Mdudu halisi
JF-Expert Member
- May 7, 2014
- 2,730
- 4,769
Wa kumshauri ni Sizonje na serikali yake waache kuminya demokrasia ikiwa ni pamoja na kuua wapinzani. Watanzania wamechoshwa na utawala wake.
Dab is WatchingBila akishatoa hicho Kibali na akifukuzwa Kazi utakuwa unamkaribisha hapo Kwako kunywa nae Chai, chakula cha mchana na cha usiku pia Yeye pamoja na Familia yake nzima Mkuu.
Vipi kuhusy mauaji yanayoendelea na watawala kujifanya hawajaliMkuu tindo mambo mengine muache siasa ,hatulisaidii taifa ,hapa unaeleza mawazo yako na hisia zako zote ,kwa maana unajieleza ,uhuru upi unaoutaka ?, wa kutukana na kudhalilisha wengine ?
Au tuwape uhuru kama wa libya ?, kwasasa wanasherekea uhuru walioutaka kwa raha zao mpaka basi.
Mkuu tindo uhuru huendana na ustaarabu wa jamii,watanzania ustaarabu hatuna
Kenge hafi mpaka Damu itoke puani na MasikioniKama kelele zimezidi kuna haja ya kutafakari na kuchukua maamuzi sahihi yenye maslahi kwa wote!
DabHivi unadhani sirro anazuia Kitu? He is programmed
Kama kelele zimezidi kuna haja ya kutafakari na kuchukua maamuzi sahihi yenye maslahi kwa wote!
We leta ukabila lakini 26 mnakomeshwa wote wahuni wahuni na wakabilaSio ya Chadema Ila ni ya WACHAGA sio!?
Kila mmoja anashauriwa kwenye nafasi yake husika!Wa kumshauri ni Sizonje na serikali yake waache kuminya demokrasia ikiwa ni pamoja na kuua wapinzani. Watanzania wamechoshwa na utawala wake.
Hakuna IGP mwingine isipokuwa yeye!Kenge hafi mpaka Damu itoke puani na Masikioni
Ndio utakapojua kwa nini bendera ya Taifa ikiwa inapandishwa na kushushwa jioni Watu husimama dede. Bladifuluuuuuu!We leta ukabila lakini 26 mnakomeshwa wote wahuni wahuni na wakabila
We ni ID fake upo hapa juzi juzi tu cuz umeletwa kwaajili ya kuimba na kusifuNdio utakapojua kwa nini bendera ya Taifa ikiwa inapandishwa na kushushwa jioni Watu husimama dede. Bladifuluuuuuu!
Eti nipo hapa juzi juzi tu! Blaaadibastaaadi!We ni ID fake upo hapa juzi juzi tu cuz umeletwa kwaajili ya kuimba na kusifu
Jan 20 2018 ndo umejoin na unapost 521 huna kazi auEti nipo hapa juzi juzi tu! Blaaadibastaaadi!
Kalagabhaho ubaki na upontunyu wako.Jan 20 2018 ndo umejoin na unapost 521 huna kazi au