Eddo Sambai
JF-Expert Member
- Aug 1, 2013
- 2,344
- 1,771
Kabla ya yote napenda kumshukuru Mwenyenzi Mungu mweza wa yote kwa kutujalia kuiona siku ya leo, Pili wanajamii Forums wote watakaosoma post hii na kuiboresha zaidi bila kuwasahau wale watakaoikosoa.
Mimi binafsi napenda kushauri uongozi wote wa Chama Cha Demokrasia ( CHADEMA ) kuwa kipindi hiki ndio muda muafaka kwa Chadema kujijenga na kujiakikishia kujiakikishia kuchukua dola 2015. Kama inavyofaamika kuwa ni bora kuwa na jeshi la watu 2 kuliko jeshi la waasi na wasaliti 1,000.
Pia napenda kuipongeza kamati kuu ya Chadema kwa maamuzi waliyo yachukuwa juu ya wasaliti wa Chama. Pia nawashauri wazidi kuchukuwa atua zaidi za kinizamu juu ya wasaliti hao na itakuwa ni jambo la afya kwa chama kama hao wasaliti watafukuzwa kabisa uanachama wao.
Hio itakuwa ni jambo litakalowafanya viongozi wengine wasije kuingia kwenye tamaa za ajabuajabu na pia itawafanya watanzania wengi kuamini/kujua kuwa Chadema ni chama sahii na hakina mdhaa ata kidogo.
Zaidi ya yote ni kwamba wasaliti hao walikwisha sambaza sumu ya Usaliti ndani ya chama na hivyo njia pekee ya kutoa sumu hiyo ni kuwafukuza uanachama na hapo ndipo tutaona sumu iliyosambazwa ikitoka na kuwafuata wasaliti na hapo tutapata wanachadema halisi na sio mchanganyiko wa pumba na mchele.
Mwisho napenda kukushukuru sana wewe uliyesoma mawazo yangu na nitashukuru sana kama nitapata mchango wa mawazo yako.
TAHADHARI:
Mjadala juu ya ZZK VS chadema ulisha fungwa, hivyo tujikite juu ya nini Chadema wanapaswa kukifanya hasa kipindi hiki.
Mimi binafsi napenda kushauri uongozi wote wa Chama Cha Demokrasia ( CHADEMA ) kuwa kipindi hiki ndio muda muafaka kwa Chadema kujijenga na kujiakikishia kujiakikishia kuchukua dola 2015. Kama inavyofaamika kuwa ni bora kuwa na jeshi la watu 2 kuliko jeshi la waasi na wasaliti 1,000.
Pia napenda kuipongeza kamati kuu ya Chadema kwa maamuzi waliyo yachukuwa juu ya wasaliti wa Chama. Pia nawashauri wazidi kuchukuwa atua zaidi za kinizamu juu ya wasaliti hao na itakuwa ni jambo la afya kwa chama kama hao wasaliti watafukuzwa kabisa uanachama wao.
Hio itakuwa ni jambo litakalowafanya viongozi wengine wasije kuingia kwenye tamaa za ajabuajabu na pia itawafanya watanzania wengi kuamini/kujua kuwa Chadema ni chama sahii na hakina mdhaa ata kidogo.
Zaidi ya yote ni kwamba wasaliti hao walikwisha sambaza sumu ya Usaliti ndani ya chama na hivyo njia pekee ya kutoa sumu hiyo ni kuwafukuza uanachama na hapo ndipo tutaona sumu iliyosambazwa ikitoka na kuwafuata wasaliti na hapo tutapata wanachadema halisi na sio mchanganyiko wa pumba na mchele.
Mwisho napenda kukushukuru sana wewe uliyesoma mawazo yangu na nitashukuru sana kama nitapata mchango wa mawazo yako.
TAHADHARI:
Mjadala juu ya ZZK VS chadema ulisha fungwa, hivyo tujikite juu ya nini Chadema wanapaswa kukifanya hasa kipindi hiki.