Ushauri kwa Ester Matiko (MB)

Pascal sasa hivi ashatiwa upofu na teuzi maana kila teuzi zikitoka yeye anapigwa za shingo tu
Kama mawazo ya kuona mbali ni 2020, bado watakua hawaoni mbali! Mwaka huo siyo mwisho wa Tanzania, Tanzania itaendelea kuwepo wakiwa wameoza makaburini! Ona mbali, Paskali!
 
Kweli kabisa!

Wewe uliona wapi eti kwenye sera cha chama wanaweka picha ya mwenyekiti wao kjonesha kwamba huyo ni wa kudumu
 
Pascal siku hizi ashakuwa zuzu au vuvuzela lisilo na mpulizaji
 
Unajisumbua tu kwani mteuzi alisha kupuuza kwenye kikao kile ulipojaribu kujitambulisha kwake kuwa nawewe ni msukuma akatumia busara kukutupa na ungekuwa na akili usingeendeleea kujikomba komba na kujipendekeza maana hutokaa upate uteuzi
 
Mtaendelea kuwarubuni hao hao lakini sio kwa Ester Matiko, anajitambua.
 
Ni mpuuzi pekee atakaefurahia upinzani kumalizwa......Ili tusonge mbele lazima kuwe na watu wa kutukumbusha na kufungwa gavana pia.
Mark my word
 
Upinzani ndo unawafanya mpige kelele na kujiona mko kwenye raiti traki. Ngoja 2020 mbaki wenyewe. Tutaona vituko sana.
Rais hatakuwa na muda tena na wananchi. Hizo ziara zake za kampeni za sasa hazitakuwa na maana tena.
Ndo utakuwa muda wake mahsusi wa kuwashughulikia ccm wenye viherehere wanaotaka kumgusa mkono wakati wa mlo wake wowote ule.
Lazima mtasaga meno.
 
Mkuu siasa nyepesi na zinazofanywa na wanasiasa uchwara hasa wa awamu hii zimeua kabisa uwezo wa watanzania wengi kufikiria hivyo hawawezi ona hiki ulichoandika hapa wala kujua dhamani yake. Kiukweli Tanzania awamu hii imepatwa, si viongozi, si wananchi wote bahati mbaya, yaani mpaka nabubujikwa na machozi
 
Ccm ndio kuna maendeleo?... mbona miaka 50 mnayo lkn bado tunahangaika kupata maji tu.
... Maendeleo hayana chama (jinga voice)
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…