Ushauri Kwa Mnaotafuta Wapenzi

Ushauri Kwa Mnaotafuta Wapenzi

pozzyfaza

JF-Expert Member
Joined
Mar 20, 2012
Posts
1,453
Reaction score
268
napenda kuwapa ushauri wa kuweka ata picha. Nazani Picha ni moja ya kichocheo ya kuweza kupata mwenza mapema na kwa haraka. Sasa huwezi pata mwenza wakati hajakuona ata picha yako
 
kwahiyo tuweke picha gani? passpot size, au nzima?
 
napenda kuwapa ushauri wa kuweka ata picha. Nazani Picha ni moja ya kichocheo ya kuweza kupata mwenza mapema na kwa haraka. Sasa huwezi pata mwenza wakati hajakuona ata picha yako

-_Send_Me_Your_Photo_-______17.06.2013.jpg
 
Back
Top Bottom