Ushauri kwa Chadema kuelekea 2030

Ushauri kwa Chadema kuelekea 2030

Mtu wa Majira na Nyakati

JF-Expert Member
Joined
Apr 5, 2020
Posts
980
Reaction score
2,870
Hongera Sana CHADEMA na pia poleni Sana na changamoto mnazopitia .

Mimi kama mwananchi, nimeona niwape ushauri ambao unaweza kuwapeleka nchi ya ahadi ikulu .

Kwa hapa mlipofika mmekwama kisiasa ,mnabidi kukubali ukweli huu.

Nini mnabidi kufanya ?

Tengenezeni kizazi kipya ambacho kitakuwa na ari ya kupambana dhidi ya Ccm .

Kwa viongozi mlionao sasa kuanzia Bavicha mpaka Bazecha wote hawana mbinu mbadala za kupambana na Ccm.


Wekezezi kusambaza Falsafa , utikadi kwa vijana wadogo kuanzia 18 yrs.

Hii ndo mbinu bora ila msitegemee kuitoa Ccm madarakani kwa siasa zenu za kuvamia ajenda.

Mfano mwaka 2005 , mwaka 2025 unaona hizi ni Chadema mbili tofauti.

Pia Lissu asaidiwe sana namuona ametawalaiwa na mihamko mingi.

Msisahau kupambana na Ccm unakuwa unapambana na Dola. Akili mpya zenye uthubutu ndo zitawasaidia .

Ona Leo mlivyokosa Focus watu walewale waliowahujumu na kuwanyima partial democracy ndo mnawafanya Kama mabingwa wa mchezo n.k
 
Hongera Sana CHADEMA na pia poleni Sana na changamoto mnazopitia .

Mimi kama mwananchi, nimeona niwape ushauri ambao unaweza kuwapeleka nchi ya ahadi ikulu .

Kwa hapa mlipofika mmekwama kisiasa ,mnabidi kukubali ukweli huu.

Nini mnabidi kufanya ?

Tengenezeni kizazi kipya ambacho kitakuwa na ari ya kupambana dhidi ya Ccm .

Kwa viongozi mlionao sasa kuanzia Bavicha mpaka Bazecha wote hawana mbinu mbadala za kupambana na Ccm.


Wekezezi kusambaza Falsafa , utikadi kwa vijana wadogo kuanzia 18 yrs.

Hii ndo mbinu bora ila msitegemee kuitoa Ccm madarakani kwa siasa zenu za kuvamia ajenda.

Mfano mwaka 2005 , mwaka 2025 unaona hizi ni Chadema mbili tofauti.

Pia Lissu asaidiwe sana namuona ametawalaiwa na mihamko mingi.

Msisahau kupambana na Ccm unakuwa unapambana na Dola. Akili mpya zenye uthubutu ndo zitawasaidia .

Ona Leo mlivyokosa Focus watu walewale waliowahujumu na kuwanyima partial democracy ndo mnawafanya Kama mabingwa wa mchezo n.k
Watu weusi kweli sio binadamu kamili Mfano ni wewe hapo chadema imekufa alafu chama ambacho kwa akili yako hakijafa kinaogopa kuweka uwanja sawa kupambana na chama ambacho kimekufa Wekeni reforms kwenye tume tuone kweli chadema imekufa. Chadema ilizuiwa kufanya mikutano kila mwenyekiti wao yuko jela hana hata mwaka tangia amechaguliwa alafu unasema chama kimekufa au wewe ndo umekufa kama hata izi habari huna unaweza kua umekufa unatembea
 
Watu weusi kweli sio binadamu kamili Mfano ni wewe hapo chadema imekufa alafu chama ambacho kwa akili yako hakijafa kinaogopa kuweka uwanja sawa kupambana na chama ambacho kimekufa Wekeni reforms kwenye tume tuone kweli chadema imekufa. Chadema ilizuiwa kufanya mikutano kila mwenyekiti wao yuko jela hana hata mwaka tangia amechaguliwa alafu unasema chama kimekufa au wewe ndo umekufa kama hata izi habari huna unaweza kua umekufa unatembea
Sasa unategemea ccm
Wakupe reform? Bila kutumia mikakati ?
 
Hongera Sana CHADEMA na pia poleni Sana na changamoto mnazopitia .

Mimi kama mwananchi, nimeona niwape ushauri ambao unaweza kuwapeleka nchi ya ahadi ikulu .

Kwa hapa mlipofika mmekwama kisiasa ,mnabidi kukubali ukweli huu.

Nini mnabidi kufanya ?

Tengenezeni kizazi kipya ambacho kitakuwa na ari ya kupambana dhidi ya Ccm .

Kwa viongozi mlionao sasa kuanzia Bavicha mpaka Bazecha wote hawana mbinu mbadala za kupambana na Ccm.


Wekezezi kusambaza Falsafa , utikadi kwa vijana wadogo kuanzia 18 yrs.

Hii ndo mbinu bora ila msitegemee kuitoa Ccm madarakani kwa siasa zenu za kuvamia ajenda.

Mfano mwaka 2005 , mwaka 2025 unaona hizi ni Chadema mbili tofauti.

Pia Lissu asaidiwe sana namuona ametawalaiwa na mihamko mingi.

Msisahau kupambana na Ccm unakuwa unapambana na Dola. Akili mpya zenye uthubutu ndo zitawasaidia .

Ona Leo mlivyokosa Focus watu walewale waliowahujumu na kuwanyima partial democracy ndo mnawafanya Kama mabingwa wa mchezo n.k
Mbona mnateseka sana tumewaachieni muendeshe hilo igizo lenu mjifurajishe sasa mayowe ya nini tena.
 
FB_IMG_1756478439338.jpg
 
Hongera Sana CHADEMA na pia poleni Sana na changamoto mnazopitia .

Mimi kama mwananchi, nimeona niwape ushauri ambao unaweza kuwapeleka nchi ya ahadi ikulu .

Kwa hapa mlipofika mmekwama kisiasa ,mnabidi kukubali ukweli huu.

Nini mnabidi kufanya ?

Tengenezeni kizazi kipya ambacho kitakuwa na ari ya kupambana dhidi ya Ccm .

Kwa viongozi mlionao sasa kuanzia Bavicha mpaka Bazecha wote hawana mbinu mbadala za kupambana na Ccm.


Wekezezi kusambaza Falsafa , utikadi kwa vijana wadogo kuanzia 18 yrs.

Hii ndo mbinu bora ila msitegemee kuitoa Ccm madarakani kwa siasa zenu za kuvamia ajenda.

Mfano mwaka 2005 , mwaka 2025 unaona hizi ni Chadema mbili tofauti.

Pia Lissu asaidiwe sana namuona ametawalaiwa na mihamko mingi.

Msisahau kupambana na Ccm unakuwa unapambana na Dola. Akili mpya zenye uthubutu ndo zitawasaidia .

Ona Leo mlivyokosa Focus watu walewale waliowahujumu na kuwanyima partial democracy ndo mnawafanya Kama mabingwa wa mchezo n.k
Hayo yote uliyowashauri wakufanyie wakati huo wewe umejipumzisha unakunywa tu mbege?Jiunge nao uongeze nguvu.
 
Back
Top Bottom