HAKUNA COURSE ISIYOKUWA NA KAZI.Wana jamvi naomba ushauri kuhusu kijana anayechukua hkl baada ya kumaliza ana fursa gani na kozi gani baada ya kufika chuo ambazo ataendana na soko la ajila..
Health system and management ni priorityIla asahau HABARI ya mkopo serikalini..
Hajauliza Mkopo Mkuu!Ila asahau HABARI ya mkopo serikalini..
Mchepuo au combination.Kumradhi nini maana ya tahasusi?
shukrani bossMchepuo au combination.
Mkopo upo kwa kila mwanafunz ilmrad akidhi vigezo sio ishu ya artsIla asahau HABARI ya mkopo serikalini..
Ajira zake ni chache kivip mkuu? Naomba maelezo kidogo kama hautojari mana nategemea kusoma course hiyo kuanzia mwaka mpya wa masomo 2017/18 lkn nimechagua nit Na vp ni chuo gan kizur kwa kozi huyo? Pia hiyo coz pale udsm wanaita public relation and advertising je kuna utofaut wowt na hiyo ya saut Na nit? Kama upo ni upi? Sorry kwa usumbufu lkn!!!Public Relations and Marketing. Ni bonge la kozi. Lipo pale SAUT. Ajira zake ni chache lakini ukiipata ulaji wake ni mrefuuuuuuu.
Fikiri kabla ya kutype we babaako kasoma tahasus gan?Tahsusi ya wanawake
hakusoma sana ila alikuwa na akili kuliko babaakoFikiri kabla ya kutype we babaako kasoma tahasus gan?