Kitchener
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 13,823
- 27,695
HUU UZI SIO WAKUUNGANISHWA, UNAJITEGEMEA.
1. muwe makini sana na matamshi yeyote mnayofanya popote, na hii ni kwa watanzania wote wanaowasemea wengine, watu wabaya wakikosa cha kukushitaki, huwa wanajua with time utajikwaa tu kama sio kwenye sheria za cyber, basi kwenye matamshi yako kwa sababu kikawaida wanajua hawana cha kukushitaki kisheria, hivyo hukufuatilia wee siku utakapoteleza ulimi ukavunja kakipengele ka sheria, kazi imeisha, unapelekwa segerea na wao wanapumua. HIVYO KUWENI MAKINI NA MATAMSHI YENU TAFADHALI, ONGEENI KWA HEKIMA, BUSARA NA KWA AKILI, NA MPUNGUZE KUSAMBAZASAMBAZA VITU MTAANI, WEWE FANYA NA WATU WENYEWE WASAMBAZE ILA SIO WEWE.
2. Tundu lisu alifuatiliwa sana kwenye matamshi kwani walijua wiht time atateleza tu ulimi ili wapate hati ya mashtaka, ninyi msiingie mtego huo, ongeeni kwa hekima na busara ila ongeeni point tu, mkijua wapo hapohapo wanawasikiliza wametumwa kutafuta mnaongea nini au mnafanya nini wapate cha kuwapeleka gerezani.
3. Tundu lisu asingekuwa gerezani kama angefuata ushauri huu, tungekuwa naye huku nje anasaidia kupaza sauti juu ya mdude na kina soka. masisiemu wana akili nyingi sana, wanajua wapi pa kuwapatia watu waliokerwa na jambo, wanakukasirisha halafu wanakusubiria kwenye kona uingie kwenye anga zao, na ukiingia utajikuta kweli umevunja sheria na wana uhalali kukushikilia gerezani. ndivyo wanavyotumia sheria kwa faida yao.
1. muwe makini sana na matamshi yeyote mnayofanya popote, na hii ni kwa watanzania wote wanaowasemea wengine, watu wabaya wakikosa cha kukushitaki, huwa wanajua with time utajikwaa tu kama sio kwenye sheria za cyber, basi kwenye matamshi yako kwa sababu kikawaida wanajua hawana cha kukushitaki kisheria, hivyo hukufuatilia wee siku utakapoteleza ulimi ukavunja kakipengele ka sheria, kazi imeisha, unapelekwa segerea na wao wanapumua. HIVYO KUWENI MAKINI NA MATAMSHI YENU TAFADHALI, ONGEENI KWA HEKIMA, BUSARA NA KWA AKILI, NA MPUNGUZE KUSAMBAZASAMBAZA VITU MTAANI, WEWE FANYA NA WATU WENYEWE WASAMBAZE ILA SIO WEWE.
2. Tundu lisu alifuatiliwa sana kwenye matamshi kwani walijua wiht time atateleza tu ulimi ili wapate hati ya mashtaka, ninyi msiingie mtego huo, ongeeni kwa hekima na busara ila ongeeni point tu, mkijua wapo hapohapo wanawasikiliza wametumwa kutafuta mnaongea nini au mnafanya nini wapate cha kuwapeleka gerezani.
3. Tundu lisu asingekuwa gerezani kama angefuata ushauri huu, tungekuwa naye huku nje anasaidia kupaza sauti juu ya mdude na kina soka. masisiemu wana akili nyingi sana, wanajua wapi pa kuwapatia watu waliokerwa na jambo, wanakukasirisha halafu wanakusubiria kwenye kona uingie kwenye anga zao, na ukiingia utajikuta kweli umevunja sheria na wana uhalali kukushikilia gerezani. ndivyo wanavyotumia sheria kwa faida yao.