1.YESU alisema katika wanadamu wote aliye mkubwa kuliko YOHANA MBATIZAJI,
unaposema Yesu hakwenda kumuona una maanisha nini kwamba Yohana mbatizaji hakuwa mtumishi wa Mungu au alikuwa mdogo kiroho au??
tena Yesu alimtumia ujumbe tazama vipofu wanaona,viziwi wanafunguliwa wanasikia ,viwete wanatembea..alimtumia ujumbe akiwa getezani..1) pointi yako kuhusu yohana mbatizaji ni ipi??
2.ndicho GWAJIMA anachokifanya kuonya juu ya adhabu ya Mungu, na Gwajima anasema alifuata taratibu zaa kisheria za vyombo vyetu vya haki...AKAZUNGUSHWA ZUNGUSHWA hata BARUA RASMI hawajapewa zaidi ya taarifa za mitandao,amefuatillia mamlakaa zote ngazi zote za kisheria hakuna jibu ndio akaamua kumshitakia Mungu,na RC wakafunga na kumuomba Mungu..Mungu haangalii cheo cha kisiasa ila anahukumu binadamu kutokana na dhambi hata awe mfalme...MENE MENE TEKELI NA PERESI...reffet mfalme Nebucchadnezzer.. BABELI
3.DAUDI HAKUWA MTUMISHI WA MUNGU REALLY ?you cant be serious ?DAUDI mpakwa mafuta wa Mungu,ameandika sehemu kubwa ya biblia,ametembea na Mungu ,labda kwa tafsiri yako nini MAANA YA MTUMISHI WA MUNGU??
Tindu Lisu mwenyewe ni mtumishi wa Mungu kuliko hata maaskofu wa mchongo tulionao machawa.?sio lazima uvae kanzu na usimame madhabahuni uwetumishi wa Mungu,kiasili binadamu wote ni waja ibada wa mwenyezi Mungu ninwatumishi wa Mungu kama isingekuwa SHETANI kuwapotosha.