code_cobar
Member
- Jul 16, 2016
- 96
- 14
Asante kiongozi kwa ushaur wako ntahushughulikia lakin udsm cjaiona hiyo faculty ya resource .... Na je hiyo land val...and management ajira zake kwa siku za uson zipoje na how about real estate mkuu msaada naitajiHyo competition ni kubwa alaf EGM na PCM ndo huwa wanapewa kipaumbele mana wanesoma Adv math
Kwa nin usijaribu Land valuation au Agricultural and Natural Resources Economics and Business ya UDSM
Agricultural and natural resourse economics ipo chuo gan hiyo faculty kiongozi ??Hyo competition ni kubwa alaf EGM na PCM ndo huwa wanapewa kipaumbele mana wanesoma Adv math
Kwa nin usijaribu Land valuation au Agricultural and Natural Resources Economics and Business ya UDSM
UDSM ni course mpya mwaka huu itakuwa intake ya piliAgricultural and natural resourse economics ipo chuo gan hiyo faculty kiongozi ??
Mkuu asante sana nimeiona hiyo course UDSM kwenye college agricultural and fisheries technology ss je Mimi HGE naweza kuisoma??UDSM ni course mpya mwaka huu itakuwa intake ya pili
Kuna rafiki yangu alisoma HGE na anasoma hiyo course UD,yeye alikuwa na points 9Mkuu asante sana nimeiona hiyo course UDSM kwenye college agricultural and fisheries technology ss je Mimi HGE naweza kuisoma??
Wadau nackia usemi mitaani kua madam Ndalichako anachkua 3 mwisho ya 13 kuna ukweli wowote kwenye hiliacheki vyuo vya private kama imtu, kairuki, archibishop james, st francis na bugando kwa umbali
ok asante umenifumbua machoUnaweza kupata,lakini ukishaweka tu kitu kinachoitwa education basi tegemea hiyo hiyo.Hata ukiweka last choice kuna lazima wakuchague education,kama unahitaji hiyo ya kwanza basi ondoa hiyo education.
Grade ya kila somo ni muhimuWakuu kwa matokeo haya naomba ushauri nikasome kipi HKL 2 ya 11
Education
Human resource
Utawala
Na nichague chuo kipi
Msaada tafadhari
Naomba ushaur apo niombe koz ip na chuo kipBiology D
History D
Kiswail D
English D
Hesab F
Geography F
Civics F =na dividion 4point 31 matokeo yangu ya kidato cha nne, naomba ushaur pia naomba ufafanuz wa koz ya kupata sifa ya kusoma stashahada diploma in primary (INTA level 4)
Habari ndugu na wana JF kwa ujumla.
Nimeona nianzishe huu uzi mahususi kabisa kwa wale wanaoomba vyuo vikuu kozi mbali mbali tuwape elimu na ujanja ili waweze ingia vyuo wavipendavyo.
Pia huu uzi utashauri ubora wa chuo husika kuhusu baadhi ya kozi kwani kuna baadhi ya vyuo vina sifa kadhaa katika fani wanazofundisha.
Unachopaswa kufanya ewe unaeomba chuo utaleta matokeo yako yote ili tuyachambue ndio tukupe ushauri, pia kwa vyuo vyenye ushindani kwa kozi fulani hawa hadi matokeo ya form four wanaangalia so usiwe na hofu relax tutakushauri na hakika utashinda mapema wala hutapoteza kitu na pia uwashauri na wenzio walio karibu wapitie huu uzi ili wajifunze zaidi.
Kumbuka ufaulu wako ndo unaamua yote unapoomba kozi angalia ufaulu wako na ushindani kama idadi ni kubwa sana ya waliiomba na wewe una matokeo hafifu badilisha haraka.
Pia ni vyema kufanya maamuzi sahihi ukitegemea eti utahama chuo ni ngumu na hizi habari zinaingiliana na mkopo hivyo basi utaweza kuja kupata mkopo mwaka wa pili.
Hivyo basi jandae vizuri usiwe mbishi sikiliza ushauri wetu vizuri na sisi tumepita huko.
Pia wenzetu mliosoma diploma tunaweza wasaidia mawili matatu.
Karibuni sana.
Nta apply hiyo asante mkuuKuna rafiki yangu alisoma HGE na anasoma hiyo course UD,yeye alikuwa na points 9
Reseat uwezo unaoBiology D
History D
Kiswail D
English D
Hesab F
Geography F
Civics F =na dividion 4point 31 matokeo yangu ya kidato cha nne, naomba ushaur pia naomba ufafanuz wa koz ya kupata sifa ya kusoma stashahada diploma in primary (INTA level 4)
Mi napenda architecture na..surveying nimechek vigezo ninavyo ila sio vya juu so ni bahat nasibu tuwe unapenda nini? jaribu ila duu naona ushindani uppo ila ukikosa una apply second application
ww umesikia wapi hizo habari weka website iliyoandika hivyo vitu tuvione wote!!!Wadau nackia usemi mitaani kua madam Ndalichako anachkua 3 mwisho ya 13 kuna ukweli wowote kwenye hili
wewe kweli akili zako ndogo unaongea tu vitu ambavyo havina ukweliKasema mwisho ni Div 2 ya 12 kam una 13 tafuta diploma cz kasema unatakiwa uciwe na e kwenye masomo yako yote...hapo klmjee
Imtu, st francis, udom na suza mwaka huu hawadahili. Tcu mbele kwa mbelekule kuna ushinda ila nakushauri hiyo kampala itoe weka bugando nina imani huwezi kukosa kimoja wapo, na possibility kubwa utapata imtu
We unadhan wote tunaropoka mkuu chunga kinya chakowewe kweli akili zako ndogo unaongea tu vitu ambavyo havina ukweli