kisikiji
JF-Expert Member
- Feb 2, 2015
- 2,530
- 2,495
Wala hakuna haja ya kuomba likizo isiyokuwa na malipo maana wewe mwenyewe unasema hizi kazi za serikali tunapotezeana muda mno. Hapo acha kazi kabisa mkuu ukawe mkulima tu!!
Hujamuelewa mdau, anataka kwenda kutest zali.
Hivyo anataka ikibuma arudi kupoteza muda akiwa anajipanga tena.