Ushauri kwa Askofu Gwajima

Ushauri kwa Askofu Gwajima

1.YESU alisema katika wanadamu wote aliye mkubwa kuliko YOHANA MBATIZAJI,
unaposema Yesu hakwenda kumuona una maanisha nini kwamba Yohana mbatizaji hakuwa mtumishi wa Mungu au alikuwa mdogo kiroho au??
tena Yesu alimtumia ujumbe tazama vipofu wanaona,viziwi wanafunguliwa wanasikia ,viwete wanatembea..alimtumia ujumbe akiwa getezani..1) pointi yako kuhusu yohana mbatizaji ni ipi??

2.ndicho GWAJIMA anachokifanya kuonya juu ya adhabu ya Mungu, na Gwajima anasema alifuata taratibu zaa kisheria za vyombo vyetu vya haki...AKAZUNGUSHWA ZUNGUSHWA hata BARUA RASMI hawajapewa zaidi ya taarifa za mitandao,amefuatillia mamlakaa zote ngazi zote za kisheria hakuna jibu ndio akaamua kumshitakia Mungu,na RC wakafunga na kumuomba Mungu..Mungu haangalii cheo cha kisiasa ila anahukumu binadamu kutokana na dhambi hata awe mfalme...MENE MENE TEKELI NA PERESI...reffet mfalme Nebucchadnezzer.. BABELI

3.DAUDI HAKUWA MTUMISHI WA MUNGU REALLY ?you cant be serious ?DAUDI mpakwa mafuta wa Mungu,ameandika sehemu kubwa ya biblia,ametembea na Mungu ,labda kwa tafsiri yako nini MAANA YA MTUMISHI WA MUNGU??
Tindu Lisu mwenyewe ni mtumishi wa Mungu kuliko hata maaskofu wa mchongo tulionao machawa.?sio lazima uvae kanzu na usimame madhabahuni uwetumishi wa Mungu,kiasili binadamu wote ni waja ibada wa mwenyezi Mungu ninwatumishi wa Mungu kama isingekuwa SHETANI kuwapotosha.
Unachanganya madawa mkuu
 
Utawala wa kifalme enzi hizo ni tofauti na ilivyo sasa. Sasa hivi tunapiga kura lakini kwa wafalme walipatikana tofauti na manabii walikuwepo kama jicho na sikio la Mungu kwa wafalme.
2 Timotheo 2:24-"Tena mtumishi wa Bwana haitakiwi kuwa mtu wa kushindana, bali awe mpole kwa watu wote, ajuaye kufundisha, mvumilivu."
Utawala ni utawala tu na kukemea uovu haijarishi unakema kwa mfalme au nani.

Je gavana aliyeonywa na paul naye alikuwa mfalme?
 
Soma vizuri biblia na Roho wa Mungu atakufunulia hana ubaguzi
Usijifiche kwenye Roho wa Mungu mkuu Roho wa Mungu ni yuleyule aliyemtokea musa na kumwambia akamwambie farao awaachie wana wa israel na sio ombi ndo huyo huyo aliye muongoza yesu kuvunja menza za wafanyabiashara hekaluni na serikali isimchukulie hatua
 
1.Daudi hakuwa nabii bali mfalme. Soma vizuri biblia utaelewa tofauti na majukumu yao. Zaidi fuatilia sababu ya uwepo wa wafalme, manabii na waamuzi na baada ya Yesu kuja hawakuwepo tena.
2. Mkuu kila mtumishi wa Mungu ana mission yake. Mfuatilie Mwalimu Mwakasege na Askofu Kulola (RIP) utajua naongea nini.
Tuache ushabiki na tusimamie kweli. Kwa kusikiliza maneno anayoongea Askofu Gwajima ni mazuri masikioni na kwenye mwili wa hisia za ushabiki lakini kiroho haiko sawa
NI KIPI ALICHOKITENDA Ask Gwajima ambacho kimekupelekea wewe kifikiri/kusema KIROHO hayuko sawa.??
1)kushauri amevunja sheria ipi ya kikatiba au ya chama chake au ya nchi kushauri au kutoa maoni yake,na ushauri wake?

kukemea WATU WASITEKWE NA KUULIWA KAMA KUKU?

2)kuomba uhuru wake wa kuabudu na waumini wake.

3)KOSA LA GWAJIMA NI LIPI??

Tukiacha uchawa pembeni tukatumia akili za kawaida na elimu ya uraiaa ya shule ya msingi na haki za binadamu/haki za kikatiba..kosa lake ni kutumia haki zake kikatiba kutoa maoni yake??kushauri?kukemea utekaji ?NANI ANAPENDA UTEKAJI?hata wewe haupo tayari ndugu yako atekwe apotee?
nani hapendi uhuru wa kuabudu?hata wanao abudu ngombe wamepewa uhuru waabudu wanachokitaka ,ni haki ya binadamu ya kikatiba.
 
TU ASSUME GWAJIMA sio mtumishi wa Mungu kama unavyotaka,..tuassume basi anaabudu kitu kingine ,still bado ana haki ya uhuru wa kuabudu hata kama angekuwa ana abudu ngombe kama imani za wengine?
tu assume ni raia wa kawaida ,bado ana haki ya kikatiba ya kutoa maoni yake.
Na kama kuna kosa amefanya mamlaka zinazotoa haki zimuhukumu kwa haki ,bado pia ana haki ya kukata rufaa,kama ni mahakamani..etc
 
NI KIPI ALICHOKITENDA Ask Gwajima ambacho kimekupelekea wewe kifikiri/kusema KIROHO hayuko sawa.??
1)kushauri amevunja sheria ipi ya kikatiba au ya chama chake au ya nchi kushauri au kutoa maoni yake,na ushauri wake?

kukemea WATU WASITEKWE NA KUULIWA KAMA KUKU?

2)kuomba uhuru wake wa kuabudu na waumini wake.

3)KOSA LA GWAJIMA NI LIPI??

Tukiacha uchawa pembeni tukatumia akili za kawaida na elimu ya uraiaa ya shule ya msingi na haki za binadamu/haki za kikatiba..kosa lake ni kutumia haki zake kikatiba kutoa maoni yake??kushauri?kukemea utekaji ?NANI ANAPENDA UTEKAJI?hata wewe haupo tayari ndugu yako atekwe apotee?
nani hapendi uhuru wa kuabudu?hata wanao abudu ngombe wamepewa uhuru waabudu wanachokitaka ,ni haki ya binadamu ya kikatiba.
1. Sina uchawa na kwa umri wangu sintawahi niwe chawa.
2. Kwa kurejea kwenye biblia naona kosa alilofanya Yohana mbatizaji nae Askofu Gwajima amelirudia.
Unajua kilichomsababisha Yohana mbatizaji akatwe kichwa?
 
TU ASSUME GWAJIMA sio mtumishi wa Mungu kama unavyotaka,..tuassume basi anaabudu kitu kingine ,still bado ana haki ya uhuru wa kuabudu hata kama angekuwa ana abudu ngombe kama imani za wengine?
tu assume ni raia wa kawaida ,bado ana haki ya kikatiba ya kutoa maoni yake.
Na kama kuna kosa amefanya mamlaka zinazotoa haki zimuhukumu kwa haki ,bado pia ana haki ya kukata rufaa,kama ni mahakamani..etc
KILA AINA YA UTUMISHI UNA MAADILI YAKE
 
Usijifiche kwenye Roho wa Mungu mkuu Roho wa Mungu ni yuleyule aliyemtokea musa na kumwambia akamwambie farao awaachie wana wa israel na sio ombi ndo huyo huyo aliye muongoza yesu kuvunja menza za wafanyabiashara hekaluni na serikali isimchukulie hatua
Kila aina ya UTUMISHI una mission kiongozi wangu.
 
TU ASSUME GWAJIMA sio mtumishi wa Mungu kama unavyotaka,..tuassume basi anaabudu kitu kingine ,still bado ana haki ya uhuru wa kuabudu hata kama angekuwa ana abudu ngombe kama imani za wengine?
tu assume ni raia wa kawaida ,bado ana haki ya kikatiba ya kutoa maoni yake.
Na kama kuna kosa amefanya mamlaka zinazotoa haki zimuhukumu kwa haki ,bado pia ana haki ya kukata rufaa,kama ni mahakamani..etc
Askofu Gwajima sijasema sio mtumishi wa Mungu isipokuwa amekengeuka na ni vema akarudi kwenye mstari kwa kufanya toba na sio kwa binadamu bali kwa Mungu
 
1. Sina uchawa na kwa umri wangu sintawahi niwe chawa.
2. Kwa kurejea kwenye biblia naona kosa alilofanya Yohana mbatizaji nae Askofu Gwajima amelirudia.
Unajua kilichomsababisha Yohana mbatizaji akatwe kichwa?
Tuachane na habari za biblia huna uelewa nazo na unapotosha.

tuongelee Gwajima kama vile sio mtumishi wa Mungu kama ulivyomuita,kama ambavyo unamuona mfalme Daudi na Yohana mbatizaji.
BIBLIA TUIACHE .

TUZUNGUMZIE
Gwajima kama mtazania mwanachi...KOSA LAKE NI LIPI bila kurejelea biblia.
tutumie tu sheria zetu na katiba yetu.
 
Tuachane na habari za biblia huna uelewa nazo na unapotosha.

tuongelee Gwajima kama vile sio mtumishi wa Mungu kama ulivyomuita,kama ambavyo unamuona mfalme Daudi na Yohana mbatizaji.
BIBLIA TUIACHE .

TUZUNGUMZIE
Gwajima kama mtazania mwanachi...KOSA LAKE NI LIPI bila kurejelea biblia.
tutumie tu sheria zetu na katiba yetu.
Sijatumia sheria za nchi Wala katiba yake hapa. Au kuna pahala nimetumia kwenye maelezo yangu?
 
Tuachane na habari za biblia huna uelewa nazo na unapotosha.

tuongelee Gwajima kama vile sio mtumishi wa Mungu kama ulivyomuita,kama ambavyo unamuona mfalme Daudi na Yohana mbatizaji.
BIBLIA TUIACHE .

TUZUNGUMZIE
Gwajima kama mtazania mwanachi...KOSA LAKE NI LIPI bila kurejelea biblia.
tutumie tu sheria zetu na katiba yetu.
.
 
Back
Top Bottom