Ushauri kwa akina dada/mama

The Initiator huru

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2017
Posts
2,327
Reaction score
3,203
Katika kipindi hiki cha kuzuina msongamano, akina dada na akina mama jitahidini kuwahudumia vizuri wanaume zenu/ wachumba zenu hasa wale wanaotumia vileo. Mjitahidi hata kuvaa vimini, kuwa binuliabinulia makalio, kuwa uliza kama imeisha niongeze , kuwa pigia nyimbo wanazotaka wakati mwingine mcheze kabisa ila mkichukua tahadhari pia ili wasiboreke na kutamani bar. hii huenda ikasaidia hata baada ya covid-19 kumalizika.
 
Nimeiona kule Twitter. Kwanini wewe ndiye uliyetuma huu ujumbe kule Twitter au umenakili?
 
Ungeweka na kapicha ka kuchagiza..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…