Mm nimeajiriwa kama mwlm ngaz ya cheti ila sitak kuendelea na ualim saaa n kozi gan naweza kujiendeleza nayo ambayo huwa ina nafasi za kazi zaidi msaada wenu wadau
Mm nikisikiaga mtu anaelimu ngazi ya cheti ambayo haihusiani na mambo ya ufundi namuona sio potential kwenye jambo lolote linalohitaji akili zaidi kulko matendo
Mm nikisikiaga mtu anaelimu ngazi ya cheti ambayo haihusiani na mambo ya ufundi namuona sio potential kwenye jambo lolote linalohitaji akili zaidi kulko matendo
Naskia uko shule ya msingi sku HIZI walimu hawaandiki ubaoni wanasema mwanafunzi anaandika hasa darasa za 6 na 7 na mwanafunzi akiwa asikii vzur s shda za mwalimu
HUjaelewa nn? Bas nmemaanisha watu kama nyinyi mlibidi msomee ufundi sio professional kubwa kama ualimu na nyie NDO mnafanya ualimu na walimu wadharaulike
HUjaelewa nn? Bas nmemaanisha watu kama nyinyi mlibidi msomee ufundi sio professional kubwa kama ualimu na nyie NDO mnafanya ualimu na walimu wadharaulike
Naskia uko shule ya msingi sku HIZI walimu hawaandiki ubaoni wanasema mwanafunzi anaandika hasa darasa za 6 na 7 na mwanafunzi akiwa asikii vzur s shda za mwalimu