tanga
Duu kimbia fasta.huwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
Hii nayo ni shida nyingine! reasoning yake iko chini, pambana tu mkuu!Yaan hivyo kila kitu ntakachomuambia yeye ni ndio tu hana changamoto kabisa
Point ya msingi, kama ana wivu kiasi hichoo alafu manzi anamalengo nae.. Hii ndo solution wahuni awawezi tia mguu tena.Mpige mimba huyo fastaa,,, uone kama kuna boya ataleta shobo
Watu wanatongoza mwanamke mjamzito. Wanaweka na hati ya nyumba juu.Mpige mimba huyo fastaa,,, uone kama kuna boya ataleta shobo
Kama ofisini wote mlimfukuzia ukashinda wewe sasa unadhani wanaume wengine hawamuoni na kumtongoza km mlivyofanya ofisini kwenu .Habari zenu wanajukwaa hiki kisa ni kweli. hapa kazini alikuja staff mpya msichana mmoja mrembo sana. kiasi siku ya kwanza namuona tu ikaanza spidi ya kumfukuzia mimi na staff wenzangu hapa.
kila mtu alikuwa anarusha ndoano kadili anavyoweza akija huyu anakuja mwingine lakini mimi ndio nikashinda mbio hizo nikamchukua mrembo huyo. kiasi haikuwa siri tena wote wakafahamu Pearce ndio mshindi
Kweli baada ya kukaa nae muda huyu mdada na yeye akaanza nipenda kwa dhati.
Alikuja ntembelea napoishi hatukupanga tufanye mapenzi lakini tukajikuta nimefanya nae na sa hv kiasi kwamba juzi alikuja kulala kwangu kabisa
Sema baada ya kukaa karibu nae sana nmekuta ana mapungufu mengi ambayo mimi siwezi kuyavumilia kama ikitokea tutaoana na mengi ni yametokana na urembo wake kiasi kila siku lazima wanaume warushe ndoano zao
Majuzi nmeongea nae kuhusu ilo akaniambia nimbadilishie namba ya simu ili haepukane na usumbufu wa watu.
Sababu kaashaamini mimi ndie nitakaemuoa
Nataka kumuacha kusema kweli lakini sijui naanzia wapi wakuu naombeni ushauri
Hizo kweli ni changamoto.Kwanza naona kama ana utoto mwingi hana akili ya maisha kabisa ni mwanamke ambae mipango yake mingi anajali sana kuvaa kuliko maendeleo
Na kashawahi niambia ana wanaume wengi ila nahisi mimi kaniona wa kumuoa hivyo ataachana na hao wengine
Yaan hivyo kila kitu ntakachomuambia yeye ni ndio tu hana changamoto kabisa
Orodhosha mapungufu mengi naomba yaanzie 7 kama kweli unafanya hip hop.Habari zenu wanajukwaa hiki kisa ni kweli. hapa kazini alikuja staff mpya msichana mmoja mrembo sana. kiasi siku ya kwanza namuona tu ikaanza spidi ya kumfukuzia mimi na staff wenzangu hapa.
kila mtu alikuwa anarusha ndoano kadili anavyoweza akija huyu anakuja mwingine lakini mimi ndio nikashinda mbio hizo nikamchukua mrembo huyo. kiasi haikuwa siri tena wote wakafahamu Pearce ndio mshindi
Kweli baada ya kukaa nae muda huyu mdada na yeye akaanza nipenda kwa dhati.
Alikuja ntembelea napoishi hatukupanga tufanye mapenzi lakini tukajikuta nimefanya nae na sa hv kiasi kwamba juzi alikuja kulala kwangu kabisa
Sema baada ya kukaa karibu nae sana nmekuta ana mapungufu mengi ambayo mimi siwezi kuyavumilia kama ikitokea tutaoana na mengi ni yametokana na urembo wake kiasi kila siku lazima wanaume warushe ndoano zao
Majuzi nmeongea nae kuhusu ilo akaniambia nimbadilishie namba ya simu ili haepukane na usumbufu wa watu.
Sababu kaashaamini mimi ndie nitakaemuoa
Nataka kumuacha kusema kweli lakini sijui naanzia wapi wakuu naombeni ushauri
ushauri wa musibaMpige mimba huyo fastaa,,, uone kama kuna boya ataleta shobo
usikute wewe ndio upo chuo tena Zion collegeMapenzi na shule haviendani. Bwana mdogo maliza field yako urudi chuo salama.
wewe kupitia iyo comment nimejua ni punguwan waheed!Kwanza naona kama ana utoto mwingi hana akili ya maisha kabisa ni mwanamke ambae mipango yake mingi anajali sana kuvaa kuliko maendeleo
Na kashawahi niambia ana wanaume wengi ila nahisi mimi kaniona wa kumuoa hivyo ataachana na hao wengine
Yaan hivyo kila kitu ntakachomuambia yeye ni ndio tu hana changamoto kabisa
si umwambie hautakimhuwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
Duh duh kula tigo nenda zako ameshatoa uyoo ndyo maana anataka kukupahuwezi amini mkuu nakumbuka majuzi tu alikuwa anataka kunipa tigo wakati tunafanya mapenzi......mimi nikapotezea yaan imenipa maswali mengi sana kuhusu huyu mwanamke
😂😂si wanasema wenye mimba zinakuwa na fire.Mpige mimba huyo fastaa,,, uone kama kuna boya ataleta shobo
Hii ndo mbinu yenu ?Umeshindwa kumtia hata mimba acha woga woga mkuu