Ushauri kwa Halima Mdee

Miaka mitano ni mingi aisee tena ukijua ulikuwa na fursa ila ukaichezea mwnyw, mm naona achague upande anaouona ni bora kwake.
Nyerere angekuwa anaangalia maslahi yake wala tusingepata uhuru maana angewaambia waingereza wampe anachotaka ili atutelekeze watanganyika!! Hivi nyie malaya mmetoka mbingu gani!?
 
Yuko shinyanga kachukua fomu ya kugombea Ubunge shinyanga town anashinda mapema sana
Wampitishe tu mwamba ..pamoja na yote yaliyopita ila ni mtu makin sana na well educated, alitulia na alituliza kichwa kwenye mawimbi..na utanisahihisha kama nimekosea kua hajahitaji wapiga picha na attention kujitangaza ..kama wengine wanavyojionesha wakichukua fomu
 
Yap alichukua fomu kimya kimya watu wake wa karibu ndo tunajua smart sana yule mwamba na Exposure kubwa natamani hawe hata waziri katuliza akili sana
 
Yap alichukua fomu kimya kimya watu wake wa karibu ndo tunajua smart sana yule mwamba na Exposure kubwa natamani hawe hata waziri katuliza akili sana
Tupe mchango wake katika kulikwamua Taifa chini ya mikono ya majizi na walanguzi
 
Nao wameenda kubet wakijua hawashindi ila kuna maisha mengine baada ya uchaguzi.
 

PAKA WA LUMUMBA kazini....!!
 
Avumilie, hata mambo yakigoma atakuwa anampiga mzinga mshakaji wake Bulaya
 
Halima yupo CHAUMA kitambo sn
 
Shida iko sehemu moja tu! Ataweza kuvumilia njaa, na hasa pale itakapo panda kichwani? Kumbuka njaa haina baunsa.
Ni wakili wa kujitegemea huyo, anapataje njaa? Anaweza kukaa hata kwenye firm moja tu ya sheria na akapiga pesa ya kula
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…