Ushauri kwa mh. Zitto Kabwe (mb)

Ushauri kwa mh. Zitto Kabwe (mb)

Status
Not open for further replies.
KAMA ULIVYOTOLEWA NA DR. B. M. MOHAMED:
.............

Onyo: Watu hao hawawezi kummaliza Zitto kisiasa bila kuiathiri CHADEMA maana the imaage of Zitto is so intimately intertwined with CHADEMA that you couldn’t attack Zitto without jeopardizing the image of Chadema, and vice versa.

Siku Zitto anawakilisha haya nilikuwa kwanza kuulaani sana haya meneno ktk red: Zitoo kawa kam kawa confused , km kageuza kauli kuwa maisha yake na image yake ndio imekuwa intertwined na Siasa na mafanikio ya CDM.Na ni CDM ndio ikishambuliwa Zitto atakuwa kk jeopardy.Sasa Zitto anavyoanzia kuwa attack ikianzia kwakwe inaishia ku jeopardize CDM ..ilikuwa ni mwendelezo wa aliyokuwa akiamni na kuwaambiwa watu kuwa yeye ndie kila kitu ktk CDM, na viongozi wengine si kitu mbele yake.Hiyo vise versa aliiweka kukta makali tuu,ila si true kwake na sentence kaigeuza vibaya ili kumweka kuwa central.Zitto kaendelea jisifia ktk haya na mambo mengine ambayo niliyaita roots of Evil..mojawapo ya hayo ni haya:
-Pride.
-Greed
Wanaoeneza sumu hii hawana nia njema wala mapenzi na CHADEMA. Hawaelewi siasa. Wanafurahisha maadui wa CHADEMA. Maadui wanawachochea kwa kuwapa habari za uwongo na wao wanadhani watammaliza Zitto. Huwezi kummaliza Zitto bila kuiathiri CHADEMA. H.awatafanikiwa............


Zitto anaendelea kujifanya yeye tuu ndio anayejua, na wengine hawajui, na walio tofauti naye wamepotoka.Pia zitto anaamini kuwa maamdui zake wapo ndani ya CDM tena kwa zaidi ya watu wanaomshuku wanavyodhani nani ni adui.
 
KAMA ULIVYOTOLEWA NA DR. B. M. MOHAMED:
ENDELEA.........

"HIVI NDIVYO ALIVYOWAHI KUSEMA MH ZITTO KATIKA MAHOJIANO NA MWAKILISHI WA WANAJAMII FORUM MNAMO TAREHE 22 NONEMBA, 2012. NA MAONI YANGU KWA ZITTO NI HAYA HAPA CHINI:

Mwakilishi: Vipi madai kuwa unatumwa na CCM ili kupunguza nguvu ya CHADEMA? Kama si kweli unadhani kwanini watu wanakuona kama pandikizi ndani ya CHADEMA?

Zitto: Baadhi ya watu wanapandikiza chuki hizi kwa sababu zao wenyewe. Hawanisumbui maana najua ni kikundi kidogo cha watu wachache wenye malengo yao ovu. Wajue tu kwamba hawawezi kuwadanganya Watanzania ambao wanafanya maamuzi yao sio tokana na propaganda ila kutokana na matendo ya kila mmoja.

Onyo: Watu hao hawawezi kummaliza Zitto kisiasa bila kuiathiri CHADEMA maana the imaage of Zitto is so intimately intertwined with CHADEMA that you couldn’t attack Zitto without jeopardizing the image of Chadema, and vice versa.

Wanaoeneza sumu hii hawana nia njema wala mapenzi na CHADEMA. Hawaelewi siasa. Wanafurahisha maadui wa CHADEMA. Maadui wanawachochea kwa kuwapa habari za uwongo na wao wanadhani watammaliza Zitto. Huwezi kummaliza Zitto bila kuiathiri CHADEMA. Hawatafanikiwa.

Mwakilishi: Ni kweli kuwa una mkakati wa kuhamia CCM kabla ya 2015?

Zitto: Sijawahi wala kufikiria kuhamia CCM. Kama nilivyosema hapo awali, sijawahi kuwa mwanachama wa chama kingine chochote tofauti na CHADEMA. Namwomba mungu kuwa niondoke duniani nikiwa chama hiki hiki. Siamini katika kuhama vyama. Ninaamini katika mfumo imara wa vyama vingi nchini. Ninaamini katika demokrasia pana.

Maoni yangu kwa Mheshimiwa Zitto Zuberi Kabwe, kwa kuzingatia majibu yake katika sehemu ya majibu yake ya tarehe 22 Nov, 2012 na maamuzi ya Kamati kuu ya CDM ya tarehe 22/11/13.

1. Wewe ukiwa ni mwanachama muhimu ambaye unatambua hila za baadhi ya watu kupandikiza chuki ili kuiathiri CHADEMA ni vema ukubaliane na maamuzi ya kamati kuu ya CDM kukuvua nyadhifa za uongozi, ili kutowapa fursa maadui wa CDM.

2. Pili pamoja na mchango wako mkubwa katika CDM ni vema utambue kuwa CDM kinaundwa na watu makini ambao mmekuwa mkishirikiana pamoja kwa kiwango cha juu (kabla ya wingu la kutiliana mashaka) kukijenga na kukiimarisha chama. Hivyo nadhani hata bila wewe chama kitazidi kuimarika na kusonga mbele.

3. Kama kweli unakipenda CDM(nguvu ya umma) kwa dhati ya moyo wako basi huna budi kuwapenda pia wanachadema wenzako na kuwa tayari kuheshimu maamuzi ya kamati kuu ya CDM ambayo inakufahamu fika(kuliko sisi). Ningekuwa mimi ndo wewe ningejitetea na kukiri madhaifu yangu na hata kuomba radhi inapobidi na kuomba niendelee kuwa mwanachama wa kawaida wa CDM nikiwa na nyadhifa zingine kama mbunge na mwenyekiti wa PAC.

4. Ni vema uwe mvumilivu kwani kama nia yako ni kuwa kiongozi wa nchi kupitia CDM, wana CHADEMA na Watanzania kwa ujumla watakutaka katika nafasi hiyo katika muda muafaka. Just have faith and work hard with your fellow CDM members to strenghthen the party that is bringing the new hope to the majority of frustruted Tanzanians."

Mwisho wa Nukuu.



kabisaa yaani akienda kinyume na hapa me ntamjua nayeye ni walewale
 
Aende na wakae wakijua ni msaliti wa watz wote
Zitto ameua demokrasia nchini
soma hapo chini

Ndiyo CCM yako inavyofanya

Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " <shimbi85@gmail.com> >
To: “Emmanuel Nchimbi” < nchimbie@yahoo.com >

On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com> wrote:

sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na zzk. mh. Lukuvi namtafuta punde

MN

2013/11/17 Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma

Sent from my ipad

On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com> wrote:

Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa zzk abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni

MN

Endeleeni ila mtaula wa chuya​























Wakuu,,, naona kiza zito hi habari ina ukweli ebu ma engineer mtupe maelekezo kwa hapa kdgo
 
tumikeni but ukweli utabaki kuwa ukweli na icc inawasubiri ninyi maharamia. na hatukati tamaa wala kuogopa ukombozi nilazima na cdm pekee ndo wenyehaki na wajibu huo.
 
Dah! bado sijapata cha kuongea, hili limenisahaulisha machungu ya mgao wa umeme, . Pesa zetu za kodi zina tuchezea akili kweli kweli. hapa dawa ni kugomea mpaka kodi za majani ya chai tuone watapata wapi hela za kuwahujumu wakina zito

Haha..kwani huwa wanakushanya kodi
 
Ukipata nafasi ya kukutana na ZZK utamshauri afanye nini katika kipindi hiki kigumu anachokabiliana nacho????
 
Usikurupuke wala kuropoka. Tulizana tafuta mchumba uoe uachane na ukapera huna sababu ya kuendelea kuwa kapera miaka yote hii.
 
Ninachojua mimi sababu za kumfukuza Zitto kwenye chama ni nyingi mno. walichokisema kamati kuu hadi sasa wamembeep tu, bado hawajampigia. Ngoja tusubiri kesho atasema nini na rafiki yake ambaye hawajakutana barabarani Dr Kitila.

haha..kitila mkumbo ananikumbusha Mkumbo wengi sana ambao wote ni vimeo.Hta huyu aliyesoma na kusomesha watu ni kimeo.Sasa sijui km aiowaelimisha nao si vimeo zaidi.

Kweli roll model wake mwingine ni JK....hakukutana na dr.Kitila barabarani,Jk nae hawakukutana na EL barabarani.
upo sahihi na kwa ujinga wa Zitto atafikiri kesho wataendelea mvumilia huyu psychopath.Atakwenda wabwatukia akidhani anaweza cheza kamikaze km kawa nao wamvumilie ili ajaribu geuza black kuwa gey.
 
Nitamshauri aanzishe chama chake cha siasa maana anaamini kuwa anawafuasi wengi. Halafu nitamwambie awe makini sana na mamluki wanaotumiwa na CCM na CDM lasivyo hakitafika mbali. pia nitampa mbinu chache ambazo hutumiwa na mamluki ukizingatia zingine nyingi anazijua yeye mwenyewe.
 
Re: Kuvuliwa uongozi kwa Zitto; CHADEMA Mmejipangaje kuepuka propaganda za UDINI na Ukanda zidi yenu
Katika hili, "Tuwe werevu kama nyoka lakini wapole kama hua." Tutashinda!


Reply Reply With Quote Send PM
Haki sawa
Today 02:47 #147
JF Senior Expert Member
Array
Join Date : 4th October 2007
Posts : 668
Rep Power : 9404
Likes Received
544
Likes Given
6
Tafsiri ya Udini na Ukanda wa CHADEMA kwa hatua za Kamati Kuu.
Kikao cha Kamati Kuu ya Chadema kilichomalizika juzi na maazimio yake kutangazwa jana kiliamua kuwavua Uongozi wajumbe wa Kamati kuu wawili ambao ni aliyekuwa Naibu Katibu Mkuu , Mhe .Zitto Kabwe na Dr. Kitila Mkumbo.
Aidha kilimvua madaraka ya uongozi aliyekuwa Mwenyekiti wa Mkoa wa Arusha Samsoni Mwigamba .


Ukiangalia kwa umakini uamuzi huo wa Kamati Kuu utaona kuwa kwa upande wa dini , Ukabila , Mikoa na Ukanda utaona ifuatavyo;


Zitto Kabwe , huyu ni Muislamu, Kanda yake ni Magharibi , Kutoka Mkoa wa Kigoma , Kabila lake ni Muha.....


Dr.Kitila Mkumbo, huyu ni Mkristo, Kanda yake ni ya Kati, Kutoka Mkoa wa Singida, Kabila lake ni Mnyiramba .....


Samsoni Mwigamba, huyu ni Mkristo, kanda yake ni Kaskazini, Mkoa wa Arusha ( ndio alikuwa Mwenyekiti wa Mkoa) , Kabila lake kwa kweli sijui, ila Nina uhakika kuwa huyu sio Muha wala sio Mnyiramba.


Ukafanya uchambuzi ambao sio biased , kwa vyovyote vile utaona kuwa kwa upande wa dini, Muislamu yuko mmoja na Wakristo ni Wawili.Hii ni sawa na kusema kuwa 75% ni Wakristo ndio wamepunguzwa Chadema na 25% ya Waislamu ndio wa epunguzwa kwa maamuzi hayo, huwezi kusema kuwa kulikuwa na ajenda ya kuiumiza dini moja , ila dini iliyoathirika zaidi ni Wakristo kwa kuwa ni asilimia 75% ndio wameathiriwa na maamuzi hayo.


Ukija kwa upande wa Ukanda unakuta kuwa Kanda ya Magharibi imeathirika kwa 33.33% , Kanda ya Kati imeathirika kwa 33.33% na Kanda ya Kasikazini imeathirika kwa 33.33% , hivyo maamuzi hayo haya kufanyiwa kwa misingi ya Ukanda Kwani kila Kanda imeathirika kwa kiwango sawa sawa, huwezi kutoa conclusion kuwa kulikuwa na ajenda ya Ukanda katika maamuzi yaliyofikiwa.


Ukitazama maamuzi hayo kwa Dhana ya Mikoa , utakuta kuwa hakuna Mkoa ambao uliathiriwa kuliko Mkoa mwingine Kwani kila Mkoa umeumia kwa kiwango sawa yaani Singida 33.33%, Arusha 33.33% na Kigoma 33.33% , hivyo unaweza kufikia conclusion kuwa hapakuwa na Mkoa ulipokuwa umelengwa Mahususi , ndio maana maamuzi hayo haya wezi kuitwa yalikuwa ya kuumiza ama kupendelea Mkoa fulani.


Ukiamua kuyatazama maamuzi hayo kwa misingi ya Ukabila unakuta kuwa hapakuwa na Kabila ambalo lililengwa Mahususi, kwani hapakuwa na Kabila moja lililoumia kuliko Kabila lingine , yaani kwa kupoteza idadi kubwa ya wajumbe kwenye vikao vya Chadema .


Hivyo, basi nawataka wale wote ambao wana jengo hoja kuwa uamuzi huu ulikuwa ni kwa misingi ya Ukanda, Udini na au ukabila wathibitishe madai yao kwa facts na sio kwa hoja nyepesi na Propaganda za kizamani kama ambavyo wanafanya kwenye kujenga hoja zao ili Jukwaa hili liweze kuwa na heshima yake ya miaka hiyo .


Aidha, kwa wale ambao tunaamino kuwa maamuzi hayo yalifanywa kwa misingi ya haki na kwa lengo la uwajibikaji,tunaamino kuwa hatua ya Kamati Kuu ilikuwa sahihi nailizingatia merits na sio kwa kutazama jambo lingine lolote lile.


Mwenye hoja unakaribishwa kwa mjadala wa Nguvu ya Hoja na sio Hoja za nguvu , kama unafikiri kuwa IQ yako iko chini please soma subiri wengine wachangie kwa kujenga hoja , Moods zingatieni hoja kwa maslahi ya jukwaa hili.


Thanks, CC, Nguruvi3, Mchambuzi, Mkandara, Mwanakijiji, Mungi, et all.
Alinda and TsafuRD like this.
 
"Tusiwaamini sana wanasiasa iwe wa CCM au CHADEMA "Zitto Kabwe 2013
 
Aende na wakae wakijua ni msaliti wa watz wote
Zitto ameua demokrasia nchini
soma hapo chini

Ndiyo CCM yako inavyofanya

Subject: Fw: kazi nzuri
Date: Sunday, November 17, 2013 20:28
From: " Mwigulu Nchemba " <shimbi85@gmail.com> >
To: “Emmanuel Nchimbi” < nchimbie@yahoo.com >

On Sunday, November 17, 2013 6:15:44 PM, Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com> wrote:

sawa boss,,jumatano saa moja imekaa safi kabisa. tuchape kazi. ntakupa update nikitoka kuonana na zzk. mh. Lukuvi namtafuta punde

MN

2013/11/17 Emmanuel Nchimbi < nchimbie@yahoo.com >

bila shaka vijana wamefanya kazi nzuri sana. mapambano yanaendelea, hakuna kulala, hapa sasa tume lote livunjwe na huyo waryoba apumzishwe. mtafute mh. Lukuvi ana mazuri ya kuongea na wewe. kuna mapya pale ufipa, nimeshaongea na mh. zitto na amenipa brifieing .. tukutane jumatano basi jioni ya saa1 pale pale cheer,, Emma

Sent from my ipad

On Sunday, November 17, 2013 5:55:02 PM, Mwigulu Nchemba <shimbi85@gmail.com> wrote:

Naona vijana wametekeleza shuguli vizuri, na cham imewakilishwa vizuri sana. Msangi jembe, sasa tutaipata katiba tunayoitaka hicho kikwazo kikishaondolewa bila shuruti. Alafu upande wa pili (cdm) inabidi tuongeze dau ili shujaa zzk abakie ndani, nasikia kuna mkakati wa kumtoa kwenye kinyang'anyiro. tujitahidi sana sana kumsaidia kujenga mtandao wa ndani apate u wenyekiti. taarifa zaidi za ndani zinasema wkamba wanajaribu kumfukuza kabla ya mwisho wa mwaka, tuendeleze vita hilo lisitokee, naona kundi ndani ya bavicha hasa hiyo mitoto inafanya sana mashambulizi lakini hawataweza. inabidi wadhibitiwe. rockup wiki mbili itawasambaratisha. Tuongeze kasi kwa wajumbe wa kamati kuu. wengi wao ni njaa sana nazani 5mil kila moja inatosha kabisa.wananifata sana kuomba hela ili wasaidie nakutana na ZZK baadae plae pa siku ile, unaweza kufika saa 1 jioni

MN

Endeleeni ila mtaula wa chuya

kuna ukweli kabisa na kufanana na ule waraka kwa asilimia nyingi kabisa..huna nyingine mkuu tuendelee kula raha.

-ktk waraka wana kiri kuwa wamefulia na hawana kazi na kusafiri kunawafanya waziache familia zao ktk ubao mkubwa.

-Waraka unaonyesha pia juhudi za ZZK kumchefua, kumzoofisha, kumpindua mwenyeketi na hapa maCCM wana hiyo habari na wanatamani sana.
 
Ningemshauri abaki tu kuwa mwanachama wa Chadema aachane na mambo ya uongozi!
Pia akabiliane kiume na changamoto zinazomkabili as long as no man is perfect!
 
Ushauri .kama zito unaamini uko sahihi usikubali kufanywa kafara kirahisi kwa kujivua uanachama.
Umetumia muda wako na nguvu zako nyingi kukitetea na kukijenga chama chako.
Uwepo wako na umakini na weledi ulionao wa mambo ya siasa umekijenga na kusaidia mwenekano wa chadema usiwe ule wa fujo fujo kwa kuwa mbali na wenye muelekeo hio.
Wengine tunaamini kuwa ni mmoja kati ya viongozi watarajiwa ww nchi hii .
Simama imara kupigana na wale wanaofanya vyama mali yao na familia zao.utaratibu huu ndio unarudisha nyuma democrasia hii ya vyama vingi kumefanya watu wengi kutoamini opposition na kuendelea kwa nguvu za ccm .
Umekua ukipinga mara nyingi chadema kuhusishwa na udini na ukabila lakini kama hilo halipo kama unavo amini basi kunaa tazizo la Udugunazation ambao lazima lipigwe vita.
Simama imara usikubali kuanguka kirahisi .
Kujitoa kutakidhoofisha chadema sana na itakua pigo kubwa kwa siasa za upinzani nchi hii .ulisema umetoka kigoma na hukukimbia ila uliaga hivo tunajua hutakua goi goi kukubali chadema kipotelee kwenye lindi la udini ukabila au udugu dugu

Kafara ya Zitto itakubalika madhabahu gani?Kwa Mungu hakuna kuua had Mende(Au kuaga kigoma)..kwa mizimu na mashetani wa jehanamu.Hawatakubali kwa vile tayari ni mali yao(Mashetani nao si wajinga kiasi hicho wapewe kilichotoka mfukoni kwao km zawadi).
 
Aanzishe chama chake wanafiki wenzake wakajiunge nacho

watakuwa wachawi maarufu....kwanza wamefulia.CCM wanajau hilo kuwa vinaja hawana hela wanaohongeka kidogo sana.Halafu boss wao ni maarufu na anajisifu kwa uchawi.Wanakiri ktk waraka kuwa ana jazba.Kitakuwa km kito cha kuhamisha watumwa kabla ya kuwafikisha ktk soko la watumwa Zenj.I mean Lumumba.

Shetani siku zote huwaabisha walio wake,ktk michezo yake ya kutafuta namna ya kuwaabisha walio wa Mungu.At least now CDM wakisema tulianza na Mungu ,tuna maliza na Mungu.na si tulianza na Mungu+mganga, na tunamaliza na Mungu+Shetani.

Haha ....kutoka kiapo cha kuzimu hadi kiapo cha Mungu.Msigwa simama .Safisheni wachawi ktk Nyumba ya CDM ili Mungu aharakishe kuikomboa nchi.
 
Kama kweli anaipenda cdm na watanzania wanaoipenda cdm afuate ushauri. Ila kama kweli ni mtumwa wa magamba lazima kesho atatoa maneno yenye kuongeza joto ndani ya chama!
 
Ningemshauri abaki tu kuwa mwanachama wa Chadema aachane na mambo ya uongozi!
Pia akabiliane kiume na changamoto zinazomkabili as long as no man is perfect!

Atabaki km ataweza andika sababu ni kwanii CDM wasimvue uanachama.Pengine akiomba msamaha.Otherwise pia kubaki kwake hawezi kuwa comfortable kabisa.Kwa jinsi alivyoamua kuwa kma Christiano Ronaldo kwa Messi...ni ngumu sana kuwa ktk kundi la wale wengine....

Kalazimisha sana hali kufikia ktk huu mfadhaiko...ambao hauna njia ya sahihi kutokea.
 
Kama kweli anaipenda cdm na watanzania wanaoipenda cdm afuate ushauri. Ila kama kweli ni mtumwa wa magamba lazima kesho atatoa maneno yenye kuongeza joto ndani ya chama!

Akitoa maneno ya kuongeza joto kwa sifa na ego yake,ndio basi hata hizo siku 14 na baru asahau.Pengine hamkuji Zitto vyema.

Alishaapa hawatamvumilia mtu anayefanya kazi za CCM ndani ya CDM.Dogo hakuwa na akili ya kutosha ona kuwa uvumilivu ulishisha siku nyingi na yeye hakupaswa endelea na ujinga.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom