- Thread starter
- #61
Shukrani kwa ushauri mkuu ...! Huu ndio ushauri niliokua nahitajiMkuu usithubutu kumuozesha huyo binti utafungwa. Nimekua mkuu wa shule kwa miaka kadhaa. Selection zikitoka atachaguliwa serikalini na utaonekana umeozesha mwanafunzi. Mshauri aende shule akimaliza form 6 na matokeo kutoka muozeshe! Ushauri unahitajika zaidi na kumwambia madhara ya ksheria na si kwamba unamkatalia