ushauri kiduchu pls

mojoki

JF-Expert Member
Oct 21, 2010
1,314
290
nataka kununua min laptop kwa matumizi ya kazi shule na burudani binafsi...ofcoz itakua ni ku handle simpo task tu...so ningependa kufahamu ipi ni njema kati ya brand nyiiingi zilizopo kwenye market...pls usisite kunipa maono ewe ndugu mwa jamvi
 
Tuwasubiri nami itanisaidia,haya wataalam wa IT twawasubir karibuni
 
nataka kununua min laptop kwa matumizi ya kazi shule na burudani binafsi...ofcoz itakua ni ku handle simpo task tu...so ningependa kufahamu ipi ni njema kati ya brand nyiiingi zilizopo kwenye market...pls usisite kunipa maono ewe ndugu mwa jamvi

brand:dell latitude/inspiron
processor:dual core @ 1.6ghz
ram: 1gb
hard disk: 80-120 gb
dvd rewritable
 
Brand nzuri ni LG, SONY. Ila hizi laptop huchemka endapo utatumia kwa kazi nzito, pia screen yake ni ndogo na si nzuri sana ukitumia kwenye projector au programs zenye display kubwa
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom