Miaka 29 unahangaika na jimama ambalo lilikwishaolewa na kuwa-widowed WHY?
Kama ni tamaa ya mali za marehemu mwambie aendelee; kama ni kutaka mke wa kuoa mwambie tamaa itampeleka pabaya!
Tatizo langu ni Umri:
Mandela alimuoa Graca! Ni vyema wajane wakaolewa/oa na watu walokuwa katika "rika" linalowiana"!
29 years of age wengine tulikuwa bado hatujafikiria hata kuoa - na hata mahusiano yetu hayakuwa "so skewed in terms of age"!
Huyu kijana bado mdogo kuwa na mahusiano na mwana-Mama!
Sasa huyu kijana amekuwa na mawazo na amekuwa akijiuliza je ni kosa kumdate mtu ambaye tayari aliishaolewa na amekuwa akijiuliza imekuwaje ameangukia kwenye mapenzi ya mwanamke ambaye tayari aliishaolewa and not otherwise?ANY VIEWS ON THIS...[/SIZE][/FONT]
kama mwanamama umri unaruhusu bado hana haki?...may b 25-29....mtoa thread hebu tuambie mwanamama ana age gani...au shida hapa ni kwamba kashaitwa mama?
Sio kawaida na ndio maana hata huyo mama yake ameshangaa! Hata ningalikuwa mimi kama mdogo wangu ananijia kwa ushauri katika situation hiyo pengine ningemuuliza au angalau kujiuliza 'hujaona ambaye anafanana na wewe'?
Naona kuna mambo mengi yanajitokeza hapa ambayo kwa kweli ni muhimu kwa kijana kuyatazama kabla hajafanya maamuzi mazito: Umri, mtoto, haki ya kuwa na mwenza.
Umri: Imejibiwa kabla kwamba wote wana miaka 29. Kwangu mimi naona ingependeza kama kijana angepata msichana mwenye umri wa chini kidogo. Najua wengi wanasema umri sio zaidi ya namba!
Mtoto: Kama ataamua kuendelea na huyo mama, ni vema wakakubaliana mapema jinsi watakavyo handle malezi ya huyo mtoto. Kuwepo kwa mtoto huyo kunaongeza complications ambazo pengine zisingekuwapo kama mwanamke angekuwa hana mtoto. Matatizo yanayotokana na kuwepo kwa watoto/mtoto wa kambo yamekuwa yakitishi ustawi wa ndoa nyingi tu. Kuna hata social pressure zinaweza kuleta taabu - utani kutoka kwa watu na kadhalika. Nakumbuka kuna rafiki yangu mmoja alikuwa anatatizo la kuona na mara nyingi watani zake walipenda sana kumtania ati 'anapenda kutembea na wanawake wazee'! Lakini ni vema nikasisitiza sio ndoa zote zenye watoto wa kambo zina matatizo!
Haki ya kuwa na mwenza: Ni kweli huyo mama anayo haki ya kupata mwenza kama mwanamke/msichana yeyote mwingine. Kuwepo kwa mtoto hakupaswi kumwondolea haki yake ya kuwa na mwenza. Hata hivyo kijana pia hapaswi kuingia kwenye ndoa kwa kumwonea huruma mtu. Kwanza ni yeye mwenyewe anatakiwa kuridhika nafsi yake na kisha ndio angalie mtu mwingine.
umeongea (sijui umeandika) vizuri sana ni kweli tatizo lipo ambalo ni kuoa mtu ambaye alishafunga pingu za maisha na kuingia mkataba wa ndoa na mtu mwingine lakini kwa kuwa amefariki huyo aliyefunga nae ndoa acha jamaa ajaribu tu haina tofauti sana na kuoa mtu ambaye hajaolewa kabisa maana wote hamjuani background zenu cha msingi ni kumwomba Mungu akupe hekima na mwongozo katika ili (kama alivyosema mama mzazi wa jamaa)Funzadume,
Hapa sijaona mtu ambaye anasema kuwa mwanamke aliyefiwa na mume hafai au hatakiwi kuolewa. Jamaa ameomba ushauri/maoni na ndiyo tunayompatia. Yanaweza kuwa sawa na alivyotegemea au kinyume. Binafasi nimeeleza na hata Baba Enock pia, kwamba ingekuwa vizuri mtu ambaye keshaonja maisha ya ndoa akampata mwenzie ambaye tayari naye keshapitia. Hao watakuwa kwenye level moja. Lakini katika hii case, hawa watu wako kwenye levels tofauti na kwa hiyo wana uzoefu totafauti. Inawezekana pia wanawazia mambo tofauti na wana mategemeo tofauti ingawa kwa sasa wote wanaona kwamba wanapendana. Mambo ya unyumba na ndoa ni magumu sana na kwa hiyo lazima utegemee tofauti kama hizi. Kwa sababu tumekulia katika mazingira tofauti, na uzoefu wetu, wishes zetu n.k vinatofautiana pia. Binafsi mwanangu akinijia na case kama hii nitasikitika sana ila sitamkataza. Nitajaribu kumweleza fika kile ninachokijua ili aweze kujua haswa haswa maana ya ndoa tena ambayo mmoja wao ana-score goli la pili. Kwa hiyo huo ni ushauri wetu kwa mleta mada ukizingatia hata mama yake huyo kijana hakuzipokea taarifa za uhusiano wao kwa mikono miwili. Pia hadi kulete hii mada hapa, huyu kijana inawezekana ameanza kuwa mbayu wayu na amini usiamini baada ya haya mawazo ya wadau, he will never be the same as he used to be.
umeongea (sijui umeandika) vizuri sana ni kweli tatizo lipo ambalo ni kuoa mtu ambaye alishafunga pingu za maisha na kuingia mkataba wa ndoa na mtu mwingine lakini kwa kuwa amefariki huyo aliyefunga nae ndoa acha jamaa ajaribu tu haina tofauti sana na kuoa mtu ambaye hajaolewa kabisa maana wote hamjuani background zenu cha msingi ni kumwomba Mungu akupe hekima na mwongozo katika ili (kama alivyosema mama mzazi wa jamaa)
Umri: Imejibiwa kabla kwamba wote wana miaka 29. Kwangu mimi naona ingependeza kama kijana angepata msichana mwenye umri wa chini kidogo. Najua wengi wanasema umri sio zaidi ya namba!
haaaa haaaaa........watu wabaya sana! Sasa mnataka wanawake wenye umri huo wachukuliwe na nani jamani? Kuna jamaa yangu formula yake hachukui kitu zaidi ya miaka 23, anasema ngoma ikishapita umri huo hailiki vizuri.........inakuwa ngumu kama shimo la panya!
Mkuu sisemi mwanamke mwenye umri wa miaka 29 ni 'mzee'! Kama ningalikuwa mimi ndio muoaji (say nina miaka 40:confused2:!), msichana/mwanamke wa miaka 29 bado ni 'mbichi' sana! Ila kwa kijana wa miaka 29 kuoa mwanamke mwenye miaka 29, mimi kwa upande wangu naona kuna walakini (najua hii ni opinion zaidi na sio hoja!)!
Mkuu sisemi mwanamke mwenye umri wa miaka 29 ni 'mzee'! Kama ningalikuwa mimi ndio muoaji (say nina miaka 40:confused2:!), msichana/mwanamke wa miaka 29 bado ni 'mbichi' sana! Ila kwa kijana wa miaka 29 kuoa mwanamke mwenye miaka 29, mimi kwa upande wangu naona kuna walakini (najua hii ni opinion zaidi na sio hoja!)!
SMU What if you are dating a woman who is older than you is there a problem on that as well, I know watu watasema mwanamke atawahi kuzeeka kuliko wewe.
Mods nadhani inabidi kuwe na batani ya dislike. Wat kind of comment is this???!!!!!!!!!!!!Miaka 29 unahangaika na jimama ambalo lilikwishaolewa na kuwa-widowed WHY?
Kama ni tamaa ya mali za marehemu mwambie aendelee; kama ni kutaka mke wa kuoa mwambie tamaa itampeleka pabaya!
Mkuu Baba Eno tuko pamoja..
Why kuoa mtu wa hivyo??? sioni msingi wake..labda.... binadamu tumeumbwa tofauti..:confused2:
naona umekuja ''KIVINGINE''...Mods nadhani inabidi kuwe na batani ya dislike. Wat kind of comment is this???!!!!!!!!!!!!
:mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2::mad2:
naona umekuja ''KIVINGINE''...
we know you so far