Ushauri kwa Askofu Gwajima

Ushauri kwa Askofu Gwajima

Wewe ndo unapaswa kuyasoma vizuri maandiko na kuomba Roho mtakatifu akuongoze maana hujui unachokiongea.
Musa alikuwa mtumishi na rafiki wa MUNGU na alimkemea farao na kuwaokoa wana wa Israel toka kwenye mateso ya Wamisri.
Huna unachokijua Mzee.
Toa mstari kwenye biblia unaoonyesha Musa alimkemea Farao
 
Bado huyajui maandiko vizuri.Hilo neno ulilolitumia halina maana ya watumishi wa MUNGU wasijihusishe na siasa.
Musa alikuwa mtumishi wa MUNGU na alisimamam kidete kuwatetea watu wake kutoka kwenye udhalimu na mateso ya farao.
Yohana mbatizaji pia alimkemea Herode pamoja ya kwamba alikuwa kiongozi alimwambia si vema kuoa mke wa ndugu yake.
Mtu wa MUNGU ukiona udhalimu na usipoukemea hiyo ni dhambi mbele za MUNGU.
Anachofanya GWAJIMA pamoja na mapdre wa Kanisa katoliki au mtumishi wa MUNGU yoyote kukumbusha na kuikemea Serikali pale inapokosea au kutotenda haki ni utumishi wa MUNGU na ndo kazi yao ambayo MUNGU amewaitia.
Yohana mbatizaji pia alimkemea Herode pamoja ya kwamba alikuwa kiongozi alimwambia si vema kuoa mke wa ndugu yake.
HILI NDIO KOSA LA YOHANA KWANI ALITOKA NJE YA KUSUDIO LA KULETWA
MASUALA YA NDANI YA WATU HAIKUWA SEHEMU YA MISSION YAKE. NA ALIWEKWA GEREZANI NA WANAFUNZI WALIPOMTEMBELEA FUATILIA UJUE SWALI ALILOWAULIZA. UKIFANYA NJE YA MISSION YAKO KAMA MTUMISHI MUNGU ANAKUPIGA KISOGO
 
Kazi ya mtumishi wa MUNGU ni kusimama kwenye kweli na haki na kumfukishia ujumbe mtu yoyote yule pasipo kujali ana cheo gani,ni tajiri au masikini.
Wapo wafalme walikuwa wakionywa na watumishi wa MUNGU kwamba hiyo vita unayoiendea utapigwa au utakufa na wakibisha wanakufa kweli.
Wakina Daniel walikuwa wanabishana na wafalme kuhusu maswala kadhaa na hawakukaa kimya.
Musa mtumishi wa MUNGU aliinuka na akapambana dhidi ya Farao na akawatoa watu wake kwenye utumwa wa miaka 400.
Biblia gani unayoisoma kijana?Kawadanganye wasiojua maandiko na uwaambie waliokutuma jamaa wameikataa hii.
Wache wakina GWAJIMA,Kanisa katoliki na wengineo ambao wameamua kusimama kwenye kweli waendelee na msimamo wao wewe nenda kachukue posho yako kwa waliokutuma.
Siasa ni mchezo mchafu
Siasa za nyakati kabla ya Yesu na baada ni tofauti
Askofu Gwajima anataka kuifanya kaniki iwe nyeupe jambo lisilo wezekana.
Wakati anaingia kulikuwa kuchafu mbona hakuongea?
Acheni ubaguzi kwa misingi ya udini na utanganyika.
Wewe ni bwana mdogo ndo maana una mihemuko bado ongeza bidii ya kusoma biblia ndio uje tena
 
Tanzania hakuna watumishi zaidi ya matapeli waliojificha kwenye kivuli Cha dini
 
Tanzania hakuna watumishi zaidi ya matapeli waliojificha kwenye kivuli Cha dini
Wapo mkuu usikate tamaa hivo
1 Wafalme 18:22:-"Kisha Eliya akawaambia watu, Mimi, naam, mimi peke yangu nimebaki nabii wa Bwana; bali manabii wa Baali ni watu mia nne na hamsini."
 
1. Yohana mbatizaji alikatwa kichwa na hata alipowekwa ndani Yesu hakuenda kumtembelea
2. Wote uliowataja walionya watu kuhusu adhabu ya Mungu kutokana na dhambi. Kwenye siasa hakuna dhambi bali jinai, nk.
3. Daudi alikuwa ni mfalme na hakuwa mtumishi wa Mungu Moja kwa Moja wa madhabahuni ndio maana alipopiga chabo na kumchukua mke wa mfanyakazi wake Mungu alimtuma nabii
Unajua kazi ya askofu mkuu?
Askofu Gwajima anaonya Nini? Umesahau wakati anaanza kuonya alikuwa ni mbunge?
3.Daudi alikuwa nabii
Matendo 2:30
Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii, alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.

1.alipokuwa gerezani yesu YOHANA MBATIZAJI UJUMBE alimtumia ujumbe.

Yesu anamuita Yohana mbatizaji kuwa ni mkuu kuliko wanadamu wote na pia Yesu

na ndiyo yule ELIYA roho ya ELIYA ikllikuwa na Yohana mbatizaji
na maneno haya Yesu anayasema kumuelezea YOHANA MBATIZAJI akiwa gerezani..HAKUNA KOSA LOLOTE ALILOLITENDA YOHANA MBATIZAJI kwa kumkemea maovu..kukemea maovu haijawahi kuwa ni dhambi..ila kunyamaza maovu yakifanyika .

Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.


Matthew 11:2-19Summary
2 Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo ▼ alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake 3 ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona: 5 dVipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema. 6 eAmebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
7 fWale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo? 8Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme. 9 gBasi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 10 hHuyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa:
“ ‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako,
atakayetengeneza njia mbele yako.’

11 i Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.

2.Jinai ni sheria za nchi dhambi ni sheria ya Mungu,na hukumu ya Mungu ni ya haki..MENE MENE TEKELI NA PERESI..
Kisheria za kibinadamu au kisiasa na serikali za wanadamu japo au tendo linaweza lisiwe KOSA AU JINAI kisheria ya binadamu ,ila kwa sheria ya Mungu likawa ni DHAMBI.na Mungu akalihukumu kwa haki yake.
 
Unachanganya madawa mkuu
1.alipokuwa gerezani yesu YOHANA MBATIZAJI UJUMBE alimtumia ujumbe.

Yesu anamuita Yohana mbatizaji kuwa ni mkuu kuliko wanadamu wote na pia Yesu

na ndiyo yule ELIYA roho ya ELIYA ikllikuwa na Yohana mbatizaji
na maneno haya Yesu anayasema kumuelezea YOHANA MBATIZAJI akiwa gerezani..HAKUNA KOSA LOLOTE ALILOLITENDA YOHANA MBATIZAJI kwa kumkemea maovu..kukemea maovu haijawahi kuwa ni dhambi..ila kunyamaza maovu yakifanyika .

Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.


Matthew 11:2-19Summary
2 Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo ▼ alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake 3 ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona: 5 dVipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema. 6 eAmebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
7 fWale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo? 8Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme. 9 gBasi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 10 hHuyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa:
“ ‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako,
atakayetengeneza njia mbele yako.’

11 i Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.
 
Yohana mbatizaji pia alimkemea Herode pamoja ya kwamba alikuwa kiongozi alimwambia si vema kuoa mke wa ndugu yake.
HILI NDIO KOSA LA YOHANA KWANI ALITOKA NJE YA KUSUDIO LA KULETWA
MASUALA YA NDANI YA WATU HAIKUWA SEHEMU YA MISSION YAKE. NA ALIWEKWA GEREZANI NA WANAFUNZI WALIPOMTEMBELEA FUATILIA UJUE SWALI ALILOWAULIZA. UKIFANYA NJE YA MISSION YAKO KAMA MTUMISHI MUNGU ANAKUPIGA KISOGO
1.alipokuwa gerezani yesu YOHANA MBATIZAJI UJUMBE alimtumia ujumbe.

Yesu anamuita Yohana mbatizaji kuwa ni mkuu kuliko wanadamu wote na pia Yesu

na ndiyo yule ELIYA roho ya ELIYA ikllikuwa na Yohana mbatizaji
na maneno haya Yesu anayasema kumuelezea YOHANA MBATIZAJI akiwa gerezani..HAKUNA KOSA LOLOTE ALILOLITENDA YOHANA MBATIZAJI kwa kumkemea maovu..kukemea maovu haijawahi kuwa ni dhambi..ila kunyamaza maovu yakifanyika .

Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.


Matthew 11:2-19Summary
2 Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo ▼ alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake 3 ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona: 5 dVipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema. 6 eAmebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
7 fWale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo? 8Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme. 9 gBasi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 10 hHuyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa:
“ ‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako,
atakayetengeneza njia mbele yako.’

11 i Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.
 
3.Daudi alikuwa nabii
Matendo 2:30
Lakini kwa vile Daudi alikuwa nabii, alijua kuwa Mungu alimwapia kiapo kwamba atamtawaza mmoja wa uzawa wake kuwa mfalme mahali pake.

1.alipokuwa gerezani yesu YOHANA MBATIZAJI UJUMBE alimtumia ujumbe.

Yesu anamuita Yohana mbatizaji kuwa ni mkuu kuliko wanadamu wote na pia Yesu

na ndiyo yule ELIYA roho ya ELIYA ikllikuwa na Yohana mbatizaji
na maneno haya Yesu anayasema kumuelezea YOHANA MBATIZAJI akiwa gerezani..HAKUNA KOSA LOLOTE ALILOLITENDA YOHANA MBATIZAJI kwa kumkemea maovu..kukemea maovu haijawahi kuwa ni dhambi..ila kunyamaza maovu yakifanyika .

Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.


Matthew 11:2-19Summary
2 Yohana aliposikia akiwa gerezani mambo ambayo Kristo ▼ alikuwa akiyafanya, aliwatuma wanafunzi wake 3 ili wakamuulize, “Wewe ndiye yule aliyekuwa aje, au tumngojee mwingine?”
4Yesu akajibu, “Rudini mkamwambie Yohana yale mnayosikia na kuyaona: 5 dVipofu wanapata kuona, viwete wanatembea, wenye ukoma wanatakaswa, viziwi wanasikia, wafu wanafufuliwa, na maskini wanahubiriwa habari njema. 6 eAmebarikiwa mtu yule asiyechukizwa na mimi.”
7 fWale wanafunzi wa Yohana walipokuwa wanaondoka, Yesu akaanza kusema na makutano kuhusu Yohana Mbatizaji. Akawauliza, “Mlipokwenda kule nyikani, mlikwenda kuona nini? Je, ni unyasi ukipeperushwa na upepo? 8Kama sivyo, mlikwenda kuona nini basi? Mtu aliyevaa mavazi ya kifahari? La hasha, watu wanaovaa mavazi ya kifahari wako katika majumba ya wafalme. 9 gBasi mlikwenda kuona nini? Mlikwenda kumwona nabii? Naam, nawaambia, yeye ni zaidi ya nabii. 10 hHuyu ndiye ambaye habari zake zimeandikwa:
“ ‘Tazama nitamtuma mjumbe wangu mbele yako,
atakayetengeneza njia mbele yako.’

11 i Amin, nawaambia, miongoni mwa wale waliozaliwa na wanawake, hajatokea mtu aliye mkuu kuliko Yohana Mbatizaji. Lakini aliye mdogo kabisa katika Ufalme wa Mbinguni ni mkuu kuliko Yohana. 12 jTangu siku za Yohana Mbatizaji hadi sasa, Ufalme wa Mbinguni hupatikana kwa nguvu, nao wenye nguvu wanauteka. 13 kKwa maana manabii wote na Sheria walitabiri mpaka wakati wa Yohana. 14 lIkiwa mko tayari kukubali hilo, yeye ndiye yule Eliya ambaye manabii walikuwa wamesema angekuja. 15 mYeye aliye na masikio, na asikie.

2.Jinai ni sheria za nchi dhambi ni sheria ya Mungu,na hukumu ya Mungu ni ya haki..MENE MENE TEKELI NA PERESI..
Kisheria za kibinadamu au kisiasa na serikali za wanadamu japo au tendo linaweza lisiwe KOSA AU JINAI kisheria ya binadamu ,ila kwa sheria ya Mungu likawa ni DHAMBI.na Mungu akalihukumu kwa haki yake.
Ukienda kinyume na mission yako Mungu anakupiga KISOGO na kuna athari utazipata
1. Yohana mbatizaji Yesu hakwenda kumcheki alipokuwa amebananishwa lupango
2. Musa safari ya kuwaongoza wana wa Israel ilikoma akapewa mwingine
3. Elikana unajua kilichompata baada ya Mungu kumtaka abadilike kuhusu utovu wa nidhamu wa watoto wake
4. Daudi nafasi ya kujenga hekalu iliisha akapewa mwanae Mzee wa totozi bingwa wa mademu na michepuko
 
Ukienda kinyume na mission yako Mungu anakupiga KISOGO na kuna athari utazipata
1. Yohana mbatizaji Yesu hakwenda kumcheki alipokuwa amebananishwa lupango
2. Musa safari ya kuwaongoza wana wa Israel ilikoma akapewa mwingine
3. Elikana unajua kilichompata baada ya Mungu kumtaka abadilike kuhusu utovu wa nidhamu wa watoto wake
4. Daudi nafasi ya kujenga hekalu iliisha akapewa mwanae Mzee wa totozi bingwa wa mademu na michepuko
1.Yohana mbatizaji....hakukosea chochote wala Yesu hakumpa kisogo..mana unaona Yesu anamuelezea Yohana kuwa ni bora kuliko wanaadamu wote waliozaliwa na mwanamke,na anasema Roho ya Elia ipo ndani ya Yohana,na anawatuma wanafunzi wa Yohana waende wakampe habari huko getezani kuwa vipofu wanaona n.k.
Haimaanishi Yesu alimpa kisogo Yohana.

2)Musa pia kadhalika haimaanishi Mungu alimpa kisogo hata shetani alipotaka kuuchukua mwili wa Musa alipokuwa amefariki,Mungu alimtuma malaika akamzuia shetani asi ibe mwili wa Musa
na hata Yesu alipokuwa mlimani akiomba alipokaribia kusulubiwa aliomba na mara MUSA ,NA ELIA wakamtokea kumtia nguvu kuwa atashinda ,unaona Musa na Elia baye huyu Elia ndio Yohana mana Roho ya Elia ndio hiyo hiyo ya Yohana.
Sasa wewe unawaelezea Yohana na Musa kama watu waliopewa kisogo na Mungu au hawakufanya misheni za Mungu kwa ukamilifu...SIO KWELI Yohana ndiye aliyembatiza Yesu ,na Musa ndiye aliyemzaa Joshua aliyetawala badala yake ...na Yesu anasema hakuja kuitengua torati ya Musa bali kuitumiliza na Yesu anasema katika wanadamu waliozaliwa na mwanamke hakuna mkubwa kuliko Yohana ,wewe unasema kuwa walipewa kisogo..
Na mateso na kufungwa gerezani kwa ajili ya kristo kimewapata wengi na Yesu alisema nimewatuma kama kondoo katokati ya mbwa mwitu,mitime wengi waliteswa,kufunhwa na kuuwawa kwa ajili ya Kristo,ukiwa nabii wa kweli wa Mungu sio chawa chawa huwezi kupendwa na wafalme waovu.
3) Daudi alipendwa na Mungu hata Mungu alikiri kuwa daudi anampendeza kwa sababu ya unyenyekevu wa Daudi..sababu ya Daudi kutokujenga kwa sababu Daudi alitawala kiindi cha vita hivyo aliuwa maadui zake wwngi mikono yake ilijaa damu,na akahaidiwa mwanaye atakayekuja kutawala kipindi cha amani kisicho vita ndio atajenga hekalu...
Hawa unaowasema hawakwenda kinyume na mission ya Mungu..
Aliyekwenda kinyume na mission ya Mungu ni YONA aliyetumwa nchi ya ninawi akakataa lakini mwisho wa siku alikubali kwenda kwa namna ambayo Mungu alimpitisha ,Mungu akihitaji ukamilshe misheni yake atakutumia tu huwezi kukwepa hata ukikataa kama Yona..Paulo kipindi anaitwa Sauli..mpaka Yesu akamtokea..leo hii hata uwe dini nyingine,uwe na dhambi kiasi gani,Mungu akiamua kukutumia utabadikika utaokoka utaacha dhambi utamtumikia tu huwezi kukwepa hata kama mwanzo ulikataa
 
1.Yohana mbatizaji....hakukosea chochote wala Yesu hakumpa kisogo..mana unaona Yesu anamuelezea Yohana kuwa ni bora kuliko wanaadamu wote waliozaliwa na mwanamke,na anasema Roho ya Elia ipo ndani ya Yohana,na anawatuma wanafunzi wa Yohana waende wakampe habari huko getezani kuwa vipofu wanaona n.k.
Haimaanishi Yesu alimpa kisogo Yohana.

2)Musa pia kadhalika haimaanishi Mungu alimpa kisogo hata shetani alipotaka kuuchukua mwili wa Musa alipokuwa amefariki,Mungu alimtuma malaika akamzuia shetani asi ibe mwili wa Musa
na hata Yesu alipokuwa mlimani akiomba alipokaribia kusulubiwa aliomba na mara MUSA ,NA ELIA wakamtokea kumtia nguvu kuwa atashinda ,unaona Musa na Elia baye huyu Elia ndio Yohana mana Roho ya Elia ndio hiyo hiyo ya Yohana.
Sasa wewe unawaelezea Yohana na Musa kama watu waliopewa kisogo na Mungu au hawakufanya misheni za Mungu kwa ukamilifu...SIO KWELI Yohana ndiye aliyembatiza Yesu ,na Musa ndiye aliyemzaa Joshua aliyetawala badala yake ...na Yesu anasema hakuja kuitengua torati ya Musa bali kuitumiliza na Yesu anasema katika wanadamu waliozaliwa na mwanamke hakuna mkubwa kuliko Yohana ,wewe unasema kuwa walipewa kisogo..
Na mateso na kufungwa gerezani kwa ajili ya kristo kimewapata wengi na Yesu alisema nimewatuma kama kondoo katokati ya mbwa mwitu,mitime wengi waliteswa,kufunhwa na kuuwawa kwa ajili ya Kristo,ukiwa nabii wa kweli wa Mungu sio chawa chawa huwezi kupendwa na wafalme waovu.
3) Daudi alipendwa na Mungu hata Mungu alikiri kuwa daudi anampendeza kwa sababu ya unyenyekevu wa Daudi..sababu ya Daudi kutokujenga kwa sababu Daudi alitawala kiindi cha vita hivyo aliuwa maadui zake wwngi mikono yake ilijaa damu,na akahaidiwa mwanaye atakayekuja kutawala kipindi cha amani kisicho vita ndio atajenga hekalu...
Hawa unaowasema hawakwenda kinyume na mission ya Mungu..
Aliyekwenda kinyume na mission ya Mungu ni YONA aliyetumwa nchi ya ninawi akakataa lakini mwisho wa siku alikubali kwenda kwa namna ambayo Mungu alimpitisha ,Mungu akihitaji ukamilshe misheni yake atakutumia tu huwezi kukwepa hata ukikataa kama Yona..Paulo kipindi anaitwa Sauli..mpaka Yesu akamtokea..leo hii hata uwe dini nyingine,uwe na dhambi kiasi gani,Mungu akiamua kukutumia utabadikika utaokoka utaacha dhambi utamtumikia tu huwezi kukwepa hata kama mwanzo ulikataa
Soma vizuri hoja yangu utanielewa ukipenda
 
gwaji kashapotea kwenye, Rada
 
Tunaishi katika nyakati/zama za mwisho kabisa huku unabii kuhusu UNYAKUO WA WATAKATIFU WALIOKO DUNIANI /KURUDI KWA YESU MARA YA PILI kukiwa kumekaribia sana kwa mujibu wa ufunuo na maandiko.
WAKATI WAKATI TULIONAO NI MCHACHE SANA...sisi kama RAIA WA MBINGUNI tunaosafiri safari ya kuelekea MBINGUNI kwenye makao yetu ya kudumu,tukijua hapa duniani sio kwetu na tunapita tu na maisha ya duniani ni ya muda mfupi sana.

1)hatujui saa wala dakika ambayo tutatwaliwa tutaondolewa/MUDA wetu wa kuishi hapa duniani utaisha ama unyakuoa utatokea ,hivyo kila dakika ya MUDA tulionayo tukiwa hapa duniani ni mali endapo tuki itumia kwa utukufu wa Mungu ,na itakuwa ni hasara tukitumia muda wetu mwingi zaidi na kuwekeza TUKIZITUMIKIA MALI na kupenda pesa na kuzitafuta pesa,
nyakati za mwisho.
watu watapenda pesa kuliko chochote ,kuliko kumpenda Mungu,kuliko utu..upendo kati ya mtu na utu UTAPOA ,watu watapenda viti/mali kuliko utu/Mungu..na wengi hali wakiitamani pesa watajifarakanisha na imani yao na kujichomankwa maumivu makali.
PIA wengi sasa watakuwa wanaitumikia pesa badala ya kumtumikia MUNGU ,na huwezi kuwatumikia ma bwana wawili,yani umtumikie Mungu na utumikie Mali,lazima utampenda mmoja zaidi .
Biblia imetupa maneno ya hekima katika hili..kwamba tulinde sana moyo wote kwani ndipo zitokapo chemichemi za uzima kwa maana kule hazina yako iliko ndiko uliko moyo wako yaani kama utawekeza zadi katika kiyafikia mafanikio ya hapa duniani kuliko unavyowekeza katika hazina yako ya mbinguni kwa Mungu, mkwamba ni rahisi kwa ngamia kupenya kwenye tundu la sindano kuliko ilivyo kwa tajiri kwa sababu moyo wako utakuwa zaidi kule ulikowekeza MUDA wako zaidi na hiyo pia ni IBADA YA SANAMU KUTUMIKIA MALI..badala ya Mali zitumike kumtumikia Mungu,ikiwemo MUDA ,muda nao ni mali unagawaje muda wako katika masaa 24 ya siku ,unawekeza zaidi wapi huko ulikowekeza zaidi ndiyo ibada yako ndiyo moyo wako uliko..

watu wengine hatuji kwenye ibada kusali kama kuna kazi ya kuingiza ipo inakuhitaji kufanya MUDA huo ambayo itakuingizia hela au lipo jambo ambalo inaliona ni muhimu kuhudhuria au kufanya MUDA huo,tunakuja kwenye ibada muda ambao tunafikiri hatuna mambo mengine dearest ya kufanya muda huo.
Ila biblia inatumbia tuutafute kwanza ufalme wa mbingu,na mengine yote tutazidishiwa,na kwamba BWANA asipoujenga mji au asipoulinda mji yeye aujengao na kuulindao afanya kazi bure.
Kama unakusanya bila uwepo/kumtanguliza Mungu basi haukusanyi bali UNATAPANYA yani ni sawa na kuweka katika MFUKO ULIOTIBOKA.
Msingi imara wa kujenga/ kufanya jambo lolote ni kujenga juu ya MWAMBA IMARA ambao ni YESU.
hata dhoruba ikija jambo lilojengwa kwa kuanza na msingi imara YESU halitatikisika/halitatetereka halitabomoka.
Na mtu mwenye akili nyingi na aliyechagua fungu lililo JEMA ni yule tu anayemtanguliza na kumtegemea Mungu wakati wote na muda wote..GOD FIRST(MUNGU KWANZA)mengine yote yafuate NYUMA baadae.
Heri anayemtumikia Mungu kuanzia wakati wa UJANA WAKE mpaka mwisho amechagua fungu lililo JEMA.
Hakuna aliyewahi kumtumikia Mungu halafu BWANA akampungukia akamuacha yeye na uzao wa watoto wake.
Kumtumikia MUNGU sio ujinga ,wala sio kupoteza MUDA ,vijana wanaoimba kwaya kanisani au kuhubiri injili au kufanya kazi za kanisa SIO KWAMBA NI WAJINGA au wanapoteza MUDA au hawafanyi kazi au wanachezea muda wao ,ila nawaonea wivu wamechagua fungu lililo jema ,na hawa NDIO WENYE AKILI..na watauona mkono wa Mungu katika maisha yao na watoto wao..SADAKA WALIYOITOA YA MUDA WAO wa ujana wao katika kumtumikia Mungu.

SIOKWELI kwamba watu WOTE ambao tunapitia hali duni za kiuchumi,hatujajipata kiuchumi,bado tuna jitafuta kimaisha kwamba ETI hatufanyi kazi kwa bidii,ama hatuna akili,ama ni wavuvu ama ni wazembe..la hasha ,WAPO bbaadhi yaa masikini wanafanya kazi kwa bidii,wamesoma kuliko wengine ,wanaomba ajira ,wanajishighulisha na wanamtumikia MUNGU lakini bado WAKATI WA BWANA kuwainua hauhafika...SARA alipata mtoto katika uzee wake ..MUNGU huwa anajibu kwa wakati wake ,hachelewi wala hawai.

Tusijipambanie kwa nguvu zetu wenyewe,ipo njia ionekanayo ni njema machoni pa mwanadamu ila mwisho wake ni mauti,

PIA TUSIJILINGANISHE NA MTU YEYOTE
Utaona mwenzako wa umri rika lako ama mnafanya shughuli moja ama mnapokea mshahara sawa ,ama mnalingana elimu,umri ,n.k..lakini ghafla unaona mwenzako mmeanza pamoja ila yeye ana mafanikio makubwa kuliko wewe,
HUJUI hayo mafanikio ameyapataje...MAISHA SIO MASHINDANO haushindani na yeyote,kila mtu anakusudi lake na ameitwa kutumika kwa nafasi yake na wakati wake na kuna vitu tofauti vipawa na karama tofauti kwa watu tofauti na hata vidole vya mikono yako havilingani.Na kila mtu na kila jambo lina wakati wake.
WAKATI wa Mungu ni sahihi,tuwe na IMANI isiyokuwa na mashaka ,TUMAINI,na UVUMILIVU..na yale matunda ya Roho mtakatifu..tukikosa hivi ndio utaona IBRAHIMU na SARA walipofika ukomo wa uwezo na akili za kibinadamu katika kusubiri kupata mtoto ,wakajipigania wao wenyewe wakaishia kupata mtoto ISHIMAILI ,lakini Mungu alikuwa amewaandalia ISAKA. ukikimbia kwa haraka ,USIHARAKIE MAISHA ,utajikuta hata kazini unachukua RUSHWA,UNAIBA /ufisadi,wizi,unadhulumu unafanya biashara haramu,madili ili UPATE MAFANIKIO YA HARAKA HARAKA..ukijipambania mwenyewe kwa akili za mwanadamu..na hiyo njia hata kama inaonekana ni njema machoni pa wanadamu ila mwisho wake ni MAUTI

.kwa hiyo hata ukichelewa kupata MAFANIKIO kama mtoto kazi,nyumba na gari ndoa,kazi/ajira,mgonjwa umekosa AFYA,n.k

Mungu ATAKUREJESHEA kicheko (Isaka),atakurejeshea wakati /ataukomboa wakati/muda hiyo AFYA iliyougua atakurudishia afya,na miaka iliyoliwa na tunutu,nzige,madumadu.

YOTE KATIKA YOTE
Tumtangulize Mungu kwanza pamoja na mbio zetu za kutafuta mafanikio ,pesa na misha ya hapa duniani ambapo sipo kwetu tunapita,tuwe na kiasi,tufanye yote kwa utukufu wa Mungu.
GOD FIRST..MUNGU KWANZA.
 
 
Back
Top Bottom