Kwanza kabisa naipongeza sana Serikali kuhusu dhana ya Elimu Bure kuanzia elimu ya msingi mpaka Sekondari LAKINI kuna changamoto zinazotakiwa kuangaliwa kwa umaakini sana.
Kwanza fedha inayotolewa kwenye shule ni kidogo sana. Leo asubuhi nimesikia kule Shinyanga katika Shule mmojawapo wanapewa Tshs.182,000 kwa mwezi na shulei na wakati watoto wengi. Pili, Kwa kawaida shule zote ni mali ya Wazazi lakini sasa hivi kwa kiasi kikubwa Wazazi wamejiweka mbali kama vile hawauhusiki.
Mfano Mzazi akiambiwa achangie fedha ya uji kwa ajili ya watoto wao wanasema Serikali iliishapiga marufuku michango ya aina yoyote. Tatu, tunajua kwamba shule za Sekondari zina upungufu mkubwa wa walimu wa masomo ya sayansi hasa fizikia,hesabu, kemia na bayoljia na hapo mwanzo wazazi walikuwa wanachanga kwa ajili ya upungufu wa walimu hawa, lakini sasa wazazi wamegoma kabisa kuchangia wakati shule nyingi zina upungufu wa walimu hawa.
Kwa hili nani anapata hasara ni Mzazi au Serikali. Tunaiomba Serikali aidha iangalie kwa undani changamoto zinazoikabili dhana ya elimu bure na kuzifanyia kazi.
Kwanza fedha inayotolewa kwenye shule ni kidogo sana. Leo asubuhi nimesikia kule Shinyanga katika Shule mmojawapo wanapewa Tshs.182,000 kwa mwezi na shulei na wakati watoto wengi. Pili, Kwa kawaida shule zote ni mali ya Wazazi lakini sasa hivi kwa kiasi kikubwa Wazazi wamejiweka mbali kama vile hawauhusiki.
Mfano Mzazi akiambiwa achangie fedha ya uji kwa ajili ya watoto wao wanasema Serikali iliishapiga marufuku michango ya aina yoyote. Tatu, tunajua kwamba shule za Sekondari zina upungufu mkubwa wa walimu wa masomo ya sayansi hasa fizikia,hesabu, kemia na bayoljia na hapo mwanzo wazazi walikuwa wanachanga kwa ajili ya upungufu wa walimu hawa, lakini sasa wazazi wamegoma kabisa kuchangia wakati shule nyingi zina upungufu wa walimu hawa.
Kwa hili nani anapata hasara ni Mzazi au Serikali. Tunaiomba Serikali aidha iangalie kwa undani changamoto zinazoikabili dhana ya elimu bure na kuzifanyia kazi.