mkomb
Member
- Aug 31, 2023
- 21
- 31
Habarizenu wanajukwaa,
Naombeni ufafanuzii kuhusu course tajwa hapo juu kuhusiana na kazi zakufanya baada ya kumaliza masomo chuona, chuo kipi Bora hapa Tanzania katika utoaji wa course tajwa hapo juu, upatikanaji wa ajira na je ninawezaje kujiajiri katika hyo course. Naomba kuwasilisha.
Naombeni ufafanuzii kuhusu course tajwa hapo juu kuhusiana na kazi zakufanya baada ya kumaliza masomo chuona, chuo kipi Bora hapa Tanzania katika utoaji wa course tajwa hapo juu, upatikanaji wa ajira na je ninawezaje kujiajiri katika hyo course. Naomba kuwasilisha.