Tum4
Member
- Jul 15, 2017
- 36
- 2
Wakuu kuku wangu hawa wa asili nimewanunua muda mrefu kweli lakini hawatagi wana tetea tu muda wote lakini kutaga hawatagi sijajua tatizo ni nini naombeni ushauri wenu tafadhali.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app