peace lady Tz
Member
- Sep 4, 2018
- 19
- 6
Habari zenu wana jf naombeni ushauri Wa kozi hii ya Records management. nimechaguliwa coz ya recods katika chuo cha utumishi Wa umma ngazi ya degree kwa anayeifahamu naomba anielezea upatikanaji wake Wa ajira upoje na changamoto zake, je ni kozi nzurii ya kusoma au la?