuwa kuna mtu katukana elimu yetu huku aje asome aelewe mambo.

Kila la heri wasomaji
Wee Jamaaa ni nani kwenye asasi ya kuboresha mitaala Tanzania inaonekana uko kwenye nafasi ya kufaidika na fungu la kuboresha hiyo mitaala
Kwa nini....???
Pesa ya covid19 ni takriban 1.3 TRILLION
Unaposema tuache kijenga madarasa hela ikashughulikie kuboresha mitaala una maanisha kwamba gharama za kuboresha mitaala ni zaidi ya trillion?
 
We

Wee Jamaaa ni nani kwenye asasi ya kuboresha mitaala Tanzania inaonekana uko kwenye nafasi ya kufaidika na fungu la kuboresha hiyo mitaala
Kwa nini....???
Pesa ya covid19 ni takriban 1.3 TRILLION
Unaposema tuache kijenga madarasa hela ikashughulikie kuboresha mitaala una maanisha kwamba gharama za kuboresha mitaala ni zaidi ya trillion?
Kuboresha mtaala ni pamoja na kujenga miundombinu yake!!madarasa yaliyojengwa ni maboresho ya mtaala ule ule ambao umeshaanza kuonyesha nyufa kwa kupitwa na wakati!!gharama za kuandaa mtaala mpya ni kubwa kuliko hata hizo fedha za covid-19!!!
 
Kuboresha mtaala ni pamoja na kujenga miundombinu yake!!madarasa yaliyojengwa ni maboresho ya mtaala ule ule ambao umeshaanza kuonyesha nyufa kwa kupitwa na wakati!!gharama za kuandaa mtaala mpya ni kubwa kuliko hata hizo fedha za covid-19!!!
Kwa hiyo unachotaka kuniambia ni kwamba mitaala ikiboreshwa shule au madarasa tuliyonayo hayatofaa kutumika tena kenye mitaala mipya???
 
Kwa hiyo unachotaka kuniambia ni kwamba mitaala ikiboreshwa shule au madarasa tuliyonayo hayatofaa kutumika tena kenye mitaala mipya???
Hapana kuna majengo ya vitendo yataongezwa ili kuendana na mtaala mpya pia marekebisho yatafanyika mapya ili kukidhi viwango vya mtaala tarajiwa!!gharama kubwa Sana zitatumika kukamilisha vyote!!!
 
Back
Top Bottom