Boniphace Kichonge
JF-Expert Member
- Jul 31, 2017
- 1,606
- 1,956
Wakuu habarini.
Juzi nilitembelewa na Mshkaji ambae ndio Amepata Uhamisho kuja pande Hizi za Arusha. Nilzungumza nae mengi ila kubwa aliniomba Ushauri kuhusu Wanawake wa Kisonjo.Alifunguka Kuwa Yupo Mbioni Kufanya Maamuzi na Huyo Mdada wa Kisonjo is one of Candidate hivyo Angependa Kupata Maoni Yangu.
Wadau Tafadhali Sana Mpeni Ushauri Mwenzetu Mapema ili Aweze Fanya Maamuzi.
Karibuni
Juzi nilitembelewa na Mshkaji ambae ndio Amepata Uhamisho kuja pande Hizi za Arusha. Nilzungumza nae mengi ila kubwa aliniomba Ushauri kuhusu Wanawake wa Kisonjo.Alifunguka Kuwa Yupo Mbioni Kufanya Maamuzi na Huyo Mdada wa Kisonjo is one of Candidate hivyo Angependa Kupata Maoni Yangu.
Wadau Tafadhali Sana Mpeni Ushauri Mwenzetu Mapema ili Aweze Fanya Maamuzi.
Karibuni