Ushauri kwa msanii Harmonize

Ushauri kwa msanii Harmonize

Jamaaa anaimbaaaa aiseee

Huu ni ushauri kwa Harmonize
View attachment 2869848
1.punguza Bangi
2.Kuwa na creativity upande wa collabo.. Achana na wasanii wa hapahapa.. Mtafute hata lilbaby piga nae collabo la Karne.
3.OA
4.Hakikisha hauwasiliani na Diamond. Vimba.
5.Mwezi wa 9 mwaka huu Usisafiri.
Yangu ni hayo tu... Ukiona naandika kitu ujue tiyari Nina mafile yako.
Wewe ni kioo cha jamii.... Badilika
Nikianzaga kusikiliza playlist ya Konde boy basi hua nainjoy Sana...

Single again
Nimependa tena
Namficha
Mwaka wangu
My way
Bakhresa
Naogopa
Follow me
Mtaje
Amelowa...
 
Jamaaa anaimbaaaa aiseee 🙌🙌🙌🙌

Huu ni ushauri kwa Harmonize
View attachment 2869848
1.punguza Bangi
2.Kuwa na creativity upande wa collabo.. Achana na wasanii wa hapahapa.. Mtafute hata lilbaby piga nae collabo la Karne.
3.OA
4.Hakikisha hauwasiliani na Diamond. Vimba.
5.Mwezi wa 9 mwaka huu Usisafiri.
Yangu ni hayo tu... Ukiona naandika kitu ujue tiyari Nina mafile yako.
Wewe ni kioo cha jamii.... Badilika 🇹🇿
Kwamba huyu dogo anaongea vizuri na diamond?
 
Siku hizi interest yake kubwa itokanayo na ushamba ni wanawake hasa wenye makalio makubwa kuliko kufikiria njia ya kupandishwa muziki wake.
Mapinduzi kafungua Diamond na kufungwa na Ally Kiba yeye yupo na Posh Queen 😡
 
Jamaaa anaimbaaaa aiseee

Huu ni ushauri kwa Harmonize

1. Punguza Bangi
2. Kuwa na creativity upande wa collabo. Achana na wasanii wa hapahapa. Mtafute hata lilbaby piga nae collabo la Karne.
3. Oa
4. Hakikisha hauwasiliani na Diamond. Vimba.
5. Mwezi wa 9 mwaka huu Usisafiri.

Yangu ni hayo tu. Ukiona naandika kitu ujue tiyari Nina mafile yako. Wewe ni kioo cha jamii. Badilika

View attachment 2869848
Mh I'm big African super star, From mtwara city boy go far.
Pretty morning baby see them cars, Na hazina pakukaa and I got this far.
And I was born Leader, Yaani kifupi nazijua shida.
Kusimangwa kutukanwa kwangu kawaida naona barida. This,
Yes they call me boss, Kama hautaki sikuforce
I love the way You love me, Coz a my big fan of meee.
Mh nisamehe kama nakukera, Ila kitaa ndo kimenipa bendera
Narusha masela mpaka walo jela
Of course of course of course...
 
Kwenye bangi hapana mkuu, inabidi aongeze....kina Bob Marley walitoa vitu hatari kadri walivyozidi kupuliza mjani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom