dingihimself
JF-Expert Member
- Jan 9, 2016
- 9,802
- 20,296
Basi kama Tanga sina la zaidi, jiandae kisaikolojia tutanga
Basi kama Tanga sina la zaidi, jiandae kisaikolojia tutanga
Huyu hafai hata kulumangia, mwache maisha yampige kwanza.Kwanza naona kama ana utoto mwingi hana akili ya maisha kabisa ni mwanamke ambae mipango yake mingi anajali sana kuvaa kuliko maendeleo
Na kashawahi niambia ana wanaume wengi ila nahisi mimi kaniona wa kumuoa hivyo ataachana na hao wengine
Yaan hivyo kila kitu ntakachomuambia yeye ni ndio tu hana changamoto kabisa
Tanga ndo kuna nini jiraniBasi kama Tanga sina la zaidi, jiandae kisaikolojia tu
Nilikuwa chuo Sinon college daraja mbili miaka 20 iliyopita wakati huo wewe ukiwa bado ni foetus.usikute wewe ndio upo chuo tena Zion college
Sawa sister fey.Nilikuwa chuo Sinon college daraja mbili miaka 20 iliyopita wakati huo wewe ukiwa bado ni foetus.
Umelelewa na sista ?Sawa sister fey.
uliza kiatu.Umelelewa na sista ?
Kama sababu ni hii basi kimbia sana.huwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
Jirani tanga kuna mambo ya pwani jirani na wao huona kawaidaTanga ndo kuna nini jirani
Siku akijifungua atakuwa kama alivyo sasa.Atatongozwa tena.Mpige mimba huyo fastaa,,, uone kama kuna boya ataleta shobo
Habari zenu wanajukwaa hiki kisa ni kweli. hapa kazini alikuja staff mpya msichana mmoja mrembo sana. kiasi siku ya kwanza namuona tu ikaanza spidi ya kumfukuzia mimi na staff wenzangu hapa.
kila mtu alikuwa anarusha ndoano kadili anavyoweza akija huyu anakuja mwingine lakini mimi ndio nikashinda mbio hizo nikamchukua mrembo huyo. kiasi haikuwa siri tena wote wakafahamu Pearce ndio mshindi
Kweli baada ya kukaa nae muda huyu mdada na yeye akaanza nipenda kwa dhati.
Alikuja ntembelea napoishi hatukupanga tufanye mapenzi lakini tukajikuta nimefanya nae na sa hv kiasi kwamba juzi alikuja kulala kwangu kabisa
Sema baada ya kukaa karibu nae sana nmekuta ana mapungufu mengi ambayo mimi siwezi kuyavumilia kama ikitokea tutaoana na mengi ni yametokana na urembo wake kiasi kila siku lazima wanaume warushe ndoano zao
Majuzi nmeongea nae kuhusu ilo akaniambia nimbadilishie namba ya simu ili haepukane na usumbufu wa watu.
Sababu kaashaamini mimi ndie nitakaemuoa
Nataka kumuacha kusema kweli lakini sijui naanzia wapi wakuu naombeni ushauri
Ahaaahaaa NomaMapenzi na shule haviendani. Bwana mdogo maliza field yako urudi chuo salama.
Huyu wa Tatu naskia kuhusu hizo Mambo Tanga Wanawake wa huko mmoja nilishawahi mdadisi akasema inshort huwa wanafundishwaga kwenye mafunzo gani sijui mwanaume akitaka zote mpe tu mali yake.😄😄Tanga ndo kuna nini jirani