Happy happy
Member
- Jul 3, 2023
- 12
- 17
Wana JF habari,
Hivi kuna anayepitia changamoto kama ninazopitia? Dah kuna muda natamani nipige kelele kwa ninayopitia labda nitapunguza machungu. Kazini changamoto, nikirudi nyumbani nako changamoto, mahusiano changamoto. Nahisi kichwa kizito jamani, sijui hata niwaelezaje labda mtanielewa.
Hivi kuna anayepitia changamoto kama ninazopitia? Dah kuna muda natamani nipige kelele kwa ninayopitia labda nitapunguza machungu. Kazini changamoto, nikirudi nyumbani nako changamoto, mahusiano changamoto. Nahisi kichwa kizito jamani, sijui hata niwaelezaje labda mtanielewa.