Ushauri kuhusu kozi ya Records management ngazi ya degree

peace lady Tz

Member
Sep 4, 2018
19
6
Habari zenu wana jf naombeni ushauri Wa kozi hii ya Records management. nimechaguliwa coz ya recods katika chuo cha utumishi Wa umma ngazi ya degree kwa anayeifahamu naomba anielezea upatikanaji wake Wa ajira upoje na changamoto zake, je ni kozi nzurii ya kusoma au la?
 
Habari zenu wana jf naombeni ushauri Wa kozi hii ya Records management. nimechaguliwa coz ya recods katika chuo cha utumishi Wa umma ngazi ya degree kwa anayeifahamu naomba anielezea upatikanaji wake Wa ajira upoje na changamoto zake, je ni kozi nzurii ya kusoma au la?
upande wangu ninavyoeelwa kwamba katika office za serikali haswa wenye course yako kuna ngazi za watenda kazi
wewe unachukua bachelor degree in records moja kwa moja wewe ni senior record officer soo utakuwa unasimamia kazi zote zinazotoka masijara wewe utakuwa unasimamia ungekuwa diploma in records waho wanakuwa assistant records office
so una opportunity kubwa katika office upande wa masijara

CHANGAMOTO
-waliosoma course hii wengi wana diploma level na certificate na ndio wapo maooficini wengi waho
- masijara nyingi wapo wazee wa zamani utetendakazi waho ni mkuubwa kulingana na nyie mmaosoma sasa hivi
 
upande wangu ninavyoeelwa kwamba katika office za serikali haswa wenye course yako kuna ngazi za watenda kazi
wewe unachukua bachelor degree in records moja kwa moja wewe ni senior record officer soo utakuwa unasimamia kazi zote zinazotoka masijara wewe utakuwa unasimamia ungekuwa diploma in records waho wanakuwa assistant records office
so una opportunity kubwa katika office upande wa masijara

CHANGAMOTO
-waliosoma course hii wengi wana diploma level na certificate na ndio wapo maooficini wengi waho
- masijara nyingi wapo wazee wa zamani utetendakazi waho ni mkuubwa kulingana na nyie mmaosoma sasa hivi
Asantee sana MKUU kwa kunifumbua macho
 
upande wangu ninavyoeelwa kwamba katika office za serikali haswa wenye course yako kuna ngazi za watenda kazi
wewe unachukua bachelor degree in records moja kwa moja wewe ni senior record officer soo utakuwa unasimamia kazi zote zinazotoka masijara wewe utakuwa unasimamia ungekuwa diploma in records waho wanakuwa assistant records office
so una opportunity kubwa katika office upande wa masijara

CHANGAMOTO
-waliosoma course hii wengi wana diploma level na certificate na ndio wapo maooficini wengi waho
- masijara nyingi wapo wazee wa zamani utetendakazi waho ni mkuubwa kulingana na nyie mmaosoma sasa hivi
Wazee wote wamestafuu
 
Habari zenu wana jf naombeni ushauri Wa kozi hii ya Records management. nimechaguliwa coz ya recods katika chuo cha utumishi Wa umma ngazi ya degree kwa anayeifahamu naomba anielezea upatikanaji wake Wa ajira upoje na changamoto zake, je ni kozi nzurii ya kusoma au la?
soma wengi tumeajiriwa na diploma
 
upande wangu ninavyoeelwa kwamba katika office za serikali haswa wenye course yako kuna ngazi za watenda kazi
wewe unachukua bachelor degree in records moja kwa moja wewe ni senior record officer soo utakuwa unasimamia kazi zote zinazotoka masijara wewe utakuwa unasimamia ungekuwa diploma in records waho wanakuwa assistant records office
so una opportunity kubwa katika office upande wa masijara

CHANGAMOTO
-waliosoma course hii wengi wana diploma level na certificate na ndio wapo maooficini wengi waho
- masijara nyingi wapo wazee wa zamani utetendakazi waho ni mkuubwa kulingana na nyie mmaosoma sasa hivi

LAITI WADAHILI WA CHUO HUSIKA WAKIBAINI KUWA UNAANDIKA
"Waho" BADALA YA "Wao",
HUCHAGULIWI KAMWE!!!

AU NASEMA UONGO NDUGU ZANGU WALOKOLE??
 
Back
Top Bottom