fimboyaukwaju
JF-Expert Member
- Aug 3, 2020
- 5,678
- 7,325
Sio kila mtu anaweza kusoma taarifa ya habari.Leo msomaji wa news hq saa 12 asubuhi kasoma vibaya sana,matamshi mabaya sana,kashindwa kutumia nukta,comma na anahema na kumeza mate kwa sauti.
Na hivi ndio huwa kila siku. Lakini hii idhaa mmewatengenezea vijana,sioni sababu ya kutangaza news hq,vijana hawana mpango na news,au vinginevyo badilisheni format ya kutangaza hiyo taarifa ya habari.Mimi huwa napenda kusikiliza kipindi chenu cha michezo tu ndio maana huwa najiandaa nisikikose ndipo naanza na hiyo news HQ
Na hivi ndio huwa kila siku. Lakini hii idhaa mmewatengenezea vijana,sioni sababu ya kutangaza news hq,vijana hawana mpango na news,au vinginevyo badilisheni format ya kutangaza hiyo taarifa ya habari.Mimi huwa napenda kusikiliza kipindi chenu cha michezo tu ndio maana huwa najiandaa nisikikose ndipo naanza na hiyo news HQ