Ushauri kuhusu Subaru Forestar

Ushauri kuhusu Subaru Forestar

tamimusalim

JF-Expert Member
Joined
Jun 17, 2014
Posts
1,822
Reaction score
499
ImageUploadedByJamiiForums1407508815.002704.jpg

Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana.

Tumefanikiwa kujenga nyumba 4 na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya Tanzania.

Licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa.
 
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4,ila toka nimemnunulia amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!

mnunulie tu hyo gari.
 
Ukimsikiliza kesho atakwambia anataka nyengine, wewe mshauri tu athari za iyo gari atakuelewa
 
Uanaume wako ndo unapimwa hapa, kama kila kitu analosema mwanamke wewe unatekeleza sasa nani kaolewa hapo? Vitu vingine lazima uwe na maamuzi yako, pia mnatakiwa mshauriane, mjadiliane na mufikie maamuzi basing on arguments. Ni ujinga mtu kusema napenda hiki kitu bila grounds. Gari lenyewe halina hata shepu, huyo mwanamke naye ana shida kwenye ubongo wake
 
Uanaume wako ndo unapimwa hapa, kama kila kitu analosema mwanamke wewe unatekeleza sasa nani kaolewa hapo? Vitu vingine lazima uwe na maamuzi yako, pia mnatakiwa mshauriane, mjadiliane na mufikie maamuzi basing on arguments. Ni ujinga mtu kusema napenda hiki kitu bila grounds. Gari lenyewe halina hata shepu, huyo mwanamke naye ana shida kwenye ubongo wake
Eehee lakini kazuri zuri hivi
 
View attachment 176084Jamani mimi nina mke wangu nampenda sana toka tumeowana ni miaka 7 sasa ,tulianza na maisha magumu sana tunamshukuru mungu amefungua riziki leo tuna maisha mazuri sana, tumefanikiwa kujenga nyumba 4na kupata watoto 3 ukweli tuna mshukuru mungu,pia tumefungua biashara nyingi tu ingawa bado ni wafanyakazi wa serikali ya tanzania ,licha ya gari ya ofisini kwa upande wangu namiliki toyota landcruser v8 mali yangu binafsi hapo ndipo nae mke wangu nilipoamua kumnunulia gari yake ya kutembelea sasa toka nimemnunulia iyo gari aina ya toyota RAV4, amelisusa na halitaki kabisa yeye anataka SUBARU FORESTAR TURBO STI ambayo iyo juu pichani mimi nimemkatalia hii gari kwanza inakimbia sana pia linakula mafuta sana hebu nisaidieni maana hata unyumba sipati nina wiki sasa!!

Sio kweli kwamba inakula mafuta zaidi ya hiyo v8 unayomiliki ww, na pia umesema mna maisha mazuri sana so sioni km mtashindwa kumudu kujaza mafuta kwny ki-Subari cha cc2200....unless km lengo la kuleta hii thread ilikuwa ni kututangazia standard ya life yako.....a cha mbwembwe dogo
 
Wanawake bhana,sasa mambo ya kunyimana unyumba yametoka wapi?....
 
Back
Top Bottom