Ushauri kuhusu namna ya kujitoa kwenye umasikini

kitoto wa vitoto

JF-Expert Member
Jul 28, 2019
360
386
Nawasalimu nyote kwa pamoja
Kama uzi wangu unavyosema,
Mimi ni kijana kutoka katika familia ya kipato cha chini
Lakini sion aibu kuweka wazi maisha halisi ya familia yetu, kwa kuwa mficha uchi hazai

Natamani kujikwamua kutoka katika hali hii kwa nguvu zangu zote hali inayonilazimu kufanya kazi usiku na mchana bila kuchoka na bila kukata tamaa
Elimu yangu ni kidato cha nne tu.

Malengo yangu ni kukusanya fedha kidogo kidogo ili niweze kununua shamba pori Hekari kumi (10) kisha nijikite kwenye kilimo. Kwa ari na nguvu hii naamini naweza.
Hilo ni wazo langu
Je ninyi wanajamvi mna maoni au ushauri gani kwangu?

Natanguliza shukurani zangu kwenu.

FB_IMG_1559583334020.jpeg
 
Sikushauri sana kuingia kwenye kilimo unachoota ww...!kilimo kinataka hela..usiwe na hela ya kuunga unga tena na hyo picha uloweka mdogo wangu utaangukia pua..!..

Cha kufanya tafuta hela anza kukusanya mazao uhifadhi! hizo ishu za mapapai ziogope kama baba mkwe wako
 
Sikushauri sana kuingia kwenye kilimo unachoota ww...!kilimo kinataka hela..usiwe na hela ya kuunga unga tena na hyo picha uloweka mdogo wangu utaangukia pua..!..

Cha kufanya tafuta hela anza kukusanya mazao uhifadhi! hizo ishu za mapapai ziogope kama baba mkwe wako
Naunga mkono hoja
 
Back
Top Bottom