Ushauri kwa Katibu Mkuu Wa CCM

Beatrice Kamugisha

JF-Expert Member
May 18, 2019
762
6,980
Katibu Mkuu Wa CCM nakupongeza kwa kuteuliwa kwako. Naomba nichukue fursa hii kukushauri mambo yafuatayo.
1. Pambana na kinachoitwa JK, Sukuma Gan nk ndani ya chama. Walete pamoja wanaccm kwani utulivu ndani ya CCM ni utulivu wa dola na ni utulivu wa serikali.
2. Epuka kutumia approach za mtangulizi wako kaka yangu Bashiru, watu wapate madaraka na nafasi kulingana na uwezo nakukubalika kwao. Ukiendekeza utaratibu wa Katibu na Mwenyekiti ndio wanaoteua na wenye final say itakuwa vigumu kudumu kwenye nafasi hiyo. Kama ulivyopata nafasi ruhusu na wengine wapambane wapate isipokuwa wapambane kwa haki.
3. Siasa zimekufa nchi hii, hakuna kiongozi wa CCM ambaye Leo hii anafanya siasa za majukwaani na hata zakijamii, CCM imepoa. Kukuthibitishia ilo angalia ni watu wangapi wanajadili kilitokea dodoma leo. Watu wamekata tamaa, rejesha hari ya siasa nchini ili matatizo ya wananchi yaweze kuibuliwa.
4. Usiruhusu kukua kwa mfumo wa Rushwa ulioasisiwa na awamu ya tatu na nne.Ruhusu nguvu ya hoja na si nguvu ya koo au fedha.
5. Jiweke nafasi yakuhudumia Watanzania na si wanaccm, mahitaji ya wannchi yanaweka ccm madarakani lakini mahitaji binafsi ya wanna CCM yanakitenganisha chama na wananchi.
6. Kubali kukosolewa uweze kujipima na kuvuka vikwazo
7. Punguza makundi kwa sababu ujaingia hapo kwa makundi Wala kupiga kampeni, wote wawe wako.
8. Push agenda ya Katiba mpya.

Nikutakie kila la kheri katika Utumishi wako huku nikitegemea Mwanamke mwenzetu aliyekuamini automwangusha. Msaidie asiwe na kazi kubwa za chama bali awe na kazi nyingi za wananchi huku 2025 atakapopimwa na wananchi Basi waseme mitano tena kwa dada yetu, mama yetu na mdogo wetu.
 
Mwisho wa siku ni kudumu chama tawala. Mengine mbwembwe tu.

Nafasi za ukatibu wa chama Mara nyingi naona ni kumtetea mwenyekiti.
 
Anaweza kufanya yote lakini sio namba 4.
Kama katubu mwenezi alisimamishwa kazi kwa rushwa leo una tegemra iweje kapata cheo cha juu zaidi?
 
Katibu Mkuu Wa CCM nakupongeza kwa kuteuliwa kwako. Naomba nichukue fursa hii kukushauri mambo yafuatayo.
1. Pambana na kinachoitwa JK, Sukuma Gan nk ndani ya chama. Walete pamoja wanaccm kwani utulivu ndani ya CCM ni utulivu wa dola na ni utulivu wa serikali.
2. Epuka kutumia approach za mtangulizi wako kaka yangu Bashiru, watu wapate madaraka na nafasi kulingana na uwezo nakukubalika kwao. Ukiendekeza utaratibu wa Katibu na Mwenyekiti ndio wanaoteua na wenye final say itakuwa vigumu kudumu kwenye nafasi hiyo. Kama ulivyopata nafasi ruhusu na wengine wapambane wapate isipokuwa wapambane kwa haki.
3. Siasa zimekufa nchi hii, hakuna kiongozi wa CCM ambaye Leo hii anafanya siasa za majukwaani na hata zakijamii, CCM imepoa. Kukuthibitishia ilo angalia ni watu wangapi wanajadili kilitokea dodoma leo. Watu wamekata tamaa, rejesha hari ya siasa nchini ili matatizo ya wananchi yaweze kuibuliwa.
4. Usiruhusu kukua kwa mfumo wa Rushwa ulioasisiwa na awamu ya tatu na nne.Ruhusu nguvu ya hoja na si nguvu ya koo au fedha.
5. Jiweke nafasi yakuhudumia Watanzania na si wanaccm, mahitaji ya wannchi yanaweka ccm madarakani lakini mahitaji binafsi ya wanna CCM yanakitenganisha chama na wananchi.
6. Kubali kukosolewa uweze kujipima na kuvuka vikwazo
7. Punguza makundi kwa sababu ujaingia hapo kwa makundi Wala kupiga kampeni, wote wawe wako.
8. Push agenda ya Katiba mpya.

Nikutakie kila la kheri katika Utumishi wako huku nikitegemea Mwanamke mwenzetu aliyekuamini automwangusha. Msaidie asiwe na kazi kubwa za chama bali awe na kazi nyingi za wananchi huku 2025 atakapopimwa na wananchi Basi waseme mitano tena kwa dada yetu, mama yetu na mdogo wetu.
chadema na katiba mpya mnapoteza muda msahau mgange yajayo. Unateseka na wasukuma hujui kuwa wale ndiyo wenye kura ya vetto, hakuna rais wa kusaliti wasukuma vinginvyo hajipendi. Kanda ya ziwa ndiyo turufu ya ushindi usitegemee
 
chadema na katiba mpya mnapoteza muda msahau mgange yajayo. Unateseka na wasukuma hujui kuwa wale ndiyo wenye kura ya vetto, hakuna rais wa kusaliti wasukuma vinginvyo hajipendi. Kanda ya ziwa ndiyo turufu ya ushindi usitegemee
Wananchi wanapiga kura tu. Wanaochagua raisi ni wengine. Usijifanye hujui.
 
5. Jiweke nafasi yakuhudumia Watanzania na si wanaccm, mahitaji ya wannchi yanaweka ccm madarakani lakini mahitaji binafsi ya wanna CCM yanakitenganisha chama na wananchi.

8. Push agenda ya Katiba mpya
Mambo hayo mawili yanakinzana. Katiba mpya ni hitaji la wanasiasa (wanavyama), sina uhakika kama linaweza kuwa kwenye 10 bora ya mahitaji ya wananchi: ambayo ni, maisha bora, huduma nzuri za afya, maji, shule, barabara, masoko kwa ajili ya mazao yao, ajira kwa vijana, nk.
 
Back
Top Bottom