MAHANJU
JF-Expert Member
- Aug 26, 2014
- 5,244
- 7,966
Kama mpaka sasa wewe ndiye ulimbatiza jina Pro Lipumba anajulikana kama "Mwenyekiti anayetambuliwa na Msajili wa vyama vya siasa". Wala sio Mwenyekiti wa CUF! Vyombo vyote vya habari vinaandika kua Mwenyekiti unayemtambua wewe. Una maslahi gani nae mpaka umtambue wewe? We ni Mahakama?
Sasa kwakua kesi iko Mahakamani, na siku Mahakama ikakataa kumtambua basi wewe uondoke nae kwakua unamtambua wewe! Yaani ni Mwenyekiti wako kama anavyotambulika.
Sasa kwakua kesi iko Mahakamani, na siku Mahakama ikakataa kumtambua basi wewe uondoke nae kwakua unamtambua wewe! Yaani ni Mwenyekiti wako kama anavyotambulika.