Tabutupu
JF-Expert Member
- Nov 26, 2010
- 13,109
- 18,326
Naamini kabisa sina nafasi ya kukushauri kwa kuwa wewe ni mtu mkuu sana lakini kama ukipenda hapa chini nimeweka mawazo yangu ya kitoto ambayo kama yakikupendeza unaweza yasoma walau mara moja.
Kiongozi bora ni yule ambaye husikiliza wengine na kuchuja lipi ni jema.
Kiongozi mbaya ni yule asiyesikiliza .
Sasa kwa jinsi ninavyo iona TRA nimeona baadhi ya mambo yanaweza kukusaidia.
1. Hakikisha unapata update zote za nchi nzima kila siku juu ya operation zote ambazo maofisa wako wamezifanya. Hapa naongelea kubwa na ndogo kutoka kukamata mtu asite toa EFD resit hadi container zilizo zuiliwa bandarini.
Mfano : unatakiwa kujua kila siku biashara ngapi zimefungwa au zimepata mgogoro na TRA kwa nchi nzima. Na ikiwezekana afisa yoyote ambaye hata fikisha taarifa za operation ambazo amezifanya within 24 ni kufutwa kazi.
Kilicho mkukuza kichere ni yeye kutojua aliye ufungia mzigo kwa miaka 4 kwa sababu hajatoa rushwa.
2. Hakikisha unantaarifa zote za mizigo ambayo imezuiliwa au biashara ambazo zimezuiliwa ma maafisa wa TRA na updates uzipate on daily basis. Hii ni kwenye yadi zote za TRA. Sasa ivi utakuata kuna yadi ambazo zimejaa malori mengine yana miaka 10 na waliyo yakamata wamesha toka TRA.
3. Hakikisha unapata updates zote zinazo fanya na thirdparty kama Majembe Yono etc wanao kamata wakwepa kodi ya niaba ya TRA. Huko kuna uchafu mwingi sana. Sio tuu kupata updates ila pia kuhakikisha kesi zote umezielewa na zinatatuliwa kwa sababu hakuna kesi isiyo na jawabu.
4. Hakikisha vision na strategy yako yamemfikia kila mfanyakazi wa TRA kwa kukutana nao au kwa kufanya assessment mwenyewe ili ujiridhishe kama wazaidizi wako mpo njia moja au la.
5. Hakikisha vision na strategy yako IGP ameielewa na ameifikisha kwa jeshi la policy vizuri kwa sababu jeshi la policy ni moja ya taasisi inayo saidia kuipaka matope TRA.
6. Weka vigezo vya maamuzi .. mfano biashara yoyote au mzigo unaozidi kiasi fulani ili kufungiwa au kuwekwa kwenye mgogoro lazima kibali kitoke kwako au kwa mtu ambaye utamteua.
7. Hakikisha mabadiliko yote ya makadirio yanakufikia on time. Au weka sheria zako za ndani kwamba biashara yoyote ambayo kodi yake imebadilika let say kuanzia 20% lazima ipate kibali chako la sivyo mfanyakazi aliye kadiria akose kazi. Na mfanyakazi yoyote ambaye makadiri yake ya mwanzo na yale yaliyo kubalika na mlipaji yakizidi 30% akose kazi.
8. Swala la makadirio lifanyiwe kazi ili kwenye baadhi ya iashara kodi iwe inajulikana.
Mfano biashara ya mabasi.
9. Muombe Mungu akupe ujasiri wa kufanya kazi na hao wazee wa TRA.
10. Usihofu tunakuombea ufanikiwe sana hata tupate tr 2 kwa mwezi ifikapo 2020.
Mungu akubariki CG TRA.
Kiongozi bora ni yule ambaye husikiliza wengine na kuchuja lipi ni jema.
Kiongozi mbaya ni yule asiyesikiliza .
Sasa kwa jinsi ninavyo iona TRA nimeona baadhi ya mambo yanaweza kukusaidia.
1. Hakikisha unapata update zote za nchi nzima kila siku juu ya operation zote ambazo maofisa wako wamezifanya. Hapa naongelea kubwa na ndogo kutoka kukamata mtu asite toa EFD resit hadi container zilizo zuiliwa bandarini.
Mfano : unatakiwa kujua kila siku biashara ngapi zimefungwa au zimepata mgogoro na TRA kwa nchi nzima. Na ikiwezekana afisa yoyote ambaye hata fikisha taarifa za operation ambazo amezifanya within 24 ni kufutwa kazi.
Kilicho mkukuza kichere ni yeye kutojua aliye ufungia mzigo kwa miaka 4 kwa sababu hajatoa rushwa.
2. Hakikisha unantaarifa zote za mizigo ambayo imezuiliwa au biashara ambazo zimezuiliwa ma maafisa wa TRA na updates uzipate on daily basis. Hii ni kwenye yadi zote za TRA. Sasa ivi utakuata kuna yadi ambazo zimejaa malori mengine yana miaka 10 na waliyo yakamata wamesha toka TRA.
3. Hakikisha unapata updates zote zinazo fanya na thirdparty kama Majembe Yono etc wanao kamata wakwepa kodi ya niaba ya TRA. Huko kuna uchafu mwingi sana. Sio tuu kupata updates ila pia kuhakikisha kesi zote umezielewa na zinatatuliwa kwa sababu hakuna kesi isiyo na jawabu.
4. Hakikisha vision na strategy yako yamemfikia kila mfanyakazi wa TRA kwa kukutana nao au kwa kufanya assessment mwenyewe ili ujiridhishe kama wazaidizi wako mpo njia moja au la.
5. Hakikisha vision na strategy yako IGP ameielewa na ameifikisha kwa jeshi la policy vizuri kwa sababu jeshi la policy ni moja ya taasisi inayo saidia kuipaka matope TRA.
6. Weka vigezo vya maamuzi .. mfano biashara yoyote au mzigo unaozidi kiasi fulani ili kufungiwa au kuwekwa kwenye mgogoro lazima kibali kitoke kwako au kwa mtu ambaye utamteua.
7. Hakikisha mabadiliko yote ya makadirio yanakufikia on time. Au weka sheria zako za ndani kwamba biashara yoyote ambayo kodi yake imebadilika let say kuanzia 20% lazima ipate kibali chako la sivyo mfanyakazi aliye kadiria akose kazi. Na mfanyakazi yoyote ambaye makadiri yake ya mwanzo na yale yaliyo kubalika na mlipaji yakizidi 30% akose kazi.
8. Swala la makadirio lifanyiwe kazi ili kwenye baadhi ya iashara kodi iwe inajulikana.
Mfano biashara ya mabasi.
9. Muombe Mungu akupe ujasiri wa kufanya kazi na hao wazee wa TRA.
10. Usihofu tunakuombea ufanikiwe sana hata tupate tr 2 kwa mwezi ifikapo 2020.
Mungu akubariki CG TRA.