Ushauri kuhusu biashara ya kuuza vinywaji vya aina zote (Vikali na vya kawaida)

lakin mkuu, unasikiaje kuhusu hii business, watu wanafaidika vizuri au maumivu ni mengi kuliko manufaiko yake..???

Sent using Jamii Forums mobile app
Mkuu sijawahi kuifanya

Ila kwa maeneo nilipo wapo wanao fanya bishara hiyo ila wao ni mchanyiko na bidhaa zongne

Biashara za vinywaji kama maji naona wengi wanaweka cha juu sh.700

Ila upande wa soda sijafuatilia

Changamoto ninayo iona kwa hawa wa huku ni kuwa wakala anakupa mzigo na kisha anawasambazia hata unao wasambazia wewe hapa ndipo kudoda kwa biashara kuna kuwepo ila kama ukaweza kuenda vizur na wateja wako nadhani mafanikio yapo
 
Yah hata mimi ndio changamoto moja nilioiona..kwamba wakala anakuuzia ila wakala huyo huyo ndio anatembezea wafanya biashara wadogo.. daah
Mkuu sijawahi kuifanya.

Ila kwa maeneo nilipo wapo wanao fanya bishara hiyo ila wao ni mchanyiko na bidhaa zongne

Biashara za vinywaji kama maji naona wengi wanaweka cha juu sh.700 Ila upande wa soda sijafuatilia

Changamoto ninayo iona kwa hawa wa huku ni kuwa wakala anakupa mzigo na kisha anawasambazia hata unao wasambazia wewe hapa ndipo kudoda kwa biashara kuna kuwepo ila kama ukaweza kuenda vizur na wateja wako nadhani mafanikio yapo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
hahah..sio mbaya mkuu ukiwa free au uniruhusu nikucheck pm

Sent using Jamii Forums mobile app
Upo dsm? Nina exipiriens ya Dar

Hapa nina mwanangu mshkaj anapiga iyo biz so ninaielewa

Yeye kwanza alianza kidogo kidogo then akajiimarisha now ana godauni tatu, moja bia na soda za jumla, la pili maji tupu ya azama,mo, na la tatu ndo kubwa juisi tupuu ilo analipa 2.7laki kwa mwezi ayo mengine 1.5laki,

Huyu jamaa yeye anaingia kwa mo anachukua fuso zima lina juisi 2000-2050 hivi hapa mzigo mkubwa ukiwa ni MO ENERGY, kwanini mo enegy ni nyingi maana ndo bizaa inayopendwa kwa dar so inauza na bidhaa zingine,

Rough kwa fuso kutoka kiwandani ni kama 5.somthing million toa garma za usafirishaji to store kama laki 2-3.,

Yeye kwa pakti /dazen anapata 1000-1500faida bila kodi hapo, huyu ye ni mabu mashi nikamsahuri awe hata na mashine ya efd,

Anatafuta masoko yeye na vijana wake na anadeliver chap chap kama akideliver fee ni mia kwa dzen kama ni nying na mbali kama ni karibu basi ni bure,

Pia amejenga uaminifu na wateja wake anaepeleka mzigo mshiko anweza chukua nusu nusu kesho kulingana na mteja wake anavyosema

Vinywaji vingine pia anauza ila vile vinavyopendwa sana ndo anachukua vingiii,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dah! Mkuu umenipa mwanga sana, aisee. Kumbe 5ml inaweza kukuletea mzigo (fuso) kutoka kiwandani..ok.
Upo dsm? Nina exipiriens ya Dar

Hapa nina mwanangu mshkaj anapiga iyo biz so ninaielewa

Yeye kwanza alianza kidogo kidogo then akajiimarisha now ana godauni tatu, moja bia na soda za jumla, la pili maji tupu ya azama,mo, na la tatu ndo kubwa juisi tupuu ilo analipa 2.7laki kwa mwezi ayo mengine 1.5laki,

Huyu jamaa yeye anaingia kwa mo anachukua fuso zima lina juisi 2000-2050 hivi hapa mzigo mkubwa ukiwa ni MO ENERGY, kwanini mo enegy ni nyingi maana ndo bizaa inayopendwa kwa dar so inauza na bidhaa zingine,

Rough kwa fuso kutoka kiwandani ni kama 5.somthing million toa garma za usafirishaji to store kama laki 2-3.,

Yeye kwa pakti /dazen anapata 1000-1500faida bila kodi hapo, huyu ye ni mabu mashi nikamsahuri awe hata na mashine ya efd,

Anatafuta masoko yeye na vijana wake na anadeliver chap chap kama akideliver fee ni mia kwa dzen kama ni nying na mbali kama ni karibu basi ni bure,

Pia amejenga uaminifu na wateja wake anaepeleka mzigo mshiko anweza chukua nusu nusu kesho kulingana na mteja wake anavyosema

Vinywaji vingine pia anauza ila vile vinavyopendwa sana ndo anachukua vingiii,

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom