Said maneno
Member
- Aug 2, 2011
- 38
- 2
Hii akaunti sikuzote ilikuwa sawa lakini leo inaniambia NO Application done.USHAuRi NICHUKUE HATUA GANi?
ni second round application jamani imeshaanza; xo hii ni kwenye account zote
Hii akaunti sikuzote ilikuwa sawa lakini leo inaniambia NO Application done.USHAuRi NICHUKUE HATUA GANi?
ni second round application jamani imeshaanza; xo hii ni kwenye account zote
ina maana 2nd application kwa wale walokosea kuapply mara ya kwanza????
Mimi imekuja view selection ila wanasema sever not found
Wadau mbna mimi mambo yako pouwa kabisa afu ile view my selection status isharudi !! Sasa hapo mi nahisi nyie ni wa second around mliokosa chuo kwa 1st application.
Vipi NOT YET PROCESSED imetoka??
Vipi NOT YET PROCESSED imetoka??
Noop !! Afu kuna ka toolbar ka 2nd round applctn wamekaongeza cjui wana maana gani? Hapa nilipo ni ful kamkojo kila wakati i dnt thnk ka leo usiku nitalala vizuri aiseee