Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

Ushauri kati ya jiko la umeme vs gesi

JF Member

JF-Expert Member
Joined
Dec 14, 2014
Posts
8,204
Reaction score
11,364
Habari wana JF.

Nimejikuta njia panda, Naomba mwenye kujua anisaidie. Kwa familia ya watu 10, ni lipi jiko sahihi kwa maana ya gharama na matumizi yake kwa ujumla?

Nataka kuchukua moja wapo weekend hii!
 
Jiko la umeme nafuu zile zenye plate za induction zile ni energy server. Mimi nina familia ya watu 6 natumia umeme tuu gharama zake kwa mwezi ni 80,000 wakati nikitumia gas mtungi wa 52,000 natumia wiki tatu tuu. Mm naona umeme ni rahisi ukipata jiko ambalo ni energy server.
Habari wana JF.

Nimejikuta njia panda, Naomba mwenye kujua anisaidie. Kwa familia ya watu 10, ni lipi jiko sahihi kwa maana ya ghalama na matumizi yake kwa ujumla?
Nataka kuchukua moja wapo weekend hii!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubaguzi ungeandika watoto 6 ungekufa???Eti watoto wanne na watoto wa kufikia wawili wote si watoto wanatofauti gani???? Style hiyo uloandika inaonyesha tu unawatenga

Sent using Jamii Forums mobile app
Hii ni hisia yako tu.

Ningewatenga ningekaa nao?

Hapo naonesha watu wa kiuno changu ma wasio wa kiuno changu basi.
 
Jiko la umeme nafuu zile zenye plate za induction zile ni energy server. Mimi nina familia ya watu 6 natumia umeme tuu gharama zake kwa mwezi ni 80,000 wakati nikitumia gas mtungi wa 52,000 natumia wiki tatu tuu. Mm naona umeme ni rahisi ukipata jiko ambalo ni energy server.

Sent using Jamii Forums mobile app
Asante mkuum
 
Huoni kwa mahesabu hayo bado ges iko cheap???
Ndani ya miez mitatu
Gas-208000
Umeme-240000
Jiko la umeme nafuu zile zenye plate za induction zile ni energy server. Mimi nina familia ya watu 6 natumia umeme tuu gharama zake kwa mwezi ni 80,000 wakati nikitumia gas mtungi wa 52,000 natumia wiki tatu tuu. Mm naona umeme ni rahisi ukipata jiko ambalo ni energy server.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubaguzi ungeandika watoto 6 ungekufa???Eti watoto wanne na watoto wa kufikia wawili wote si watoto wanatofauti gani???? Style hiyo uloandika inaonyesha tu unawatenga

Sent using Jamii Forums mobile app
Yuko sahihi, hawa watoto wawili mlo wao siyo kama ule wa watoto wake hawa hupewa makombo hivyo kwenye hesabu ya mapishi hawamo.
 
Yuko sahihi, hawa watoto wawili mlo wao siyo kama ule wa watoto wake hawa hupewa makombo hivyo kwenye hesabu ya mapishi hawamo.
Nyumbani kwangu nina watoto wanne, wawili wa kuwazaa, mmoja uncle wang na dada wa kazi, lakini Mara zote natambulisha Nina watoto 4 na hata wao wanajua kabisa wote hapa ni watoto wangu na imesaidia kuheshimiana na kupendana, Mimi na mke wangu hatujawahi kumtambulisha kwa kusema dada wa kazi au mfanya kazi au huyu uncle wangu eti mtoto wa Mdogo wangu!

Siku zote tunasema watoto wetu na wao wote wamezoea hivyo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acha ubaguzi ungeandika watoto 6 ungekufa???Eti watoto wanne na watoto wa kufikia wawili wote si watoto wanatofauti gani???? Style hiyo uloandika inaonyesha tu unawatenga

Sent using Jamii Forums mobile app

Ungeonekana wa maana, kama ungejibu kama alivyo uliza kwenye mada yake.

Mambo ya familia ungemuachia mwenyewe.

Ni ushahuri tu.


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Back
Top Bottom